Get well THE FINEST!

Get well THE FINEST!

kazi yangu ni kugonga senksi kwa useful post tu!!
 
Get well soon The Finest

Na pole zaidi kwa hizo tuhuma za ulabu.

What happened uka shindwa kujikontro?????
 
Huyu dogo anaumwa au ana hangover? Nakumbuka jana alianza kunywa mipombe kuanzia saa 4 usubuhi.

Basi hakuna haja ya mm kuanza pombe tena, nitamfunika hata Finest. Mkubwa ugua pole mzee
 
Hivi hospitali kuja vipimo vya hangover??
 
No need to worry Finnest, I know that you are going to get well soon na kurejea kwenye mitikasi
 
Back
Top Bottom