Bwashee taratibu, naona unaanza kusahau kuwa unammiliki dada yangu!
jamani hili silijui, ongeeni vizuri ili kama inalipa nimkonvisi shemeji yenu alitafute kwa udi na uvumba, si wanasemaga eti madafu yanaleta dude hiloNasikia mabinti wanayapenda sana, Carmel yuko online atatufafanulia.
Hehehe! Mabinamu wanaanza kusepa majukumu!
jamani hili silijui, ongeeni vizuri ili kama inalipa nimkonvisi shemeji yenu alitafute kwa udi na uvumba, si wanasemaga eti madafu yanaleta dude hilo
jamani hili silijui, ongeeni vizuri ili kama inalipa nimkonvisi shemeji yenu alitafute kwa udi na uvumba, si wanasemaga eti madafu yanaleta dude hilo
he h he he, sitaki kama mambo yenyewe ndo hayo, kumbe huko pwani kuna mambo huko lolTema mate chini Carmel kuna vitu vya kuomba lakini sio hivyo, nafikiri hulijui vizuri japo kwa wengine ni sifa kuwa nalo, hata mtoto akilia ndani na baba nae analipa na ndio maana kwa pwani adhabu kubwa ya mtu kumpa ni hilo dude kama ametembea na mke wa mtu.
Kama kawaida nitatia timu, mi na Mrs Nyamayao....heshima iwepo jamani si mnajua ngumi mkononi...you have been warned!
Chriss nipanue na mie ntakuja mitaa ya kati au vipi mtu wangu? Soda tu inatoshwa kwangu
nishamwambia chriss akupm maana we want you there mama ushauri mkuu ili tukupe campany si unajua tena. solidarity foreverChriss nipemu na mie ntakuja mitaa ya kati au vipi mtu wangu? Soda tu inatoshwa kwangu
......hahahaha kaka wivu hadi umepitiliza lolH