Ule msosi niliokula jana hauna adabu kabisa sijui ni food poisoning sijui ni kitu gani hata sielewi tumbo lilikuwa linauma kama mwanamke mjamzito
asavali umelejea, kuna njemba (jina kapuni fo sekyuriti rizan) ilikuwa inataka kuondoka na afrodenzi. dah!Thank you guys i am doin much better
nekst wiki ntakuwa mimi. utaniletea soda ya spraiti?pole sana dear...mimi zamu yangu ilikuwa last week but nadunda saa hii.....this week ni wewe....next week mwingine......pole sana....naona uko fit sasa
asavali umelejea, kuna njemba (jina kapuni fo sekyuriti rizan) ilikuwa inataka kuondoka na afrodenzi. dah!
heheh kamanda uliwahi kupeleka CV mahakama ya ze hag kuomba kazi nini?jibu tuhuma kaka nasikia ze spirit of ze nation iliku spirit.....l.o.l
nekst wiki ntakuwa mimi. utaniletea soda ya spraiti?
heheeh ni kibarua cha kujitolea tu. rushwa siifagilii lakini napokea kwa zarura.kaka fbi hafui dafu kwako!
heheh kamanda uliwahi kupeleka CV mahakama ya ze hag kuomba kazi nini?
niletee half kasti. moto wataniita mshamba sina friji na baridi dental formula itakuwa sensitiv. tupendane kuliko rimoti contro na betri.nitakuletea mpenzi....ya baridi au moto?
kesi za chabo unashuhulikia? hapa kijijini kuna njemba inatusumbua kweli, wewe unalala na waifu wako, taarifa ya waifu wako kushika mimba anaijua yeye kabla wewe. sheenz kweli jamaa. tunahitaji loya.aiem e vere good loya kama unatatizo lililosababishwa na pombe ai ken pruvu zem wrong
kesi za chabo unashuhulikia? hapa kijijini kuna njemba inatusumbua kweli, wewe unalala na waifu wako, taarifa ya waifu wako kushika mimba anaijua yeye kabla wewe. sheenz kweli jamaa. tunahitaji loya.
kesi za chabo unashuhulikia? hapa kijijini kuna njemba inatusumbua kweli, wewe unalala na waifu wako, taarifa ya waifu wako kushika mimba anaijua yeye kabla wewe. sheenz kweli jamaa. tunahitaji loya.
deal signed, acha nitafute jina halisi la hii njemba halaf nikufowadie cuz hapa kijijini tunamwita brus lii kijicho tu kwa haka kabiznezz kake. halaf pia tutahitaji loya kule kwenye sredi ya jaluo nyeupe kuhakikisha anapata mchumba japo kiwete. cuz naona kinamama wameweka tinted aisee, mpaka midda hii hakijaeleweka.zat iz wea i spesholaiz to be ekzaktile
halaf inaonekana hajapona vizuri huyu, mbona kaweka post 2 tu halaf haonekani tena?
deal signed, acha nitafute jina halisi la hii njemba halaf nikufowadie cuz hapa kijijini tunamwita brus lii kijicho tu kwa haka kabiznezz kake. halaf pia tutahitaji loya kule kwenye sredi ya jaluo nyeupe kuhakikisha anapata mchumba japo kiwete. cuz naona kinamama wameweka tinted aisee, mpaka midda hii hakijaeleweka.