Ghalib wa GSM atoa vielelezo kuthibitisha Umiliki wa Kiwanja na Nyumba. Aagiza wanasheria kumchukulia hatua anayepotosha umma

Ghalib wa GSM atoa vielelezo kuthibitisha Umiliki wa Kiwanja na Nyumba. Aagiza wanasheria kumchukulia hatua anayepotosha umma

Gharibu ni mtu mzuri ndio maana rafiki yake Jakaya Kikwete!! Makonda anasema wana apartments zao wako ubia huko Masaki!!! Ameisha anza kumwaga mboga kabla hata hakujakuchwa!!
Sssa kosa ni nini?? Kwan kuna sheria inakataza kushirikiana na mfanyabiashra??
 
Teh teh teh.. unawaza kulakula tu.. Unadhani kila mtu ana njaa kama wewe?
Kabisa kila mtu ana njaa kama mimi na ndio maana anafanya kazi kila uchwao, uchweao n.k

Kila mtu anafanya kazi ili mwisho wa siku anye sio ili ajenge au avae
 
The guy

The guy is a fraudster maana hakunaga document inawekwa picha juu ya mhuri wa Wakili, wenzie walimtega zamani sana, mshamba ni mshamba tu, although naelewa yawezekana GSM walimpa kiwanja wakati ule wa Magufuli na makonda akaogopa kufanya transfer sababu Magufuli was a psychic Sasa wamegundua hajafanya na wanaona huu ndio muda wa kumkomesha warudishe kiwanja chao.

Mwisho wa siku ukweli ni kwamba makonda hakuwa na hela ya kununua kiwanja Ada Estate aisee huu ndio ukweli tunajua bei za pale na Msasani plus kule kwa Mengi na Magu pamoja na oysterbay na masaki bei za kule kiwanja hazikamatiki hata kwa dawa labda kwa anayejenga business Park Ila sio nyumba ya kuishi.

Yani mkuu wa mkoa ukae mtaa mmoja na JK? Mtoto wa juzi tu??? Tuwage wakweli tu. Dogo alijitutumua mno nae wacha akome. Ameshindwa kujenga bangaloo mbweni?
Kwani kikwete huko aliko anakaa pekee ake,? Kuna ardhi ya matabaka siku hizi kwamba makonda atakaa huku na kikwete huku? Ngoja nyeusi kweli ni laana ikiwemo wewe jamaa
 
Nchi siasa kila sehemu... Mamlaka pekee ya kusema ardhi fulani inamilikiwa na nani ni serikali. Si waende huko wakalimalize
 
DOCUMENTS (IT) LOOKS FAKE...!
sitaki niwe kama Dr. Slaa kusema NAUDHIKA...

Kweli kuna kitu hakiko sawa kama kawaida ya Bashite.
Mfano; forms umeshaiweka Passport pictures. Swali ni je. Kwanini #Muhuri wa #Advocate uwe chini ya picha badala ya Passport za wahusika wote #kupigwa Mihuri juu yake. Inaelekea forms na signatures zilighushiwa na mihuri, Passports za wahusika zikatengenezwa & kubandikwa.
#Jpm alimbeba katika kughushi vyeti fake
#This_time_around_noooo..!
#Time_will_tell
#Njia_ya_Mwingi_fupi
#Michongo_hailipi
Wewe ni mwanga
 
Huu ndiyo uharisia GSM wasjione wako juu ya WATANZANIA kabisaaaa ndiyo makonda anamadhambi yake basi ahukumiwe kwa madhambi yake ila Riz1 kama kahusika juu ya hili basi hana budi ajitathimini.

Huu ukoo wa GSM ni laana unapaswa kufutiliwa mbali sivyo utatuendesha WATANZANIA kila uongozi unapobadirika.

Wao ni kina nani kila UTAWALA uwe mifukoni mwao????

Tutatetea TANZANIA siyo waharifu kama GSM au MAKONDA.

Kila mtu apate HAKI yake,GSM chunga sana umafia ulio nao watu wanaujua hivyo kukuondosha kwa heshima ya NCHI hii inawezekana,utakimbia tena nchi hii!!!
Acha vitisho wewe huna hati miliki ya hii nchi.
 
Binafsi naamini MAKONDA na GHALIB(GSM) "hawakukutana barabarani" , bali wanajuana vizuri tofauti na picha inayojengwa na hili "saga" lao la kugombea kiwanja linaloendelea hivi sasa.

Kwamba Makonda anamtuhumu GSM anataka kumdhulumu na ni mfanyabiashara tapeli, wakati huo huo, GSM anadai kiwanja Ni chake kwa maana kwamba zile hati za kuuziana mbele ya wakili Ibrahim Shinene sio za kweli kwa mujibu wa GSM yaani ni za kughushi(forged documents).

Haihitaji kuwa "Genius" wala "IQ" iliyoshiba kujua kwamba hawa watu wawili, yaani MAKONDA na GSM wote kwa pamoja kuna kitu wanakificha na hawataki kijulikane na umma. Badala yake wote wawili wanacheza "social media game" ili kuvutia upande wao "public sympathy".

