Ghana nako si salama, AU ingilieni kati

Ghana nako si salama, AU ingilieni kati

Kacha kacha kacha kacha ya niyokoho?
Ukiuchukulia ushoga kidini,kiutamaduni na mila zetu ni kitu kibaya. Ila ukiuchukulia kisayansi,historia na ki anthropology

utagundua humans are wild and wanataka ku explore vitu tofauti tofauti is how we are by nature. So kwenye jamii kuna watu watapenda tu kutiwa vitu mk**duni,kuua,kuiba,kutapeli na vitu vengine. Western country wanatetea ushoga sababu ni kitu binafsi,hakiathiri mtu na kila
Mtu ana haki ya kujiskia kufanya kitu chochote kwenye mwili wake.

Nilikua nachukia sana mashoga ila nilipata bahati ya kutembelea mynammar nikajifunza vitu vingi kuhusu buddhism na nikaelewa kuna vitu huwezi kushindana navo,ni nature.
a
 
Nitacomment ikithibitika kuwa kweli upo hapo kwenye sherehe Ghana
Jamaa anatupanga anatuona Makolo, hiyo clip ipo mtandaoni kitambo sana tena tuliambiwa huyo mwenye black polarneck ni Msouth Africa.
 
Hilo lenye mitako sijaelewa unajua ugonjwa wa watu huo kuna watu wakiona mitako tu haijalishi wanapita nayo namaanisha mitako
 
l'm not pro or ant gay, ila naamini hawa mashoga wanazaliwa hivyo na ipo kwenye genes na wala sio tabia, na nani amekuambia hawana ajira? hao watu watu wana pesa kuliko serikali, wamejaa kuanzia wall street mpaka Hollywood, makampuni makubwa unayoyafamu makubwa kama Apple or Open ai etc CEOs wao ni mashoga, hawana kilema Cha akili au legelege kama mnavyofikiria
 
l'm not pro or ant gay, ila naamini hawa mashoga wanazaliwa hivyo na ipo kwenye genes na wala sio tabia, na nani amekuambia hawana ajira? hao watu watu wana pesa kuliko serikali, wamejaa kuanzia wall street mpaka Hollywood, makampuni makubwa unayoyafamu makubwa kama Apple or Open ai etc CEOs wao ni mashoga, hawana kilema Cha akili au legelege kama mnavyofikiria
Aisee. Kumbe!
 
Mimi huwa sikeleki na watu wa dizaini hiyo kwani hakuna wanachonidhuru. Watu huwa mnajipa stress za bure wakati hata wangekuwa marijali msingewasaidia kuwatafutia nyapu za kupiga, acha wafurahie maisha kwa namna wanavyoweza.
 
Back
Top Bottom