Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahah kujikomboa kwenu si kulia lia na kutafta huruma😅😅😅!!! Dawa nia kuanzisha mgomo baridi mnasusia kutuma hela mitandaoni nchi nzima na kukimbilia miamala ya benki!Na wanang'ang'ania zile sehemu nyeti kama simba. Simba wakati wa kuwinda akishika winda, anakaba koo kwani anajua windo haliwezi kujitetea kirahisi. Serikali nayo inajua ''wadanganyika'' ni mafukara wa kutupwa, hivyo suala la kuhemea kwa kutumiana visenti haliepukiki. Wanang'ang'ania hapo hapo. Mpaka siku ''mdanganyika'' atakapoamka na kujikomboa tusitegemee mambo kujibadilisha yenyewe.
Hata watumiaji wakipungua by 40% tu kwa mwezi mmoja ni pigo tosha kwa hao dhalimu na watunga sera za kipuuzi!