Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wakuu.
Ningependa kufahamishwa gharama za kukodi msafara mdogo tu wa traffic police wenye pikipiki moja mbele, ningependa kujua utaratibu mzima na gharama.
Wewe hapo bar unafanyaga nini?Kuna jamaa hapa kigamboni wanakula sana bia, sasa wakitaka kuhama baa wana gari zao wanawasha king'ora mbele mtadhani ni watu kweli, kumbe walevi wanahama baa.
😂😂😂😂Kuna jamaa hapa kigamboni wanakula sana bia, sasa wakitaka kuhama baa wana gari zao wanawasha king'ora mbele mtadhani ni watu kweli, kumbe walevi wanahama baa.
Kuna mahali nahitaji kwenda 25km hivi.Una shughuli gani ndugu
Gharama ikoje?Kuna jamaa hapa kigamboni wanakula sana bia, sasa wakitaka kuhama baa wana gari zao wanawasha king'ora mbele mtadhani ni watu kweli, kumbe walevi wanahama baa.
Umepiga hela niniHabari wakuu.
Ningependa kufahamishwa gharama za kukodi msafara mdogo tu wa traffic police wenye pikipiki moja mbele, ningependa kujua utaratibu mzima na gharama.
[emoji1787][emoji1787]Kuna jamaa hapa kigamboni wanakula sana bia, sasa wakitaka kuhama baa wana gari zao wanawasha king'ora mbele mtadhani ni watu kweli, kumbe walevi wanahama baa.
😃 Hapana Mkuu.Umepiga hela nini
Hakuna fixed amount?Kiitifaki hairuhusiwi mtu wa kawaida kuwa na msafara(escort ya polisi) ila inaruhusiwa mtu wa kawaida kuomba ulinzi kutoka jeshi la polisi na IGP akitoa idhini utapewa ulinzi ila kwa sharti la kugharamia kila hitaji la askari utakaopewa(gharama zote juu yako),pia ifahamike kwamba huo ulinzi utakaopewa si wakudumu.
DuhKuna jamaa hapa kigamboni wanakula sana bia, sasa wakitaka kuhama baa wana gari zao wanawasha king'ora mbele mtadhani ni watu kweli, kumbe walevi wanahama baa.
Sijui kama watakujibu. Niliwahi kutumwa na kamati ya harusi ya jamaa yangu kukodi mapikipiki yale ya kusindikiza msafara wa Rais kusindikiza harusi ya kijana wetu. Kilichotokea walinicheka wakasema hayo sio ya harusi.Habari wakuu.
Ningependa kufahamishwa gharama za kukodi msafara mdogo tu wa traffic police wenye pikipiki moja mbele, ningependa kujua utaratibu mzima na gharama.
Vipi escort ya gari?Sijui kama watakujibu. Niliwahi kutumwa na kamati ya harusi ya jamaa yangu kukodi mapikipiki yale ya kusindikiza msafara wa rais kusindikiza harusi ya kijana wetu. Kilichotokea walinicheka wakasema hayo sio ya harusi.
Lakini sikutoka kapa. Nilipata dili la harusi yetu kupitishwa haraka haraka bila kuathiriwa na foleni.
Yaani hizo escort za ving'ora na vimulimuli ni reserved kwa vigogo wa dola kwa hapa tz. Sijui kama ukiwa na mapesa yako unaweza kujiundia msafara na vimulimuli binafsi😂Vipi escort ya gari?
Shukrani Mkuu.Yaani hizo escort za ving'ora na vimulimuli ni reserved kwa vigogo wa dola kwa hapa tz. Sijui kama ukiwa na mapesa yako unaweza kujiundia msafara na vimulimuli binafsi😂
Ha ha h...[emoji4]Kuna jamaa hapa Kigamboni wanakula sana bia, sasa wakitaka kuhama baa wana gari zao wanawasha king'ora mbele mtadhani ni watu kweli, kumbe walevi wanahama baa.