GSM wameamua kuchukua hatua hii (maybe ikiwemo kurusha ile clip mitandaoni pamoja na kumtuma wakili wao aongee na waandishi badala ya kwenda Mahakamani) sababu wanajua Makonda anachukiwa sana na watu wengi hivyo wanaamini watu watawaunga mkono dhidi ya Makonda kwa vile wanajua akili zetu wabongo sio za kuhoji bali zipo kimuhemuko zaidi yaani "zipozipo tu".

Na pengine wametuma ujumbe kwa mamlaka zinazomlinda kwamba mtu wenu atawaaibisha.

Baada ya kuona hivi, Makonda kuonyesha kwamba yeye ni "mafia" na kwamba haogopi na yuko tayari kwa lolote, akatumia njia ile ile ya "social media" kupiga mkwara mzito dhidi ya GSM, Polisi na "watu walio nyuma ya GSM". Makonda amefanya hivi ili kubalance hii issue na kuwatishia maadui zake hao kwamba "wakimwaga mboga, atamwaga ugali".

Watu wote wanaomchukia Makonda wako upande wa GSM. Hali kadhalika watu wote wanaompenda Makonda wanamtetea. Kwa mtu makini, bila kufuata hisia binafsi, inabidi ajiulize maswali yafuatayo?

1. Huo ugali anaotaka kuumwaga Makonda ni upi?
2. Je, Makonda from nowhere kaenda kujenga kwenye kiwanja cha GSM? Kwa nini si kiwanja cha mtu mwingine?
3. Wakati Makonda anajenga kwenye hicho kiwanja, GSM walikuwa wanamuangalia tu?
4. Je, Makonda kapata wapi fedha za kununua kiwanja hicho toka kwa GSM, pia kapata wapi pesa za kujenga "mjengo wa maana" kwenye kiwanja hicho?
5. Je, mapato na matumizi ya Makonda yanaakisi mali alizonazo?
6. Je, kwa nini hawa watu hawajaenda kudaiana mahakamani badala yake wamekimbilia mitandaoni?

Laiti kama nchi hii ya Tanzania ingekuwa na viongozi/serikali makini kama ilivyo kwa nchi za wenzetu huko Duniani zilizo na viongozi walio makini wanaochukulia serious uwajibikaji, maadili ya utumishi wa umma, Rushwa pamoja na Ufisadi naamini hili suala lingejulikana mustakali na ukweli wote.

Hili suala haliitaji kuunda tume ya kuchunguza bali a very simple approach ingetosha kupata ukweli, Jibu la nani Muovu kati ya GSM na Makonda lingepatikana kwa kutumia wapelelezi wa Polisi na Takukuru, kiweledi na sio kisiasa.

Lakini kwa kuwa Tanzania ni nchi ambayo Raisi akikupenda hakuna wa kukugusa, raisi asipokukubali utashitakiwa (Ref approach ya Magu na Samia kwa Sabaya) ,Takukuru haikuchunguzi mpaka waamuriwe na Raisi yaani hakuna "Rule of law" katika kuwashughulikia wanasiasa mpaka Raisi atake.

Sitarajii kuona lolote la maana kutoka kwenye mamlaka zinazohusika juu ya suala hili zaidi ya wao "kufunika kombe mwanaharamu apite".

...
..
.
Mimi Binafsi nimeangalia zaidi hii drama na kujiuliza Maswali haya...

Ni kwa nini GSM wameanza au kurudia vimbwanga vyao vya enzi ya Home Shopping centre,ikiwa ni muda mfupi baada ya baba yao kufariki?

Je ni kwa sababu marehemu baba yao alikuwa labda akiwazuia kuishi na kuendelea na vibweka kama enzi zile za upakuaji container bandarini?

Hii drama iliyoanzia Mikocheni ikaenda kwa mwanasheria kisha jioni kwa Chamazi na leo asubuhi imeamkia kwenye moto wa kiwanda chao huko mwenge.

Je ni mwanzo wa enzi mpya ya wale wale wa enzi zile?
 
Binafsi naamini MAKONDA na GHALIB(GSM) "hawakukutana barabarani" , bali wanajuana vizuri tofauti na picha inayojengwa na hili "saga" lao la kugombea kiwanja linaloendelea hivi sasa.

Kwamba Makonda anamtuhumu GSM anataka kumdhulumu na ni mfanyabiashara tapeli, wakati huo huo, GSM anadai kiwanja Ni chake kwa maana kwamba zile hati za kuuziana mbele ya wakili Ibrahim Shinene sio za kweli kwa mujibu wa GSM yaani ni za kughushi(forged documents).

Haihitaji kuwa "Genius" wala "IQ" iliyoshiba kujua kwamba hawa watu wawili, yaani MAKONDA na GSM wote kwa pamoja kuna kitu wanakificha na hawataki kijulikane na umma. Badala yake wote wawili wanacheza "social media game" ili kuvutia upande wao "public sympathy".

