Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Mimi sijawahi miliki hata boxer tu .Nataka niongee kwa experience ndogo niliyoipata kuna jamaa angu mmoja an pikipiki mpya kainunua juzi XLR ckumbuki ni cc ngapi .
Believe ile tention ambayo hua tunaipata tunapokua hata baa tu kuna watu na vi vitz vyao huona aibu .
Kama mtoto wa kiume na Mungu Akinijalia ninatamani sana magari ya kibabe kama hayo kina range defender hummer jaguar na mengine mazuri mazuri
Believe ile tention ambayo hua tunaipata tunapokua hata baa tu kuna watu na vi vitz vyao huona aibu .
Kama mtoto wa kiume na Mungu Akinijalia ninatamani sana magari ya kibabe kama hayo kina range defender hummer jaguar na mengine mazuri mazuri