Msafirishaji
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 1,693
- 2,641
Dah mkuu yani ni changamoto tuKazi ya ujenzi hakikisha huruhusu fundi ajisimamie hata kama atakupiga maneno matamu kiasi gani.
Mpe wife wako akusimamie kazi itafanikiwa vizuri.
No wife
Nipo na dogo nae ni shule
So tegemeo langu linakua fundi
Nikisema nisubiri hadi likizo hela haikai cause ya kudunduliza
Now nme stop kwanza