Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhuu sawa mkuu. Naheshimu mawazo yako, muamzi, na msimamo wako. Ila tukubali kutoku baliana. Hivyo tu.Ukiuchukulia ushoga kidini,kiutamaduni na mila zetu ni kitu kibaya. Ila ukiuchukulia kisayansi,historia na ki anthropology
utagundua humans are wild and wanataka ku explore vitu tofauti tofauti is how we are by nature. So kwenye jamii kuna watu watapenda tu kutiwa vitu mk**duni,kuua,kuiba,kutapeli na vitu vengine. Western country wanatetea ushoga sababu ni kitu binafsi,hakiathiri mtu na kila
Mtu ana haki ya kujiskia kufanya kitu chochote kwenye mwili wake.
Nilikua nachukia sana mashoga ila nilipata bahati ya kutembelea mynammar nikajifunza vitu vingi kuhusu buddhism na nikaelewa kuna vitu huwezi kushindana navo,ni nature.
Badala wakemee hawa watu aina hii sababu wanaofanyana wote ni wanaume ila utakuta wako bize na kujadili bikira na usingo mama wa wanawake, maajabu hayatokwishaHuyo aliye acha tumbo wazi😤
naye ni mmojawapoUtetezi huu Kwa ajili ya nani?
Kuna jamaa yangu alikuwa anawaza hivi hivi, kuwa unalikamataje dume lenzako. Huyu huyu aliyekuwa anawaza hivyo, kuns siku nyingine alikuja kunisimulia kwamba alipita mahali kwenye klabu akaona shoga, baada ya kuliona ikasimama!duuh, ila watu wana roho ngumu haki. sijawahi kuelewa dume kama hilo unalitamanije kwa kweli sijawahi kuelewa kabisa.
kwa kuwa umemtolea mfano jamaa yako, ina maana wewe toka kitambo ulikuwa waona kawaida tu au sio?Kuna jamaa yangu alikuwa anawaza hivi hivi, kuwa unalikamataje dume lenzako. Huyu huyu aliyekuwa anawaza hivyo, kuns siku nyingine alikuja kunisimulia kwamba alipita mahali kwenye klabu akaona shoga, baada ya kuliona ikasimama!
Nyie hii nchi 😂😂😂Shoga mfupi kama Sengaaa
Kwa kuwa kuna nguvu kubwa inatumika kupinga vitendo hivi, basi ni jambo linalowezekana. Ingekuwa sio la kawaida lingejifia lenyewekwa kuwa umemtolea mfano jamaa yako, ina maana wewe toka kitambo ulikuwa waona kawaida tu au sio?
Yes they are.are these gays?
TaoismUkiuchukulia ushoga kidini,kiutamaduni na mila zetu ni kitu kibaya. Ila ukiuchukulia kisayansi,historia na ki anthropology
utagundua humans are wild and wanataka ku explore vitu tofauti tofauti is how we are by nature. So kwenye jamii kuna watu watapenda tu kutiwa vitu mk**duni,kuua,kuiba,kutapeli na vitu vengine. Western country wanatetea ushoga sababu ni kitu binafsi,hakiathiri mtu na kila
Mtu ana haki ya kujiskia kufanya kitu chochote kwenye mwili wake.
Nilikua nachukia sana mashoga ila nilipata bahati ya kutembelea mynammar nikajifunza vitu vingi kuhusu buddhism na nikaelewa kuna vitu huwezi kushindana navo,ni nature.
Kuna miaka kwenye ulimwenguu huu wanasayansi washawahi kuuliwa,kufungwa jela na kudharauliwa na Kanisa sababu walionekana wanapingana na biblia,leo hii Kanisa ni moja ya nguzo muhimu kwenye sayansi,imejenga mavyuo,mahospitali na waanzilishi wa unesi. Mambo yanabadilika inabidi ubadilike na leo hii Pope anawatetea mashoga sio kua anapenda vile ila anaheshimu Free Will ya binaadamu binafsi.Dhuu sawa mkuu. Naheshimu mawazo yako, muamzi, na msimamo wako. Ila tukubali kutoku baliana. Hivyo tu.
Sheikh Muhsin Hendricks nae anapelekewa msumari wa nyamaKuna miaka kwenye ulimwenguu huu wanasayansi washawahi kuuliwa,kufungwa jela na kudharauliwa na Kanisa sababu walionekana wanapingana na biblia,leo hii Kanisa ni moja ya nguzo muhimu kwenye sayansi,imejenga mavyuo,mahospitali na waanzilishi wa unesi. Mambo yanabadilika inabidi ubadilike na leo hii Pope anawatetea mashoga sio kua anapenda vile ila anaheshimu Free Will ya binaadamu binafsi.