Ghana nako si salama, AU ingilieni kati

Ghana nako si salama, AU ingilieni kati

Ukiuchukulia ushoga kidini,kiutamaduni na mila zetu ni kitu kibaya. Ila ukiuchukulia kisayansi,historia na ki anthropology

utagundua humans are wild and wanataka ku explore vitu tofauti tofauti is how we are by nature. So kwenye jamii kuna watu watapenda tu kutiwa vitu mk**duni,kuua,kuiba,kutapeli na vitu vengine. Western country wanatetea ushoga sababu ni kitu binafsi,hakiathiri mtu na kila
Mtu ana haki ya kujiskia kufanya kitu chochote kwenye mwili wake.

Nilikua nachukia sana mashoga ila nilipata bahati ya kutembelea mynammar nikajifunza vitu vingi kuhusu buddhism na nikaelewa kuna vitu huwezi kushindana navo,ni nature.
Dhuu sawa mkuu. Naheshimu mawazo yako, muamzi, na msimamo wako. Ila tukubali kutoku baliana. Hivyo tu.
 
duuh, ila watu wana roho ngumu haki. sijawahi kuelewa dume kama hilo unalitamanije kwa kweli sijawahi kuelewa kabisa.
Kuna jamaa yangu alikuwa anawaza hivi hivi, kuwa unalikamataje dume lenzako. Huyu huyu aliyekuwa anawaza hivyo, kuns siku nyingine alikuja kunisimulia kwamba alipita mahali kwenye klabu akaona shoga, baada ya kuliona ikasimama!
 
Kuna jamaa yangu alikuwa anawaza hivi hivi, kuwa unalikamataje dume lenzako. Huyu huyu aliyekuwa anawaza hivyo, kuns siku nyingine alikuja kunisimulia kwamba alipita mahali kwenye klabu akaona shoga, baada ya kuliona ikasimama!
kwa kuwa umemtolea mfano jamaa yako, ina maana wewe toka kitambo ulikuwa waona kawaida tu au sio?
 
Ukiuchukulia ushoga kidini,kiutamaduni na mila zetu ni kitu kibaya. Ila ukiuchukulia kisayansi,historia na ki anthropology

utagundua humans are wild and wanataka ku explore vitu tofauti tofauti is how we are by nature. So kwenye jamii kuna watu watapenda tu kutiwa vitu mk**duni,kuua,kuiba,kutapeli na vitu vengine. Western country wanatetea ushoga sababu ni kitu binafsi,hakiathiri mtu na kila
Mtu ana haki ya kujiskia kufanya kitu chochote kwenye mwili wake.

Nilikua nachukia sana mashoga ila nilipata bahati ya kutembelea mynammar nikajifunza vitu vingi kuhusu buddhism na nikaelewa kuna vitu huwezi kushindana navo,ni nature.
Taoism
 
Dhuu sawa mkuu. Naheshimu mawazo yako, muamzi, na msimamo wako. Ila tukubali kutoku baliana. Hivyo tu.
Kuna miaka kwenye ulimwenguu huu wanasayansi washawahi kuuliwa,kufungwa jela na kudharauliwa na Kanisa sababu walionekana wanapingana na biblia,leo hii Kanisa ni moja ya nguzo muhimu kwenye sayansi,imejenga mavyuo,mahospitali na waanzilishi wa unesi. Mambo yanabadilika inabidi ubadilike na leo hii Pope anawatetea mashoga sio kua anapenda vile ila anaheshimu Free Will ya binaadamu binafsi.
 
Kuna miaka kwenye ulimwenguu huu wanasayansi washawahi kuuliwa,kufungwa jela na kudharauliwa na Kanisa sababu walionekana wanapingana na biblia,leo hii Kanisa ni moja ya nguzo muhimu kwenye sayansi,imejenga mavyuo,mahospitali na waanzilishi wa unesi. Mambo yanabadilika inabidi ubadilike na leo hii Pope anawatetea mashoga sio kua anapenda vile ila anaheshimu Free Will ya binaadamu binafsi.
Sheikh Muhsin Hendricks nae anapelekewa msumari wa nyama
View: https://www.youtube.com/watch?v=IWOp664vukE
 
Back
Top Bottom