Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #61
Aondoke aende wapi? Mna duwah lakini hazitafanikiwa.Sio lazima umtaje Mzee Mbowe,maandishi yako tu yanajitosheleza.Ombeni sana Mungu Lissu asiondoke kwa maana ndio utakuwa mwisho wa hii SACCOS.
Halafu humu nina mabandiko lukuki ya kuhoji mambo mbali mbali yanayofanuwa na Mbowe.
Kipimo cha uwezo wa akili za mtu ni kuweza kutofautisha kati ya SACCOS na chama Cha siasa. Ukiona huwezi kutofautisha, wewe ni KILAZA.