Gharama za gari aina ya Hummer

Mimi sijawahi miliki hata boxer tu .Nataka niongee kwa experience ndogo niliyoipata kuna jamaa angu mmoja an pikipiki mpya kainunua juzi XLR ckumbuki ni cc ngapi .
Believe ile tention ambayo hua tunaipata tunapokua hata baa tu kuna watu na vi vitz vyao huona aibu .
Kama mtoto wa kiume na Mungu Akinijalia ninatamani sana magari ya kibabe kama hayo kina range defender hummer jaguar na mengine mazuri mazuri
 
Mkuu kwani kuna gari mpya??? Kila gari inayopita bandarini pale ni used isipokuwa zinatofautiana TU viwango vya kutumika
Yani bandarini hakuna gari mpya inayopita au sijaelewa point yako?...
 
Yap, ni mshamba totally. Hio gari sikuwahi ipenda na sitakaa niipende. Hao GM walipoteza tu hela zao
Hummer production kaichukua mchina now...na niliona mahali nazani stil a concept HUMMER RHINO this concept is a beast!!..
 
Yu re more than hopeless... Jf is the place where anybody could be anything. But in really life everyone knows themselves. Hata ningekuwa sina pesa nsingenunua Vitz. Baiskel sijawah milik ni kwel. But umewaza kipumbavu sana. Kuwa kama bill gates hajawah milik baiskel basi atakuwa ni maskini. That kinda reasoning it is only found here in jf. Otherwise nashukuru umepata nafasi ya kuni soma threads zangu na posts zangu mbalimbal. Mimi nipo busy i wont get a chance to do that kwako. Si jambo la ajabu mtu kwenda kuangalia mwanaume wake anafanya nini but na mwanaume hawez naye enda saluni kumfuatilia mpenz wake.


Gudume anabak kuwa gudume na kila kitu chake huku JF. Wewe endelea kuchunguza watu coz muda unao. Sisi wanaume we hit and run no time to waste.
 
Umeongea vizur sana. Huwez endesha vitz ukasema una gari. Ni aibu. Bora uwe na yamaha au zile mashine za kimarekani zina cc mpaka 1500 uendeshe mtaani. Si vigari kama mikate.

 
M
Mkuu hizo cc za bajaj
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] . Wee mbona hujasema kama unataka kununua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama nakuona ivi Masoud Kipanya ukiwatisha watu wasiwe na hayo magari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…