utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
- Thread starter
- #101
Tayari matokeo ya Kambi ya Dubai yameonekana[emoji23][emoji23]Yapi hayo yameanza kuonekana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari matokeo ya Kambi ya Dubai yameonekana[emoji23][emoji23]Yapi hayo yameanza kuonekana?
Wachezaji bora hawawezi kucheza ligi yetu. Au kwa maana nyingine timu zetu hazina uwezo kusajili wachezaji wazuri kushindana na timu kama Mamelodi, Aly Hilaly, Raja, Wydad nkHivi kuweka kambi Bora huku ukiwa na wachezaji magarasa inaweza kusaidia kuboresha performance ya timu kweli?
Unashindwa kusajili wachezaji wazuri, unakimbilia kusajili kocha mzuri na kuweka kambi nzuri halafu unategemea ufanye vizuri?
Kuweka Kambi mahala pazuri au kuwa na kocha mzuri huku ukiwa na wachezaji wabovu ni ukosefu wa akili. Viongozi wa Simba ni mbumbumbu sana!
Wachezaji bora hawawezi kucheza ligi yetu. Au kwa maana nyingine timu zetu hazina uwezo kusajili wachezaji wazuri kushindana na timu kama Mamelodi, Aly Hilaly, Raja, Wydad nk