Gharama ya kuweka mfumo wa umeme

Gharama ya kuweka mfumo wa umeme

Makadirio yako ni mazuri ila hapo kwenye wire za 1.5mm kuna namna umekosea hesabu 6pair za single maana yake ni roller 12. Ila pia kama unmaanisha set ni(R,B,G) ambayo ni roller 3 kila set ambayo jumla ni roller 18.

Means 12×50,000=600,000
Au 18×50,000=??

Pia bei ya jumla ya master cable roller ya 1.5mm kwa Kkoo ni 40k kwa roller.
Sijakosea hesabu bali type error.hapo kwenye pair namanisha roll.

*2.5 mm roll 3
*1.5mm roll 6
 
Niambie duka gani kariakoo linauza master cable ya 1.5mm kwa elfu 40.nitajie ilo duka maana maduka ya jumla yanajulikana.nipo nasubiri jibu.

Pia sio kila aliyepo humu basi ana uwezo wa kufika kariakoo.mimi nimepata kazi nyingi tu za mikoani kutokea humu humu jamii forrum.

Ni vizuri kuweka bei inayojulikana kuliko kiweka bei ya kariakoo.
mkuu, ukipata bei hiyo naomba u-share na mimi
 
Habari wakuu,

Naomba msaada wa kujuzwa makadirio ya gharama ya kufanya wiring kwa nyumba ya vyumba 4 (vyumba 4, sebure, dining, stoo na jiko), pamoja na vifaa vinavyohitajika.

Natanguliza shukran zangu za dhati.
Milioni moja inatosha kila kitu, kuanzia Vifaa mpaka gharaama za ufundi na kulipia kabisa TANESCO kama nyumba yako haiitaji nguzo
 
Wastani chumba nne unatakiwa kuandaa pesa isiopungua lakinane na nusu hapo nyumba itakua imetimia , angalizo hela hiyo haitahusika na mfumo wa Ac, laki tatu na nusu au tatu ni ya fundi , laki tano ni ya vifaa wasiliana nami 0652670595/0773120431
Main switch 6 way
Rcd
Earth rod
1.5mm²
2.5mm²
Bado switches
Lamp holder
Laki tano ndogo kwavifaa
 
Duh,
Embu changanua bas mkuu tuone
Katika wiring, vifaa ambavyo huwa vina bei kubwa ni Main switch, Chuma cha Earth, na waya wa kupokelea umeme pekee.
Ila vifaa vingine kama nyaya, bomba na switch huwa vina bei ya kawaida sana kati ya 500 mpaka 2500.
Kwahiyo gharama ya waya huwa inatajwa kwa mita moja hivyo gharama halisi itakuwa kulingana na urefu wa waya utakaotajiwa na fundi wako.
Gharama za kuunganisha umeme TANESCO kama huitajiki kuwa na nguzo Hazizidi Laki nne, ambapo gharama halisi ni Tshs. 320,960 baada ya kupewa Control number pia utapaswa kumlipa mkandarasi gharama za mchoro ambapo utalipia mchoro ambapo ni kati ya 20,000/= mpaka 50,000/= kutegemea na wepesi wa mdomo wako kuongea na mchoraji.

NB:
Hakikisha fundi akutajie idadi ya vifaa vinavyohitajika na ukanunue Mwenyewe usimpe pesa fundi akanunue hata kama unamwamini kiasi gani.
Pia wakati wa zoezi zima la wiring unapaswa uwepo site maana wana tabia ya kuagiza vifaa vingi ambavyo hawavitumii vyote ili wakauze.
Nakushaauri tumia bidhaa za Tronic maana ndiyo wanafanya vizuri kwenye upande wa ubora
 
Katika wiring, vifaa ambavyo huwa vina bei kubwa ni Main switch, Chuma cha Earth, na waya wa kupokelea umeme pekee.
Ila vifaa vingine kama nyaya, bomba na switch huwa vina bei ya kawaida sana kati ya 500 mpaka 2500.
Kwahiyo gharama ya waya huwa inatajwa kwa mita moja hivyo gharama halisi itakuwa kulingana na urefu wa waya utakaotajiwa na fundi wako.
Gharama za kuunganisha umeme TANESCO kama huitajiki kuwa na nguzo Hazizidi Laki nne, ambapo gharama halisi ni Tshs. 320,960 baada ya kupewa Control number pia utapaswa kumlipa mkandarasi gharama za mchoro ambapo utalipia mchoro ambapo ni kati ya 20,000/= mpaka 50,000/= kutegemea na wepesi wa mdomo wako kuongea na mchoraji.

