Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Asante kwa taarifa hii muhimu
Hii ni habari njema
Hii ni habari njema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁Sijapenda TAARIFA ila nimependa swali yako ya kumalizia👍🤣🤣Swali la kujiuliza JE PATRIOT SYSTEM ILIKUA IMEZIMWA? Au mafuta yaliisha?
Hatufanyii kazi taarifa uliyoisikia, lete vyanzo vizuri hapa vya habari ili tutoe michangoNasikia mashambulizi ya usiku yaliyofanywa na Urusi imezima kabisa hiyo counteroffensive ni kweli?? 🤪🤪🤪
Leta basi mwendelezo wa counteroffensive mlioianza jana kutoka ktk vyanzo vyako vya habari🤪🤪🤪 naona jana mlikuwa moto kushindana kuleta habari lakini leo mmeamka wote mpo kimyaaa. Nini tatizo? 🤣🤣Hatufanyii kazi taarifa uliyoisikia, lete vyanzo vizuri hapa vya habari ili tutoe michango
🚮🚮🚮Huu mlipuko sio wa Ukraine acha Propaganda. Huu mlipuko mmeokoteza mlipuko wa Iran mwaka 2015 kwenye kiwanda cha kufua vyuma.
Uko nyuma sana ya matukio muhimuUongo huu ghala liloripuliwa ni la Russia
Kwanza acha dharau mm sio dogo alafu kingine sipo hapa kukurazimisha ukubali ww ukitaka ukubali ukitaka usikubali lakini hilo haliwezi kubadilisha chochote.Dogo umechemka. Unaleta viblog vya wanapropaganda wa kirusi halafu unaiita Source? Mwaka huu mtahangaika sana.
Ijapokuwa Makamanda wa Urusi 2 wamekufa ila Bhamut bado barabara moja ndani ya Mtaa mmoja. 300sqm. Jeshi la Ukraine 1600 ndani ya 24 hrs wapo kwa Sir God.Uko nyuma sana ya matukio muhimu
Hako ka-Spring counteroffensive kenu tunakamaliza nguvu mdogomdogo
Mlipuko mkubwa kuliko mabomu yanayotua vyumban mwa watu?Mlipuko mkubwa kuwai kutokea Ukraine walipotiwa Jana.
Usiku wa kuamkia leo Russia ilifanya mashambulizi ya masafa marefu katika maeneo mbalimbali ya Ukraine. Ripoti zinasema katika mji wa Ternopil ulitokea mlipuko mkubwa sana ambao haujawai tokea Ukraine tangu kuanza kwa SMO ya Russia nchini Ukraine.
Silaha zenye thamani ya zaidi yq $500m ziliharibiwa huku kwa ujumla silaha zenye zaidi ya thamani $billion zikiharibiwa maeneo tofauti ya Ukraine kama kharkiv, kherson,khmelnitsky na lviv ambako milipuko mbalimbali ilisikika.
WEWE kaendelee kumshabikia zuchu na nandy..acha sisi tuendeleze hukuHivi wabongo mnanufaika na nini kuwa mashabiki maandazi wa kushangilia hii vita inayo endelea?
em na wewe sio silaa ni silaha ...[emoji41][emoji41][emoji108]Kwahiyo silaa zimelipuka?
amka kumesha kucha utakunya kitandani ....Huu mlipuko sio wa Ukraine acha Propaganda. Huu mlipuko mmeokoteza mlipuko wa Iran mwaka 2015 kwenye kiwanda cha kufua vyuma.
Barabara ipi mzee achana na habari za udakuIjapokuwa Makamanda wa Urusi 2 wamekufa ila Bhamut bado barabara moja ndani ya Mtaa mmoja. 300sqm. Jeshi la Ukraine 1600 ndani ya 24 hrs wapo kwa Sir God.
Tuletee video halis kutoka ternopilPicha na video zote zimekuwa geolocated sio za Ternopil
Nyingine za Iran
Kwani we unavyoshabikia NAMUNGO FC unanufauka na niniHivi wabongo mnanufaika na nini kuwa mashabiki maandazi wa kushangilia hii vita inayo endelea?
Ukraine pigAcha kulisha watu Propaganda kwa kuokoteza vipicha vya miaka kede nyuma huko.
Aisee, kweli Pro-Russia huwa mnajitoa akili kabla ya kuchangia.Kiuhalisia hii operation Urusi anapambana na mataifa si chini ya 30. Leo kama kawaida baada ya taarifa za intelijensia, ghala lililo jaa shehena ya silaha za misaada za NATO lalipuliwa na makombora ya Urusi.
Swali la kujiuliza JE PATRIOT SYSTEM ILIKUA IMEZIMWA? Au mafuta yaliisha?View attachment 2620866View attachment 2620867View attachment 2620868