njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Kwamba na sisi tunatakiwa kupandisha tulingane na hao wengine sio?Bongo bei ya data bado imo chini sana Data bundles in Tanzania cheapest in East Africa
View attachment 2326184
Kabisa. Wanahisi vijana wanatumia internet kwaajiri ya kutazama ngono mitandaoni na kutukana viongozi wa CCM basi.Madhara ya kuongozwa na wazee
Kwahiyo unataka kusema tulingane nao? Mkongo wa taifa na kelele zote zile ilikuwa upumbavu na kujilisha upepo?Bongo bei ya data bado imo chini sana Data bundles in Tanzania cheapest in East Africa
View attachment 2326184
Bongo bei ya data bado imo chini sana Data bundles in Tanzania cheapest in East Africa
View attachment 2326184
Gb 1 iwe shilingi 9,500/Inapendeza mno ,ikiongezeka inakua raha sana tunakua wakishua kama tuko Paris vile.
bado itakuwa himilivu sana na tutakuwa kwenye top 10 afrika bado ni sifa kubwa sana kwa nchiGb 1 iwe shilingi 9,500/
Dah mkuu nimekuja pm unefunga😂 nataka unipe ujuzi aisee namimi niwe natengeneza yakwangu kusubiri wale jamaa wa telegram wanachoshaNgoja nikachonge file langu unlimited
Ila ha tunnel wanachofanyiwa 😹
Sasa hiv kila mtu afe kivyake unasaidia mtu halafu baadae wanareport files bora nibakie na files zangu nijilie vyanguDah mkuu nimekuja pm unefunga😂 nataka unipe ujuzi aisee namimi niwe natengeneza yakwangu kusubiri wale jamaa wa telegram wanachosha