Ghala la silaha za NATO lalipuliwa magharibi mwa Ukraine

Picha na video zote zimekuwa geolocated sio za Ternopil
Nyingine za Iran
Au sio teh teh teh!!

Ila umeilnikumbusha mwaka 2015, ccm walikua wakionyeshwa "mafuriko" ya lowasa wanasema ni photoshop[emoji23]
 
We jamaa bwana, haya soma hapa tena...

 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hi

Yo habari ni marudio, acha utoto? Yaani RT wameishiwa habari hadi wanarudia propaganda za mwaka jana? Hii yote ni kwa kuwa wanajua akili za wafuasi wao zilivyo
Turudi the sun...

 
Turudi the sun...

Sasa ulitaraji uwania wa vita usiwe na milipuko? Hata Russia amelipuliwa sana hadi ndege zikateketezwa kule Crimea, so Acha kukwepakwepa.
Je hiyo ni Warehouse ya NATO?
Hicho ndicho unachotakiwa kuthibitisha
 
Sasa ulitaraji uwania wa vita usiwe na milipuko? Hata Russia amelipuliwa sana hadi ndege zikateketezwa kule Crimea, so Acha kukwepakwepa.
Je hiyo ni Warehouse ya NATO?
Hicho ndicho unachotakiwa kuthibitisha
Ikipostiwa RT basi wanarudia habari.

Habari hiyo hiyo ikipostiwa na vyombo vya west ni kweli!!

Kweli upumbavu ni kipaji.
 
Ikipostiwa RT basi wanarudia habari.

Habari hiyo hiyo ikipostiwa na vyombo vya west ni kweli!!

Kweli upumbavu ni kipaji.
Wame post kuwa Warehouse ya NATO ililipuliwa?
Kama ni kuonekana Mpumbavu na watu wa aina yako basi hiyo ni sifa kubwa sana siyo kashfa wala tusi.

Sababu maumbile ya akili kama zako uwezo huwa hayana uwezo wa kuchakata taarifa na kuzitoa kwa usahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…