Gharama ya kuweka sakafu ya zege/rough floor

Gharama ya kuweka sakafu ya zege/rough floor

Kwa ufupi plaster chumba kimoja ni kati 50,000-70,000 na rafu 30,000-50,000 kwa ndani.
Sebule, dining na jiko hesabu kama chumba kila kimoja.
Korirido na vyoo inategemea na ukubwa unaweza vichanganya vikawa chumba kimoja.
Pia bei inategemea na eneo na hadhi ya fundi
Mkuu,
Nimeongea na mafundi wawili tofauti.

Mmoja ameniambia Sh. 50,000/-, na rough floor/zege standard ni inchi 2,

Mwingine ameniambia Sh. 60,000/-, na rough floor/zege standard ni inchi 4.

Naomba kujuzwa, rough floor/zege standard ni inchi ngapi?
 
Mkuu,
Nimeongea na mafundi wawili tofauti.

Mmoja ameniambia Sh. 50,000/-, na rough floor/zege standard ni inchi 2,

Mwingine ameniambia Sh. 60,000/-, na rough floor/zege standard ni inchi 4.

Naomba kujuzwa, rough floor/zege standard ni inchi ngapi?

Standard thickness ya floor slab ni 4 inches kwa residential house.
 
Standard thickness ya floor slab ni 4 inches kwa residential house.
Wakuu,
Mnanipa mwanga sana katika kuliekea hili zoezi.

Huyu fundi mmoja kaniambia kuwa kabla ya yeye kuweka floor,
Pale ardhini inabidi awaite vijana wa kumwaga maji ya kutosha na kushindilia kwa kifaa kizito,
Ambapo itabidi niwalipe pesa tofauti na hii 60,000/- yake yeye ya ufundi.

Kwa hapo yupo sahihi?
 
Wakuu,
Mnanipa mwanga sana katika kuliekea hili zoezi.

Huyu fundi mmoja kaniambia kuwa kabla ya yeye kuweka floor,
Pale ardhini inabidi awaite vijana wa kumwaga maji ya kutosha na kushindilia kwa kifaa kizito,
Ambapo itabidi niwalipe pesa tofauti na hii 60,000/- yake yeye ya ufundi.

Kwa hapo yupo sahihi?

Kwa bei no comment! Ila kwa kumwagia maji yupo sahihi, ndio maana huwa napenda kuwashauri watu wakimaliza kujenga boma waweke kifusi ili wakati wanakusanya nguvu kifusi kititie kwa mvua! Usipomwaga maji mengi kuna hatari kifusi baadae kutitia.
 
Mkuu, labda nilikosea kuandika.

Fundi kasema
1) Kuweka rough floor @ 500,000/-,
2) Kupiga plasta @ 900,000/-,

Hivyo kwa kazi hizo mbili, niandae labour charge ya 1,4000,000/-.
Kuweka rough floor ni Tsh 500k - 400k

Plasta ndani tu 800 - 600

Mapema na haraka....unapatikana wapi?

0789005562
 
Kama ni labour charge kwa hivyo vyumba vitatu ni siku moja tu anamaliza kwa hiyo hapo mafundi hawatazidi 4 na wasaidizi wao hawatazidi 5 kwa hesabu za haraka haraka kwa siku fundi analipwa elfu 20 na msaidizi elfu 10
Hesabu
Mafundi 4 × 20000= Tsh 80,000/=
Wasaidizi 5× 10000= Tsh 50,000/=

Jumla= 130,000/=

Cheki ulivyopigwa.
Hesabu sio hivyo....hizo kazi za plasta na froor ni Mauzo sio Day worker
 
Me inafanana ya yako ingawa kwenye dimensions yako kubwa yangu ni 12.5m× 11m
Jamaa kanipigia Rough Floor kwa 300k
Anasema plasta ndani na nje 1.2M
Nilikua nataka yale ya maurembo ya madirishani

Changamoto

1. siku nmetoka majirani zangu ambao huwa wanalinda wakaniambia kuwa aliiba baadhi ya mifuko ya cement wanasema miwili na kuendelea

2. Hiyo rough floor hata haikua ile nzuri na nahisi imesababishwa na wizi

Sasa hapo amenikera hiyo kazi ya plasta sitompa tena.
Mwizi huyo usimpe!

Fundi mstaarabu nipo hapa...

Plasta ya kiwango!

Urembo Wa kisasa

Skimming ya kisasa....

Kwa picha zaidi za plasta na Urembo nicheki kwa namba 0789005562

Au njoo wasap Kwa link hii Wa.me//255789005562
FB_IMG_1647096268800.jpg
IMG_20220301_142949_8.jpg
IMG_20220301_142931_0.jpg
FB_IMG_1647840776392.jpg
FB_IMG_1647840659913.jpg
255654861396_status_b33d6fb676ff4ba6bb59395782ad6559.jpg
 
Mkuu, labda nilikosea kuandika.

Fundi kasema
1) Kuweka rough floor @ 500,000/-,
2) Kupiga plasta @ 900,000/-,

Hivyo kwa kazi hizo mbili, niandae labour charge ya 1,4000,000/-.
Huyo yupo chini sana, nadhani hana uzoefu na kazi hiyo. Zege inatakiwa 800,000/- na kupiga plasta inatakiwa isiwe pungufu ya 1,250,000/-
 
Wakuu,
Mnanipa mwanga sana katika kuliekea hili zoezi.