GSM wameamua kuchukua hatua hii (maybe ikiwemo kurusha ile clip mitandaoni pamoja na kumtuma wakili wao aongee na waandishi badala ya kwenda Mahakamani) sababu wanajua Makonda anachukiwa sana na watu wengi hivyo wanaamini watu watawaunga mkono dhidi ya Makonda kwa vile wanajua akili zetu wabongo sio za kuhoji bali zipo kimuhemuko zaidi yaani "zipozipo tu".

Na pengine wametuma ujumbe kwa mamlaka zinazomlinda kwamba mtu wenu atawaaibisha.

Baada ya kuona hivi, Makonda kuonyesha kwamba yeye ni "mafia" na kwamba haogopi na yuko tayari kwa lolote, akatumia njia ile ile ya "social media" kupiga mkwara mzito dhidi ya GSM, Polisi na "watu walio nyuma ya GSM". Makonda amefanya hivi ili kubalance hii issue na kuwatishia maadui zake hao kwamba "wakimwaga mboga, atamwaga ugali".

Watu wote wanaomchukia Makonda wako upande wa GSM. Hali kadhalika watu wote wanaompenda Makonda wanamtetea. Kwa mtu makini, bila kufuata hisia binafsi, inabidi ajiulize maswali yafuatayo?

1. Huo ugali anaotaka kuumwaga Makonda ni upi?
2. Je, Makonda from nowhere kaenda kujenga kwenye kiwanja cha GSM? Kwa nini si kiwanja cha mtu mwingine?
3. Wakati Makonda anajenga kwenye hicho kiwanja, GSM walikuwa wanamuangalia tu?
4. Je, Makonda kapata wapi fedha za kununua kiwanja hicho toka kwa GSM, pia kapata wapi pesa za kujenga "mjengo wa maana" kwenye kiwanja hicho?
5. Je, mapato na matumizi ya Makonda yanaakisi mali alizonazo?
6. Je, kwa nini hawa watu hawajaenda kudaiana mahakamani badala yake wamekimbilia mitandaoni?

Laiti kama nchi hii ya Tanzania ingekuwa na viongozi/serikali makini kama ilivyo kwa nchi za wenzetu huko Duniani zilizo na viongozi walio makini wanaochukulia serious uwajibikaji, maadili ya utumishi wa umma, Rushwa pamoja na Ufisadi naamini hili suala lingejulikana mustakali na ukweli wote.

Hili suala haliitaji kuunda tume ya kuchunguza bali a very simple approach ingetosha kupata ukweli, Jibu la nani Muovu kati ya GSM na Makonda lingepatikana kwa kutumia wapelelezi wa Polisi na Takukuru, kiweledi na sio kisiasa.

Lakini kwa kuwa Tanzania ni nchi ambayo Raisi akikupenda hakuna wa kukugusa, raisi asipokukubali utashitakiwa (Ref approach ya Magu na Samia kwa Sabaya) ,Takukuru haikuchunguzi mpaka waamuriwe na Raisi yaani hakuna "Rule of law" katika kuwashughulikia wanasiasa mpaka Raisi atake.

Sitarajii kuona lolote la maana kutoka kwenye mamlaka zinazohusika juu ya suala hili zaidi ya wao "kufunika kombe mwanaharamu apite".

...
..
.

napenda nikujibu kiuutu uzima sio kichama chama au kichuki chuki. hoja yako namba 3) wakati makonda anajenga ilikuwa kiwanja cha makonda na huwezi kumuona mtu anajenga kwenye kiwanja chako ukamuwacha hakuna binadamu wa hivyo kwa hiyo hiyo ilikuwa kiwanja halali cha makonda. hoja yako namba 4) kapata wapi pesa za kununua kiwanja na kujenga mjengo wa maana jibu kila binadamu ni mtafutaji na mpaji ni mungu anambinu zake za kupata pesa na kapata . hilo swali muulize GSM na matajiri wengine pesa wanapataje wakawa matajiri hapo ndio utajua uhalali wa matajiri siri anaijua mungu. hoja yako namba 5) mapato kama nilivyokueleza kwenye jibu la na 4 kila mmoja anambinu zake sisi ni kutaka kujua je hiyo kiwanja ni halali ya nani? na ukumbuke kwa nini GSM hakudai mda mrefu kaja kudai baada ya kuona naibu waziri wa ardhi mwingine.
 
Kwani kikwete huko aliko anakaa pekee ake,? Kuna ardhi ya matabaka siku hizi kwamba makonda atakaa huku na kikwete huku? Ngoja nyeusi kweli ni laana ikiwemo wewe jamaa
Kama unaijua Dar huwezi kusema hivi wewe ni wakuja siwezi kubishana nawe maana hata like eneo huwezi kupata kiwanja kwa 120 million kulingana na valuation report ya govt valuer.

Sasa endelea upumbavu wako na wakuja wenzio. Mkiwa mnachukua rushwa ulizeni wazoefu sio mnatunisha matako tu.
 
Wote kwa wakati wao.
Mmoja ameibuka baada ya kukwepa Sana kodi, mwingine baada ya kuwa mmiliki wa genge la wasiojulikana.
 
Back
Top Bottom