Get Well Soon "The Finest"

Get Well Soon "The Finest"

Amini kwa Mungu utapona
pia tumia dawa kama ulivyoelekezwa
na daktari ili upone haraka
 
Hopefully he has recovered by the faith i have to his almighty the healer!
 
wapi mamaaaa Preta?
Wapi cheriiii Husninyo?
Wapi Bebi Bebii?
Wapi mupenzi SwitiiLedi?
Wapi ile mutoto ya nguvu Jux?
Ooooohhh Papaaa TF,
muzee wa pamba,
mukulu TF,
lodi wa madolali,
uko fashi ya wapi?
Ma femme wa mmu wanakula sumu juu yako,
hawakuoni,hawakusikii,
wanatamani maandiko yako,
pona haraka ukurudi mmu!!!!!
On a serious note:
pole sana ndugu yangu,be strong,tunakumiss aisee,
ukihitaji any help ndugu yangu ni PM.
On a light note:Umesikia maneno ya Aspirin? We mwache tu,tutampiga PI!
 
duh, kumbe huyu kamanda anaumwa? Pole mkuu...
 
oh Pole kamanda.....Get well soon mkuu...
 
pole sana mkuu, nakuombea kwa mungu upone haraka urejee jukwaani.......... tupo pamoja
 
Back
Top Bottom