Ghana nako si salama, AU ingilieni kati

Ghana nako si salama, AU ingilieni kati

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
6,974
Reaction score
8,750
Nimefika Accra, Ghana Jana (jumanne, tarehe 27/08/2024) asubuhi. Ilipofika jioni mwenyeji akaniomba nimsindikize kwenye sherehe Fulani.

Niliyoyaona huko yanasikitisha. Kumbe mambo haya yapo kote hadi Ghana? African Union tafadhali ingilieni kati. Hali ni mbaya.

Hatua za haraka zinahitajika. Vinginevyo vijana wengi wasio na ajira watazama mazima humo kama mbadala wa kukosa ajira.

 

Attachments

  • 36c419985c114b3ca18d5915237eaf1c_An8WPfhwk4NU9nSQeeA7b9ciFhD-QzdHOXPOWN4lYszeJkKbwrMKmwpmVz-fQ...mp4
    4.7 MB
  • 3e823550a88949d990daf77f65bd6636_449376769_17969521085735181_1271752838982345024_n.jpg
    3e823550a88949d990daf77f65bd6636_449376769_17969521085735181_1271752838982345024_n.jpg
    698.1 KB · Views: 14
  • 0c334a3415614cf79d270f35c61c1c91_449313456_17969521151735181_4850574914696841039_n.jpg
    0c334a3415614cf79d270f35c61c1c91_449313456_17969521151735181_4850574914696841039_n.jpg
    491.2 KB · Views: 16
Acha ushamba,dunia inabadilika. Kuna kazi ngapi sasa hivi duniani zinahitaji nguvu zaidi ya akili wakati huo huo kuna kazi kibao zinahitaji uwe na ubongo tu na za kisasa zamani hazikuepo. Hivi unajua sasa hivi jeshi la polisi kuna social media manager? Miaka 20 iliyopita hapakua na kazi kama hiyo.
Hivi unadhani hao vijana ni productive bado? Muda wote si wanakua wamelegea tu?
 
Karibu Accra, niko hapa Osu nakula upepo, baade nirudi hapo mitaa ya Spintex.
unashangaa hapa Accra wakati hapo Nairobi jirani na home mambo ni live live, nikirudi mitaa ya KaNairo nitakutumia video zao hao wasenge, ni vile tu we should learn to live with different ethnic groups lakini hao mafala wanakera sana
Nimefika Accra, Ghana Jana (jumanne, tarehe 27/08/2024) asubuhi. Ilipofika jioni mwenyeji akaniomba nimsindikize kwenye sherehe Fulani.

Niliyoyaona huko yanasikitisha. Kumbe mambo haya yapo kote hadi Ghana? African Union tafadhali ingilieni kati. Hali ni mbaya.

Hatua za haraka zinahitajika. Vinginevyo vijana wengi wasio na ajira watazama mazima humo kama mbadala
 
Back
Top Bottom