Huyu fundi mmoja kaniambia kuwa kabla ya yeye kuweka floor,
Pale ardhini inabidi awaite vijana wa kumwaga maji ya kutosha na kushindilia kwa kifaa kizito,
Ambapo itabidi niwalipe pesa tofauti na hii 60,000/- yake yeye ya ufundi.

Kwa hapo yupo sahihi?
Yupo sahihi
 
Mkuu, labda nilikosea kuandika.

Fundi kasema
1) Kuweka rough floor @ 500,000/-,
2) Kupiga plasta @ 900,000/-,

Hivyo kwa kazi hizo mbili, niandae labour charge ya 1,4000,000/-.
Bei yake ipo juu mno Mkuu
 
Bei ya plasta iko juu asee anataka alingane na bei ya bidhaa?
 
Kama ni labour charge kwa hivyo vyumba vitatu ni siku moja tu anamaliza kwa hiyo hapo mafundi hawatazidi 4 na wasaidizi wao hawatazidi 5 kwa hesabu za haraka haraka kwa siku fundi analipwa elfu 20 na msaidizi elfu 10
Hesabu
Mafundi 4 × 20000= Tsh 80,000/=
Wasaidizi 5× 10000= Tsh 50,000/=

Jumla= 130,000/=

Cheki ulivyopigwa.
Chumba kimoja sakafu ya zege bei gani? Kina ukubwa gani? Kama ni nyumba ya vipimo ulivyotoa.. kwa idadi hiyo ya mafundi unahitaji kila fundi awe navibarua 2..na kama wahitaji kaz bora hutaipata kwa laki na thelathini. Tuwe wakweli..
 
Nyumba ina ukubwa wa mita 14 kwa 12.5,

Ina vyumba 3, Sebule 1, Dinning room na jiko.

Fundi ameniambia labor charge ya kuweka zege/rough flow ya inchi mbili nyumba nzima ni 500,000/-,

Na ya kupiga plasta (ndani tu) ni 900,000/-.

Kwa uzoefu wenu, ni bei stahiki au anataka kunipiga?

Kama kawaida, ni lazima nilete kesi na changamoto zote zote za ujenzi katika jukwaa hili mpaka hitimisho lipatikane.
Kodi mashine ya zege kisha unaweza walipa mafundi Day
 
Kuweni na utaratibu wa kuwa na Tools nyumbani, Hizo kazi nyingine ukiwa na Vifaa unafanya mwenyewe tu bila gozi.
 
Yaani rough flour pamoja na skimming ni laki 9 au laki Tisa kwa hiyo kazi moja tu?

Note: Bei ya ufundi itatokana na njaa ya fundi au jinsi alivyo maarufu na si ubora wa kazi.

Huyo fundi yuko juu, mtafute mwingine. Kama uko Chanika na viunga vyake nikuunganishe na mafundi bora wenye gharama nafuu.

Kuna fundi kutoka Bunju kaja Chanika kanitajia bei za ajabu, nilimpata fundi aliifanya ile kazi vizuri kwa pesa ambayo ile aliyoitaja za Bunju unazisiaha mara 2 na nusu ndio ifanane.
Naomba namba yake uyo wa chanika mkuu
 
Nyumba ina ukubwa wa mita 14 kwa 12.5,

Ina vyumba 3, Sebule 1, Dinning room na jiko.

Fundi ameniambia labor charge ya kuweka zege/rough flow ya inchi mbili nyumba nzima ni 500,000/-,

Na ya kupiga plasta (ndani tu) ni 900,000/-.

Kwa uzoefu wenu, ni bei stahiki au anataka kunipiga?

Kama kawaida, ni lazima nilete kesi na changamoto zote zote za ujenzi katika jukwaa hili mpaka hitimisho lipatikane.
Kutegemeana na eneo. Mfano mimi Dar nyumba ya 16 kwa 14 Rough floor labour chaji nililipa 300. Na Plaster nje na ndani 1.5M. Kwa ndani tu 900k ongea na fundi akupunguzie bei uchumi wenyewe huu sio
 
Mimi alinichana jamaa kuwa mzee ulivyochomoka kula wamepita na mifuko hapa nimeoma miwili me ilinikata moto kweli

Nikawa nasubiri kuona mwisho wa kazi sikuridhishwa

Akaanza kunipa hesabu za plasta na nini nikamwambia respect yourself hatuwezi fanya lazi za kuchungana kama watoto natafuta fundi mwingine

Hakuwa amenielewa ila ataona nitakavyoanza plasta vitu vitapita kwake ila kazi hatoiona
Kazi ya ujenzi hakikisha huruhusu fundi ajisimamie hata kama atakupiga maneno matamu kiasi gani.

Mpe wife wako akusimamie kazi itafanikiwa vizuri.
 
Hawa jamaa wanataka kunifanya mimi babu yao.

Kwenye upauaji walitaka kunipiga materials, nikakaba mpaka penalt baada ya kupata mwongozo kutoka humu jukwaani.

Sasa hivi nd'o wananiseti ili wanipige upande wa labour charge,
Ni mafundi wazuri kiujenzi, Ila watakosa kazi kwa kuendekeza tamaa.
Simamia mwenyewe hadi mwisho kama huna muda mtume wife kama umeoa. Kama huna mke basi fanya kinachowezekana.
 
Back
Top Bottom