Mkuu,Kwa ufupi plaster chumba kimoja ni kati 50,000-70,000 na rafu 30,000-50,000 kwa ndani.
Sebule, dining na jiko hesabu kama chumba kila kimoja.
Korirido na vyoo inategemea na ukubwa unaweza vichanganya vikawa chumba kimoja.
Pia bei inategemea na eneo na hadhi ya fundi
Mkuu,
Nimeongea na mafundi wawili tofauti.
Mmoja ameniambia Sh. 50,000/-, na rough floor/zege standard ni inchi 2,
Mwingine ameniambia Sh. 60,000/-, na rough floor/zege standard ni inchi 4.
Naomba kujuzwa, rough floor/zege standard ni inchi ngapi?
Wakuu,Standard thickness ya floor slab ni 4 inches kwa residential house.
Wakuu,
Mnanipa mwanga sana katika kuliekea hili zoezi.
Huyu fundi mmoja kaniambia kuwa kabla ya yeye kuweka floor,
Pale ardhini inabidi awaite vijana wa kumwaga maji ya kutosha na kushindilia kwa kifaa kizito,
Ambapo itabidi niwalipe pesa tofauti na hii 60,000/- yake yeye ya ufundi.
Kwa hapo yupo sahihi?
Kuweka rough floor ni Tsh 500k - 400kMkuu, labda nilikosea kuandika.
Fundi kasema
1) Kuweka rough floor @ 500,000/-,
2) Kupiga plasta @ 900,000/-,
Hivyo kwa kazi hizo mbili, niandae labour charge ya 1,4000,000/-.
Hesabu sio hivyo....hizo kazi za plasta na froor ni Mauzo sio Day workerKama ni labour charge kwa hivyo vyumba vitatu ni siku moja tu anamaliza kwa hiyo hapo mafundi hawatazidi 4 na wasaidizi wao hawatazidi 5 kwa hesabu za haraka haraka kwa siku fundi analipwa elfu 20 na msaidizi elfu 10
Hesabu
Mafundi 4 × 20000= Tsh 80,000/=
Wasaidizi 5× 10000= Tsh 50,000/=
Jumla= 130,000/=
Cheki ulivyopigwa.
Mwizi huyo usimpe!Me inafanana ya yako ingawa kwenye dimensions yako kubwa yangu ni 12.5m× 11m
Jamaa kanipigia Rough Floor kwa 300k
Anasema plasta ndani na nje 1.2M
Nilikua nataka yale ya maurembo ya madirishani
Changamoto
1. siku nmetoka majirani zangu ambao huwa wanalinda wakaniambia kuwa aliiba baadhi ya mifuko ya cement wanasema miwili na kuendelea
2. Hiyo rough floor hata haikua ile nzuri na nahisi imesababishwa na wizi
Sasa hapo amenikera hiyo kazi ya plasta sitompa tena.
Huyo yupo chini sana, nadhani hana uzoefu na kazi hiyo. Zege inatakiwa 800,000/- na kupiga plasta inatakiwa isiwe pungufu ya 1,250,000/-Mkuu, labda nilikosea kuandika.
Fundi kasema
1) Kuweka rough floor @ 500,000/-,
2) Kupiga plasta @ 900,000/-,
Hivyo kwa kazi hizo mbili, niandae labour charge ya 1,4000,000/-.
Yupo sahihiWakuu,
Mnanipa mwanga sana katika kuliekea hili zoezi.
Huyu fundi mmoja kaniambia kuwa kabla ya yeye kuweka floor,
Pale ardhini inabidi awaite vijana wa kumwaga maji ya kutosha na kushindilia kwa kifaa kizito,
Ambapo itabidi niwalipe pesa tofauti na hii 60,000/- yake yeye ya ufundi.
Kwa hapo yupo sahihi?
Bei yake ipo juu mno MkuuMkuu, labda nilikosea kuandika.
Fundi kasema
1) Kuweka rough floor @ 500,000/-,
2) Kupiga plasta @ 900,000/-,
Hivyo kwa kazi hizo mbili, niandae labour charge ya 1,4000,000/-.
Bei gani unafanya na weweMwizi huyo usimpe!
Fundi mstaarabu nipo hapa...
Plasta ya kiwango!
Urembo Wa kisasa
Skimming ya kisasa....
