Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheikh Muhsin Hendricks nae anapelekewa msumari wa nyama
View: https://www.youtube.com/watch?v=IWOp664vukE
Shehe kaona isiwe tabu. Kuliko atatuliwe kwa siri bora ajitangaze tu.Mmmh
Raisi wa nchi anaongoza mambo mengi sana. Sasa hapo huyo mrefu kama nguzo na huyo mfupi kama senga wana mvuto gani.Nimefika Accra, Ghana Jana (jumanne, tarehe 27/08/2024) asubuhi. Ilipofika jioni mwenyeji akaniomba nimsindikize kwenye sherehe Fulani.
Niliyoyaona huko yanasikitisha. Kumbe mambo haya yapo kote hadi Ghana? African Union tafadhali ingilieni kati. Hali ni mbaya.
Hatua za haraka zinahitajika. Vinginevyo vijana wengi wasio na ajira watazama mazima humo kama mbadala wa kukosa ajira.
View attachment 3081454
Mtoa mada hajataja mvuto hilo la mvuto mbona kama wewe ndo umeongeza? au ndo mmoja wao?Raisi wa nchi anaongoza mambo mengi sana. Sasa hapo huyo mrefu kama nguzo na huyo mfupi kama senga wana mvuto gani.
Hahahahaha tengua kauli.Mtoa mada hajataja mvuto hilo la mvuto mbona kama wewe ndo umeongeza? au ndo mmoja wao?
kitambi kama embe likiwa linaangukaShoga mfupi kama Sengaaa
DuhDuu huyo mfupi mbona kama Omari Pwipo, hiyo laana wamejaa hata humu JF
Mkuu
Hakuna geni chini ya jua.
Sodoma na Gomora was indeed worse ila sisi ndo funga kazi kuliko wale. Jinsia inabafilishwa kabisa
Huku nako sijui ni wapi
Dunia unaelekea wapi?Haina uhusiano na ukosefu wa ajira
Du!!!! noma sana!!!!Nimefika Accra, Ghana Jana (jumanne, tarehe 27/08/2024) asubuhi. Ilipofika jioni mwenyeji akaniomba nimsindikize kwenye sherehe Fulani.
Niliyoyaona huko yanasikitisha. Kumbe mambo haya yapo kote hadi Ghana? African Union tafadhali ingilieni kati. Hali ni mbaya.
Hatua za haraka zinahitajika. Vinginevyo vijana wengi wasio na ajira watazama mazima humo kama mbadala wa kukosa ajira.
View attachment 3081454