Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Kabla ya umiliki wa gari kipato chako kikoje?Mimi per day na tumia kama 8- 10 litres nakaa mbali kidogo. Kwa siku 8-10 x3199 =26k - 32k. Kwa mwezi ni 770k - 960k. Kwa mwaka ni 9.4 milloni-11.6 million.
In short kwa mwaka naweza nunua gari lingine, hapo bado services, fine, insurance, accidents, emergency and etc.
Na default this week, naona inatosha
Wengine hali yenu ikoje?
Kwa hoyo wewe unakaa kilomita 80 kutoka mjini?Mimi per day na tumia kama 8- 10 litres nakaa mbali kidogo. Kwa siku 8-10 x3199 =26k - 32k. Kwa mwezi ni 770k - 960k. Kwa mwaka ni 9.4 milloni-11.6 million.
In short kwa mwaka naweza nunua gari lingine, hapo bado services, fine, insurance, accidents, emergency and etc.
Na default this week, naona inatosha
Wengine hali yenu ikoje?
Huyo jamaa mwongo achana naye.Kabla ya umiliki wa gari kipato chako kikoje?
Tuanzie hapo kwanza
distance too and from, na mishe nyingine, hapo ni maximum costKwa hoyo wewe unakaa kilomita 80 kutoka mjini?
Sasa hayo ni mambo ya kujitakia.
Leta sababu nyingine.
akili Huna, I can't answer this level of iqH
Huyo jamaa mwongo achana naye.
Yaani utumie Lita 8 kwa siku kwa safari za kawaida?
Then wewe unaingiza bei gani?
Jamaa anafanyia biashara lakini anataka kutuaminisha kuwa ni matumizi yake ya kawaida
Kuna watu wakiwa na gari linakuwa kama nguo anataka kila mahali awe nalo, mimi gari hainipi stress naamua lini nitoke nalo, na ni siku chache sana kwa mwezi!Kwani ukienda na gari lako kazini mara 2 na mara nyingine ukaenda kwa mwendo kasi maisha yatasimama....?
Acha upuuzi na stori zako za kuunga unga.akili Huna, I can't answer this level of iq
Hahaha.....eti mtu anakaa kibaha kisa ana gari basi kila siku anachoma lita 8. Ina maana hiyo kazi anayoenda kufanya laza iwe inamwingizia si chini ya Laki moja kwa siku. Nje ya hapo ni ujinga tu.Tatizo la Mtu mweusi anazani akiwa anamiliki gari lazima kila siku liwe barabarani hata Kama hiyo sehemu anayokwenda miundombinu ya public transport iko vizuri sana! Mfano mtu unakaa Morocco alafu unataka kwenda Kariakoo kubadili card yako ya Bank unakula Mwendokasi kasi faster uko town! Sema kuna wengine ndiyo atakomaa na foleni kisa Yuko kwa gari yake!!
Risks za boda unazijua? Kwanza boda, bodi ya boda ni wewe mwenyewe..!!Nunua boda mpya mafuta buku tatu unaenda na kurudi afu no foleni kuwa makini road