Kiwa
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,102
- 907
Wakuu naomba muongozo kuhusu misafara binafsi kupewa escort!
Ni vigezo vipi inabidi uwe navyo ili kupewa escort?
Maana siku hizi kwenye foleni kuwekwa pembeni then hiyo misafara ipite ni jambo la kawaida sana!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Ni vigezo vipi inabidi uwe navyo ili kupewa escort?
Maana siku hizi kwenye foleni kuwekwa pembeni then hiyo misafara ipite ni jambo la kawaida sana!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Habari wakuu.
Ningependa kufahamishwa gharama za kukodi msafara mdogo tu wa traffic police wenye pikipiki moja mbele, ningependa kujua utaratibu nzima na gharama.