NB:
Hakikisha fundi akutajie idadi ya vifaa vinavyohitajika na ukanunue Mwenyewe usimpe pesa fundi akanunue hata kama unamwamini kiasi gani.
Pia wakati wa zoezi zima la wiring unapaswa uwepo site maana wana tabia ya kuagiza vifaa vingi ambavyo hawavitumii vyote ili wakauze.
Nakushaauri tumia bidhaa za Tronic maana ndiyo wanafanya vizuri kwenye upande wa ubora
Ahsante Mkuu,
Sijafikia hiyo hatua nadhani kwenye mwezi wa kumi panapo majaaliwa nitafikia. Hizi gharama zinahusisha na kutindua pia?
 
Ahsante Mkuu,
Sijafikia hiyo hatua nadhani kwenye mwezi wa kumi panapo majaaliwa nitafikia. Hizi gharama zinahusisha na kutindua pia?
Hakuna haja ya kutindus Mkuu kama mwenye nyumba utakuwa umejipanga vyema kwenye ujenzi wa nyumba yako.
Hakikisha kabla fundi hajaweka Plaster umeshalaza bomba na kufunga box kabisa kulingana na matakwa ya wiring ya nyumba yako.
Hii itakupunguzia gharama na usumbufu katika wiring maana kazi itakayokuwa imebaki ni kutandaza nyaya tu kulingana na njia ambazo tayari umekwishaziweka hapo awali
 
Hakuna haja ya kutindus Mkuu kama mwenye nyumba utakuwa umejipanga vyema kwenye ujenzi wa nyumba yako.
Hakikisha kabla fundi hajaweka Plaster umeshalaza bomba na kufunga box kabisa kulingana na matakwa ya wiring ya nyumba yako.
Hii itakupunguzia gharama na usumbufu katika wiring maana kazi itakayokuwa imebaki ni kutandaza nyaya tu kulingana na njia ambazo tayari umekwishaziweka hapo awali
Sijapiga plasta bado Mkuu lakin hata hizo bomba na switches (sockets) si ni lazima tofali? zitinduliwe kwanza
 
Wastani chumba nne unatakiwa kuandaa pesa isiopungua lakinane na nusu hapo nyumba itakua imetimia , angalizo hela hiyo haitahusika na mfumo wa Ac, laki tatu na nusu au tatu ni ya fundi , laki tano ni ya vifaa wasiliana nami 0652670595/0773120431
Nina mashaka na hiyo bei ya vifaa labda visiwe tronic
 
Katika wiring, vifaa ambavyo huwa vina bei kubwa ni Main switch, Chuma cha Earth, na waya wa kupokelea umeme pekee.
Ila vifaa vingine kama nyaya, bomba na switch huwa vina bei ya kawaida sana kati ya 500 mpaka 2500.
Kwahiyo gharama ya waya huwa inatajwa kwa mita moja hivyo gharama halisi itakuwa kulingana na urefu wa waya utakaotajiwa na fundi wako.
Gharama za kuunganisha umeme TANESCO kama huitajiki kuwa na nguzo Hazizidi Laki nne, ambapo gharama halisi ni Tshs. 320,960 baada ya kupewa Control number pia utapaswa kumlipa mkandarasi gharama za mchoro ambapo utalipia mchoro ambapo ni kati ya 20,000/= mpaka 50,000/= kutegemea na wepesi wa mdomo wako kuongea na mchoraji.

