mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,258
- 22,552
Sijakosea hesabu bali type error.hapo kwenye pair namanisha roll.Makadirio yako ni mazuri ila hapo kwenye wire za 1.5mm kuna namna umekosea hesabu 6pair za single maana yake ni roller 12. Ila pia kama unmaanisha set ni(R,B,G) ambayo ni roller 3 kila set ambayo jumla ni roller 18.
Means 12×50,000=600,000
Au 18×50,000=??
Pia bei ya jumla ya master cable roller ya 1.5mm kwa Kkoo ni 40k kwa roller.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Situmekubaliana wiring ni laki mbili na nusu tu [emoji276]sasa mamilioni yanakuja Vipi tena?
mkuu, ukipata bei hiyo naomba u-share na mimiNiambie duka gani kariakoo linauza master cable ya 1.5mm kwa elfu 40.nitajie ilo duka maana maduka ya jumla yanajulikana.nipo nasubiri jibu.
Pia sio kila aliyepo humu basi ana uwezo wa kufika kariakoo.mimi nimepata kazi nyingi tu za mikoani kutokea humu humu jamii forrum.
Ni vizuri kuweka bei inayojulikana kuliko kiweka bei ya kariakoo.
Milioni moja inatosha kila kitu, kuanzia Vifaa mpaka gharaama za ufundi na kulipia kabisa TANESCO kama nyumba yako haiitaji nguzoHabari wakuu,
Naomba msaada wa kujuzwa makadirio ya gharama ya kufanya wiring kwa nyumba ya vyumba 4 (vyumba 4, sebure, dining, stoo na jiko), pamoja na vifaa vinavyohitajika.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Main switch 6 wayWastani chumba nne unatakiwa kuandaa pesa isiopungua lakinane na nusu hapo nyumba itakua imetimia , angalizo hela hiyo haitahusika na mfumo wa Ac, laki tatu na nusu au tatu ni ya fundi , laki tano ni ya vifaa wasiliana nami 0652670595/0773120431
Duh,Milioni moja inatosha kila kitu, kuanzia Vifaa mpaka gharaama za ufundi na kulipia kabisa TANESCO kama nyumba yako haiitaji nguzo
Katika wiring, vifaa ambavyo huwa vina bei kubwa ni Main switch, Chuma cha Earth, na waya wa kupokelea umeme pekee.Duh,
Embu changanua bas mkuu tuone
Ahsante Mkuu,Katika wiring, vifaa ambavyo huwa vina bei kubwa ni Main switch, Chuma cha Earth, na waya wa kupokelea umeme pekee.
Ila vifaa vingine kama nyaya, bomba na switch huwa vina bei ya kawaida sana kati ya 500 mpaka 2500.
Kwahiyo gharama ya waya huwa inatajwa kwa mita moja hivyo gharama halisi itakuwa kulingana na urefu wa waya utakaotajiwa na fundi wako.
Gharama za kuunganisha umeme TANESCO kama huitajiki kuwa na nguzo Hazizidi Laki nne, ambapo gharama halisi ni Tshs. 320,960 baada ya kupewa Control number pia utapaswa kumlipa mkandarasi gharama za mchoro ambapo utalipia mchoro ambapo ni kati ya 20,000/= mpaka 50,000/= kutegemea na wepesi wa mdomo wako kuongea na mchoraji.
NB:
Hakikisha fundi akutajie idadi ya vifaa vinavyohitajika na ukanunue Mwenyewe usimpe pesa fundi akanunue hata kama unamwamini kiasi gani.
Pia wakati wa zoezi zima la wiring unapaswa uwepo site maana wana tabia ya kuagiza vifaa vingi ambavyo hawavitumii vyote ili wakauze.
Nakushaauri tumia bidhaa za Tronic maana ndiyo wanafanya vizuri kwenye upande wa ubora
Hakuna haja ya kutindus Mkuu kama mwenye nyumba utakuwa umejipanga vyema kwenye ujenzi wa nyumba yako.Ahsante Mkuu,
Sijafikia hiyo hatua nadhani kwenye mwezi wa kumi panapo majaaliwa nitafikia. Hizi gharama zinahusisha na kutindua pia?
Kuna wakati mtu anakuwa mjuaji hadi anaharibu![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ebu mulize maana ni vichekesho kwa kweli
Sijapiga plasta bado Mkuu lakin hata hizo bomba na switches (sockets) si ni lazima tofali? zitinduliwe kwanzaHakuna haja ya kutindus Mkuu kama mwenye nyumba utakuwa umejipanga vyema kwenye ujenzi wa nyumba yako.
Hakikisha kabla fundi hajaweka Plaster umeshalaza bomba na kufunga box kabisa kulingana na matakwa ya wiring ya nyumba yako.
