= Umeitoa wapi hii, kuboresha vifurushi!meseji ya kuboresha vifurushi nafikiri maana yake inaeleweka
Mihemuko nadhan hayuko sawa mleta uzi= Umeitoa wai hii, Unaotosha!
===
Wakati kilichoandikwa ni hiki
Ndugu Mteja, tunafanya maboresho katika mtandao leo usiku 17/08 (Saa 3Usk-11Asbh) unaweza kushindwa kupata baadhi ya huduma muda huo.Tunaomba radhi kwa usumbufu
TCRA wapo nyuma ya huu upumbavu infact wao ndio wanaudirect.TCRA wapo bizekuziungia nyimbo za wakina zuchu
Duh!...mawaziri wengi ni vijana wa makamoMadhara ya kuongozwa na wazee
Dah mkuu unaninyong'onyesha kabisa yani hali ilivyo dahh usifanye hivyo 😂😂Sasa hiv kila mtu afe kivyake unasaidia mtu halafu baadae wanareport files bora nibakie na files zangu nijilie vyangu
tulia kiongozi ufanyiwe marekebisho, kwani hata ikipanda kuna shida gani bado Tanzania itakuwepo top 10 kwa bei nafuuu la bando afrika= Umeitoa wai hii, Unaotosha!
===
Wakati kilichoandikwa ni hiki
Ndugu Mteja, tunafanya maboresho katika mtandao leo usiku 17/08 (Saa 3Usk-11Asbh) unaweza kushindwa kupata baadhi ya huduma muda huo.Tunaomba radhi kwa usumbufu
Kwa mujibu wa nape. Aiseee kwa hizi dharau tunazofanyiwa nategemea vijukuu vya wapigania uhuru wa kweli hatutaachia hawa wapuuzi waendelee kuwapo kwenye uongozi.Kwamba na sisi tunatakiwa kupandisha tulingane na hao wengine sio?
Acha kila mtu apambane na hali yakeDah mkuu unaninyong'onyesha kabisa yani hali ilivyo dahh usifanye hivyo 😂😂
kushuka tena? NAPE alishasema kampuni za simu zinakumbana gharama kubwa za uendeshaji kama mafuta na kadhalika kwa hiyo lazima zipandeNatumai yaenda shuka
Wenye hii app ni waafrica kumbe ?? Vipi google naweza kupata tutorial nzuri za kujifunza kutengeneza file??Acha kila mtu apambane na hali yake
Acha tu hii nchi ina watu wa ovyo sanaKwamba na sisi tunatakiwa kupandisha tulingane na hao wengine sio?
toa sababu moja ya kushusha kama waziri akiwatetea kupandisha bando alisema gharama za uendeshaji zimepanda je zimeshashuka, mafuta yameshuka?Naona mitandao yote kesho wanafanya maboresho Ila nadhani wanashusha bando sio kupandisha
ingia youtube zipo tutorials nyingi tuWenye hii app ni waafrica kumbe ?? Vipi google naweza kupata tutorial nzuri za kujifunza kutengeneza file??
aisee mi naomba unieoekeze kutengeneza tu maana nilishindwa.Sasa hiv kila mtu afe kivyake unasaidia mtu halafu baadae wanareport files bora nibakie na files zangu nijilie vyangu
Safii. Uchumi wa buluuHizi ni sms kutoka TTCL na Tigo. Na bado naambiwa na Dstv nao wanakuja na mkeka mpya wa vifurushi. Anaupiga mwingi...View attachment 2326233View attachment 2326234
Tuko pazuri mnoo, gharama bado ni himilivu mnoooSafii. Uchumi wa buluu