G.25
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 1,737
- 1,891
Utaratibu upo kwani ni mara nyingi tu nimeona msafara wa gari za kiraia tu unasindikizwa na king'ora cha polisi.Yaani hizo escort za ving'ora na vimulimuli ni reserved kwa vigogo wa dola kwa hapa tz. Sijui kama ukiwa na mapesa yako unaweza kujiundia msafara na vimulimuli binafsi[emoji23]
Hasa ukiwa barabara inayoelekea uwanja wa ndege wa JKN Dar.