Hii itakupunguzia gharama na usumbufu katika wiring maana kazi itakayokuwa imebaki ni kutandaza nyaya tu kulingana na njia ambazo tayari umekwishaziweka hapo awali
Ukiongea vizuri na fundi wako wa ujenzi hiyo kazi wanaweza kukufanyia tu kama bonus maana haiwagharimu kituSijapiga plasta bado Mkuu lakin hata hizo bomba na switches (sockets) si ni lazima tofali? zitinduliwe kwanza
Nina mashaka na hiyo bei ya vifaa labda visiwe tronicWastani chumba nne unatakiwa kuandaa pesa isiopungua lakinane na nusu hapo nyumba itakua imetimia , angalizo hela hiyo haitahusika na mfumo wa Ac, laki tatu na nusu au tatu ni ya fundi , laki tano ni ya vifaa wasiliana nami 0652670595/0773120431
Kama hujui kazi ya huwo wire kama kimya tu pamoja hata mm6 inafaaAcha wizi wako wewe
Kuna nyaya umeweka hapa hazina umuhimu 10mm ya nini??
Labda liwe banda na sio nyumba[emoji23][emoji23]Milioni moja inatosha kila kitu, kuanzia Vifaa mpaka gharaama za ufundi na kulipia kabisa TANESCO kama nyumba yako haiitaji nguzo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani wiring ya nyumba unakununue waya za kupima.upo serious kweli wewe.taa za nnje tu zinamaliza pair moja ya waya.alafu wewe unaongelea habari ya kupima waya.Katika wiring, vifaa ambavyo huwa vina bei kubwa ni Main switch, Chuma cha Earth, na waya wa kupokelea umeme pekee.
Ila vifaa vingine kama nyaya, bomba na switch huwa vina bei ya kawaida sana kati ya 500 mpaka 2500.
Kwahiyo gharama ya waya huwa inatajwa kwa mita moja hivyo gharama halisi itakuwa kulingana na urefu wa waya utakaotajiwa na fundi wako.
Gharama za kuunganisha umeme TANESCO kama huitajiki kuwa na nguzo Hazizidi Laki nne, ambapo gharama halisi ni Tshs. 320,960 baada ya kupewa Control number pia utapaswa kumlipa mkandarasi gharama za mchoro ambapo utalipia mchoro ambapo ni kati ya 20,000/= mpaka 50,000/= kutegemea na wepesi wa mdomo wako kuongea na mchoraji.
NB:
Hakikisha fundi akutajie idadi ya vifaa vinavyohitajika na ukanunue Mwenyewe usimpe pesa fundi akanunue hata kama unamwamini kiasi gani.
Pia wakati wa zoezi zima la wiring unapaswa uwepo site maana wana tabia ya kuagiza vifaa vingi ambavyo hawavitumii vyote ili wakauze.
Nakushaauri tumia bidhaa za Tronic maana ndiyo wanafanya vizuri kwenye upande wa ubora
Utapigwa mchana kweupe kaka.hakuna wiring ya ivyo.Ahsante Mkuu,
Sijafikia hiyo hatua nadhani kwenye mwezi wa kumi panapo majaaliwa nitafikia. Hizi gharama zinahusisha na kutindua pia?
Mie sio mtaalam,Utapigwa mchana kweupe kaka.hakuna wiring ya ivyo.
*main switch dogo(6 way-ya kujibana)
Tsh 80,000.
*2.5 mm wire(1pair) - Tsh 240, 000.
*1.5 mm wire(1pair)-Tsh 135, 000.
*Circuit breaker- Tsh 45, 000.
*Earth load - Tsh 50, 000.
* Bomba -70 = Tsh 105, 000.
*10 mm(tuweke tu mita 5-Tsh 50, 000.
Hapa tu ishafika laki 7.
Bado swich socket,light switch, holder, squal box.
Hii ni nyumba ya wiring ya kimaskini sana ndo inakuja ela iyo maana hakuna wiring ya nyumba kwa sasa utumie pair moja ya 1.5mm.
Acheni kuwadanganya watu kuhusu wiring[emoji23][emoji23][emoji23]
Circuit breaker unanunua ya kazi gani wakati inakuwa ipo combined kwenye main switch za siku hizi kama zile za Tronic?Utapigwa mchana kweupe kaka.hakuna wiring ya ivyo.
*main switch dogo(6 way-ya kujibana)
Tsh 80,000.
*2.5 mm wire(1pair) - Tsh 240, 000.
*1.5 mm wire(1pair)-Tsh 135, 000.
*Circuit breaker- Tsh 45, 000.
*Earth load - Tsh 50, 000.
* Bomba -70 = Tsh 105, 000.
*10 mm(tuweke tu mita 5-Tsh 50, 000.
Hapa tu ishafika laki 7.
Bado swich socket,light switch, holder, squal box.
Hii ni nyumba ya wiring ya kimaskini sana ndo inakuja ela iyo maana hakuna wiring ya nyumba kwa sasa utumie pair moja ya 1.5mm.
Acheni kuwadanganya watu kuhusu wiring[emoji23][emoji23][emoji23]