Biohazard
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 2,197
- 1,465
khaliciouz
Ushauri ambao naona utapata sanduku bila kuhangaika tena miezi hii ndo watu wengi wanakua wamenyang'anywa masanduku kwa kushindwa kulipia.
Priority ya kugawa masanduku kubwa ipo kwa makampuni na hawaitaji attachment kama TIN number, cjui business licence wala nini zaidi ya kujaza tu fomu yao tena wanakusaidia, wewe tumia hata jina la kampuni la mtu unayemfahamu na ni vizuri awe na physical address, uwe na picha mbili na mwenzako awe na picha mbili ili mpewe kadi ya sanduku.
Kwa uhakika zaidi uwe na 150,000/= pamoja na kuhonga marketing manager wa posta sababu ndiye anayegawa masanduku kwa makampuni na ujifanye una expectations kubwa sana za kutumia huduma za posta kama CITY DELIVERY nk.
Kwenye 150,000 kuna gharama za awali za kulipia sanduku zinaweza kufika hata 90,000/= ikiwa ni pamoja na kuchongewa funguo. halafu uwe na kama elfu 30 hivi inatosha kabisa kwa soda/rushwa ya mtu wa marketing wa posta.
Pia urahisi na unafuu wa kupata sanduku upo kwenye branch za nje za posta mpya kama Pugu Road karibu na Sigara na nyinginezo hata za nje ya Mji. Ila gharama ya laki na nusu ni ya kupata sanduku posta mpya au ya zamani ukizingatia trick niliyokupa ya malengo makubwa ya kikampuni na ada ya box la kampuni kwa mwaka ni elfu 52.
Kuna upotevu na ucheleweshwaji sana na mizigo au barua ambazo hazipo registered kwa branch za nje ya mji within Dar kuliko posta mpya.
Kama ni muagizaji wa vitu vya nje ya nchi sana fungua box branch tofauti na ya posta mpya ili kuepukana na watu wa TRA coz ni wasumbufu sababu hata kama umetumiwa soksi watataka kufungua ili wakague. Wakihisi ina kitu chenye value kubwa sana.
Ushauri ambao naona utapata sanduku bila kuhangaika tena miezi hii ndo watu wengi wanakua wamenyang'anywa masanduku kwa kushindwa kulipia.
Priority ya kugawa masanduku kubwa ipo kwa makampuni na hawaitaji attachment kama TIN number, cjui business licence wala nini zaidi ya kujaza tu fomu yao tena wanakusaidia, wewe tumia hata jina la kampuni la mtu unayemfahamu na ni vizuri awe na physical address, uwe na picha mbili na mwenzako awe na picha mbili ili mpewe kadi ya sanduku.
Kwa uhakika zaidi uwe na 150,000/= pamoja na kuhonga marketing manager wa posta sababu ndiye anayegawa masanduku kwa makampuni na ujifanye una expectations kubwa sana za kutumia huduma za posta kama CITY DELIVERY nk.
Kwenye 150,000 kuna gharama za awali za kulipia sanduku zinaweza kufika hata 90,000/= ikiwa ni pamoja na kuchongewa funguo. halafu uwe na kama elfu 30 hivi inatosha kabisa kwa soda/rushwa ya mtu wa marketing wa posta.
Pia urahisi na unafuu wa kupata sanduku upo kwenye branch za nje za posta mpya kama Pugu Road karibu na Sigara na nyinginezo hata za nje ya Mji. Ila gharama ya laki na nusu ni ya kupata sanduku posta mpya au ya zamani ukizingatia trick niliyokupa ya malengo makubwa ya kikampuni na ada ya box la kampuni kwa mwaka ni elfu 52.
Kuna upotevu na ucheleweshwaji sana na mizigo au barua ambazo hazipo registered kwa branch za nje ya mji within Dar kuliko posta mpya.
Kama ni muagizaji wa vitu vya nje ya nchi sana fungua box branch tofauti na ya posta mpya ili kuepukana na watu wa TRA coz ni wasumbufu sababu hata kama umetumiwa soksi watataka kufungua ili wakague. Wakihisi ina kitu chenye value kubwa sana.