Kwa picha zaidi za plasta na Urembo nicheki kwa namba 0789005562
Au njoo wasap Kwa link hii Wa.me//255789005562View attachment 2164890View attachment 2164891View attachment 2164893View attachment 2164895View attachment 2164896View attachment 2164901
Chumba kimoja sakafu ya zege bei gani? Kina ukubwa gani? Kama ni nyumba ya vipimo ulivyotoa.. kwa idadi hiyo ya mafundi unahitaji kila fundi awe navibarua 2..na kama wahitaji kaz bora hutaipata kwa laki na thelathini. Tuwe wakweli..Kama ni labour charge kwa hivyo vyumba vitatu ni siku moja tu anamaliza kwa hiyo hapo mafundi hawatazidi 4 na wasaidizi wao hawatazidi 5 kwa hesabu za haraka haraka kwa siku fundi analipwa elfu 20 na msaidizi elfu 10
Hesabu
Mafundi 4 × 20000= Tsh 80,000/=
Wasaidizi 5× 10000= Tsh 50,000/=
Jumla= 130,000/=
Cheki ulivyopigwa.
Kodi mashine ya zege kisha unaweza walipa mafundi DayNyumba ina ukubwa wa mita 14 kwa 12.5,
Ina vyumba 3, Sebule 1, Dinning room na jiko.
Fundi ameniambia labor charge ya kuweka zege/rough flow ya inchi mbili nyumba nzima ni 500,000/-,
Na ya kupiga plasta (ndani tu) ni 900,000/-.
Kwa uzoefu wenu, ni bei stahiki au anataka kunipiga?
Kama kawaida, ni lazima nilete kesi na changamoto zote zote za ujenzi katika jukwaa hili mpaka hitimisho lipatikane.
Naomba namba yake uyo wa chanika mkuuYaani rough flour pamoja na skimming ni laki 9 au laki Tisa kwa hiyo kazi moja tu?
Note: Bei ya ufundi itatokana na njaa ya fundi au jinsi alivyo maarufu na si ubora wa kazi.
Huyo fundi yuko juu, mtafute mwingine. Kama uko Chanika na viunga vyake nikuunganishe na mafundi bora wenye gharama nafuu.
Kuna fundi kutoka Bunju kaja Chanika kanitajia bei za ajabu, nilimpata fundi aliifanya ile kazi vizuri kwa pesa ambayo ile aliyoitaja za Bunju unazisiaha mara 2 na nusu ndio ifanane.
Nina mafundi karibu 4 wa viunga hivyo.Naomba namba yake uyo wa chanika mkuu
Kutegemeana na eneo. Mfano mimi Dar nyumba ya 16 kwa 14 Rough floor labour chaji nililipa 300. Na Plaster nje na ndani 1.5M. Kwa ndani tu 900k ongea na fundi akupunguzie bei uchumi wenyewe huu sioNyumba ina ukubwa wa mita 14 kwa 12.5,
Ina vyumba 3, Sebule 1, Dinning room na jiko.
Fundi ameniambia labor charge ya kuweka zege/rough flow ya inchi mbili nyumba nzima ni 500,000/-,
Na ya kupiga plasta (ndani tu) ni 900,000/-.
Kwa uzoefu wenu, ni bei stahiki au anataka kunipiga?
Kama kawaida, ni lazima nilete kesi na changamoto zote zote za ujenzi katika jukwaa hili mpaka hitimisho lipatikane.
Kazi ya ujenzi hakikisha huruhusu fundi ajisimamie hata kama atakupiga maneno matamu kiasi gani.Mimi alinichana jamaa kuwa mzee ulivyochomoka kula wamepita na mifuko hapa nimeoma miwili me ilinikata moto kweli
Nikawa nasubiri kuona mwisho wa kazi sikuridhishwa
Akaanza kunipa hesabu za plasta na nini nikamwambia respect yourself hatuwezi fanya lazi za kuchungana kama watoto natafuta fundi mwingine
Hakuwa amenielewa ila ataona nitakavyoanza plasta vitu vitapita kwake ila kazi hatoiona
Simamia mwenyewe hadi mwisho kama huna muda mtume wife kama umeoa. Kama huna mke basi fanya kinachowezekana.Hawa jamaa wanataka kunifanya mimi babu yao.
Kwenye upauaji walitaka kunipiga materials, nikakaba mpaka penalt baada ya kupata mwongozo kutoka humu jukwaani.
Sasa hivi nd'o wananiseti ili wanipige upande wa labour charge,
Ni mafundi wazuri kiujenzi, Ila watakosa kazi kwa kuendekeza tamaa.