Ghala la silaha za NATO lalipuliwa magharibi mwa Ukraine

Ghala la silaha za NATO lalipuliwa magharibi mwa Ukraine

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
21,600
Reaction score
35,158
Kiuhalisia hii operation Urusi anapambana na mataifa si chini ya 30. Leo kama kawaida baada ya taarifa za intelijensia, ghala lililo jaa shehena ya silaha za misaada za NATO lalipuliwa na makombora ya Urusi.

Swali la kujiuliza: JE, PATRIOT SYSTEM ILIKUA IMEZIMWA? Au mafuta yaliisha?

20230514_002802.jpg
20230514_002755.jpg
Screenshot_20230513_234730_YouTube.jpg
 
Hivi wabongo mnanufaika na nini kuwa mashabiki maandazi wa kushangilia hii vita inayo endelea?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Acha kabisa!!
Mkuu sisi tukiwa na uhakika wa kababu mbili tu basi inatosha, yaani hatuna shida na kesho au keshokutwa.....iila kitu ni leo tu.
China wanahaha huku na kule kuona wanaitumiaje hii fursa kuitawala dunia
Misri nasikia wanataka kujenga artificial ziwa lenye ukubwa wa 114km.

Sisi, kila bei ya zao iko juu. Huko bungeni waziri wa kilimo ana hoja zake za sijui BBT lakini mpaka sasa humu JF, kwa great thinkers, siajabu ni 2% wanaojua kinachoendelea kwny hiyo BBT.

Elimu inataka kubadilishwa na rasimu ipo mitaani kwa ajili ya maoni zaidi. Nina uhakika ni 10% tu ya great thinkers humu wanaweza kusema chochote.

Kuhusu Ukraine na Russia, wana JF 99.8% wanajua mpaka idadi ya visu vilivyo mifukoni mwa kila askari, achilia mbali hadi taarifa za kifamilia za askari hao.


Natamani Russia ashinde, ila sijajitoa akili.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Acha kabisa!!
Mkuu sisi tukiwa na uhakika wa kababu mbili tu basi inatosha, yaani hatuna shida na kesho au keshokutwa.....iila kitu ni leo tu.
China wanahaha huku na kule kuona wanaitumiaje hii fursa kuitawala dunia
Misri nasikia wanataka kujenga artificial ziwa lenye ukubwa wa 114km.

Sisi, kila bei ya zao iko juu. Huko bungeni waziri wa kilimo ana hoja zake za sijui BBT lakini mpaka sasa humu JF, kwa great thinkers, siajabu ni 2% wanaojua kinachoendelea kwny hiyo BBT.

Elimu inataka kubadilishwa na rasimu ipo mitaani kwa ajili ya maoni zaidi. Nina uhakika ni 10% tu ya great thinkers humu wanaweza kusema chochote.

Kuhusu Ukraine na Russia, wana JF 99.8% wanajua mpaka idadi ya visu vilivyo mifukoni mwa kila askari, achilia mbali hadi taarifa za kifamilia za askari hao.


Natamani Russia ashinde, ila sijajitoa akili.
Wewe ni Pro-Russia[emoji3][emoji3]
 
Kiuhalisia hii operation Urusi anapambana na mataifa si chini ya 30. Leo kama kawaida baada ya taarifa za intelijensia, ghala lililo jaa shehena ya silaha za misaada za NATO lalipuliwa na makombora ya Urusi.

Swali la kujiuliza JE PATRIOT SYSTEM ILIKUA IMEZIMWA? Au mafuta yaliisha?View attachment 2620866View attachment 2620867View attachment 2620868
Huu mlipuko sio wa Ukraine acha Propaganda. Huu mlipuko mmeokoteza mlipuko wa Iran mwaka 2015 kwenye kiwanda cha kufua vyuma.
 
Back
Top Bottom