NB:
Hakikisha fundi akutajie idadi ya vifaa vinavyohitajika na ukanunue Mwenyewe usimpe pesa fundi akanunue hata kama unamwamini kiasi gani.
Pia wakati wa zoezi zima la wiring unapaswa uwepo site maana wana tabia ya kuagiza vifaa vingi ambavyo hawavitumii vyote ili wakauze.
Nakushaauri tumia bidhaa za Tronic maana ndiyo wanafanya vizuri kwenye upande wa ubora
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani wiring ya nyumba unakununue waya za kupima.upo serious kweli wewe.taa za nnje tu zinamaliza pair moja ya waya.alafu wewe unaongelea habari ya kupima waya.
 
Ahsante Mkuu,
Sijafikia hiyo hatua nadhani kwenye mwezi wa kumi panapo majaaliwa nitafikia. Hizi gharama zinahusisha na kutindua pia?
Utapigwa mchana kweupe kaka.hakuna wiring ya ivyo.

*main switch dogo(6 way-ya kujibana)
Tsh 80,000.

*2.5 mm wire(1pair) - Tsh 240, 000.
*1.5 mm wire(1pair)-Tsh 135, 000.
*Circuit breaker- Tsh 45, 000.
*Earth load - Tsh 50, 000.
* Bomba -70 = Tsh 105, 000.
*10 mm(tuweke tu mita 5-Tsh 50, 000.

Hapa tu ishafika laki 7.

Bado swich socket,light switch, holder, squal box.

Hii ni nyumba ya wiring ya kimaskini sana ndo inakuja ela iyo maana hakuna wiring ya nyumba kwa sasa utumie pair moja ya 1.5mm.

Acheni kuwadanganya watu kuhusu wiring[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utapigwa mchana kweupe kaka.hakuna wiring ya ivyo.

*main switch dogo(6 way-ya kujibana)
Tsh 80,000.

*2.5 mm wire(1pair) - Tsh 240, 000.
*1.5 mm wire(1pair)-Tsh 135, 000.
*Circuit breaker- Tsh 45, 000.
*Earth load - Tsh 50, 000.
* Bomba -70 = Tsh 105, 000.
*10 mm(tuweke tu mita 5-Tsh 50, 000.

Hapa tu ishafika laki 7.

Bado swich socket,light switch, holder, squal box.

Hii ni nyumba ya wiring ya kimaskini sana ndo inakuja ela iyo maana hakuna wiring ya nyumba kwa sasa utumie pair moja ya 1.5mm.

Acheni kuwadanganya watu kuhusu wiring[emoji23][emoji23][emoji23]
Mie sio mtaalam,
Ngoja ministrant aje aangalie hizi hesabu.
 
Utapigwa mchana kweupe kaka.hakuna wiring ya ivyo.

*main switch dogo(6 way-ya kujibana)
Tsh 80,000.

*2.5 mm wire(1pair) - Tsh 240, 000.
*1.5 mm wire(1pair)-Tsh 135, 000.
*Circuit breaker- Tsh 45, 000.
*Earth load - Tsh 50, 000.
* Bomba -70 = Tsh 105, 000.
*10 mm(tuweke tu mita 5-Tsh 50, 000.

Hapa tu ishafika laki 7.

Bado swich socket,light switch, holder, squal box.

Hii ni nyumba ya wiring ya kimaskini sana ndo inakuja ela iyo maana hakuna wiring ya nyumba kwa sasa utumie pair moja ya 1.5mm.

Acheni kuwadanganya watu kuhusu wiring[emoji23][emoji23][emoji23]
Circuit breaker unanunua ya kazi gani wakati inakuwa ipo combined kwenye main switch za siku hizi kama zile za Tronic?
Hizo bomba 70 zote za nini ikiwa kila bomba moja inakuwa na Futi 10 na kila moja inauzwa 1,500 au unafanya wiring kwenye godown?
Kwa kifupi kama fundi wako alikutajia idadi hiyo ya vifaa amekupiga pakubwa sana, au kama wewe ni fundi basi nawaonea huruma sana wanaofanya kazi na wewe.
Nimefanya wiring recently nanimejifunza mengi kupitia tabia za mafundi kuongeza masifuri. Vifaa vingi vilibaki ina maana nisingekuwa site ningepigwa na kitu kizito kichwani tena chenye ncha kali
 
Back
Top Bottom