Gharama za harusi ya Aristote ni kufuru

Gharama za harusi ya Aristote ni kufuru

Diamond pekee kamwaga 180M [emoji119][emoji119]
Screenshot_2021-11-21-19-04-04-53_1c337646f29875672b5a61192b9010f9.jpg
 
Jealous is HATING AND LOVING AT THE SAME TIME
Wakuu, haijalishi kama hiyo budget in reality haireflect uhalisia but the guy did his thang. Wengi sana tunatamani kufikia levo flan lakini ramani zetu bado hazijakaa sawa. Hivi ni nani hatamani harusi yake angepaa na chops kutua kanisani? Au hata a Chariot kama Elijah alivoenda mbinguni? [emoji2][emoji2]. Platnumz peke yake pale ukumbini kamwaga Randi ambazo ni Tsh.15M worth cash akaandika na check ya 15M plus kiwanja alichomnunulia mwana Cha 2000SQM worth TZS 50M [emoji119][emoji119]. Sherehe ilifana, watu walienjoy na jamaa ameamka na ukwasi mzuri tu. Nilichogundua wabongo wengi tuna ka-syndrome flan against vijana wenzetu ambao wamefanikiwa kwa kiasi fulani maishani. Ukiwaangalia kina Fred ngajiro alias Fred Vunjabei, Frank knows etc tunatamani kuwa kama wao ila narudia, ramani hazijasoma. Regardless of what they do (iwe albadir ya mhindi or whatever), let's learn to appreciate people's success na ile hasira tuiweke kwenye hustle zetu perhaps one day Jah atabless. Ni kama tu vile una washkaji zako mnaishi maisha ya chini mnayofanana halafu ghafla labda wanakuona mwenzao umevuta kausafiri hata ka vitz tu, utashangaa wengine wanaanza kukukataa mara oooh mwana amevuta ndinga ameanza kujiona au tangu amejenga hatusemi badala ya kuzidisha hasira kwenye kutafuta. 180M or not, he did his thing and people enjoyed. Hata mimi nilienjoy live kwenye wasafi tv [emoji23][emoji23]
 
Jealous is HATING AND LOVING AT THE SAME TIME
Wakuu, haijalishi kama hiyo budget in reality haireflect uhalisia but the guy did his thang. Wengi sana tunatamani kufikia levo flan lakini ramani zetu bado hazijakaa sawa. Hivi ni nani hatamani harusi yake angepaa na chops kutua kanisani? Au hata a Chariot kama Elijah alivoenda mbinguni? [emoji2][emoji2]. Platnumz peke yake pale ukumbini kamwaga Randi ambazo ni Tsh.15M worth cash akaandika na check ya 15M plus kiwanja alichomnunulia mwana Cha 2000SQM worth TZS 50M [emoji119][emoji119]. Sherehe ilifana, watu walienjoy na jamaa ameamka na ukwasi mzuri tu. Nilichogundua wabongo wengi tuna ka-syndrome flan against vijana wenzetu ambao wamefanikiwa kwa kiasi fulani maishani. Ukiwaangalia kina Fred ngajiro alias Fred Vunjabei, Frank knows etc tunatamani kuwa kama wao ila narudia, ramani hazijasoma. Regardless of what they do (iwe albadir ya mhindi or whatever), let's learn to appreciate people's success na ile hasira tuiweke kwenye hustle zetu perhaps one day Jah atabless. Ni kama tu vile una washkaji zako mnaishi maisha ya chini mnayofanana halafu ghafla labda wanakuona mwenzao umevuta kausafiri hata ka vitz tu, utashangaa wengine wanaanza kukukataa mara oooh mwana amevuta ndinga ameanza kujiona au tangu amejenga hatusemi badala ya kuzidisha hasira kwenye kutafuta. 180M or not, he did his thing and people enjoyed. Hata mimi nilienjoy live kwenye wasafi tv [emoji23][emoji23]
Locals mmiambiwaga ukweli mmaona ni hate kama vile mmeshikiwa akili. Hayo ya maganikio yanahusiana nn hapa. Mshazoea kuchotwa akilk

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Ila mke pale kapata mwanamke hana makuu maskin yupo yupo tu
Wamejitahidi
Sikuwa namjua mpaka nilipoona fujo kila mtu anamtaja na harusi yake. Nikajua ni CEO wa corporate labda ila zile kiki hazikuwa za ki-CEO niliona ni za kicelebrity nikahisi itakuwa kawaida yao kuongeza sifuri
 
Jealous is HATING AND LOVING AT THE SAME TIME
Wakuu, haijalishi kama hiyo budget in reality haireflect uhalisia but the guy did his thang. Wengi sana tunatamani kufikia levo flan lakini ramani zetu bado hazijakaa sawa. Hivi ni nani hatamani harusi yake angepaa na chops kutua kanisani? Au hata a Chariot kama Elijah alivoenda mbinguni? [emoji2][emoji2]. Platnumz peke yake pale ukumbini kamwaga Randi ambazo ni Tsh.15M worth cash akaandika na check ya 15M plus kiwanja alichomnunulia mwana Cha 2000SQM worth TZS 50M [emoji119][emoji119]. Sherehe ilifana, watu walienjoy na jamaa ameamka na ukwasi mzuri tu. Nilichogundua wabongo wengi tuna ka-syndrome flan against vijana wenzetu ambao wamefanikiwa kwa kiasi fulani maishani. Ukiwaangalia kina Fred ngajiro alias Fred Vunjabei, Frank knows etc tunatamani kuwa kama wao ila narudia, ramani hazijasoma. Regardless of what they do (iwe albadir ya mhindi or whatever), let's learn to appreciate people's success na ile hasira tuiweke kwenye hustle zetu perhaps one day Jah atabless. Ni kama tu vile una washkaji zako mnaishi maisha ya chini mnayofanana halafu ghafla labda wanakuona mwenzao umevuta kausafiri hata ka vitz tu, utashangaa wengine wanaanza kukukataa mara oooh mwana amevuta ndinga ameanza kujiona au tangu amejenga hatusemi badala ya kuzidisha hasira kwenye kutafuta. 180M or not, he did his thing and people enjoyed. Hata mimi nilienjoy live kwenye wasafi tv [emoji23][emoji23]
Yaelekea we mgeni wa harusi,hapo hakuna cha zawadi wala nin...hiyo michezo ya kuzuga kutoa mizawadi na kuandika micheki mbona ni ya kizamani sana.
 

Na hii wala haihusiani na uhai wa ndoa. Ndoa inaanza baada ya hapo.

Mimi nilifunga ndoa ya kibabe, sherehe ikafanyika nchi mbili Afrika na moja tukaifanya ulaya.

Leo nina mke mwingine mwaka wa nne. Japo nimemuoa kwa ndoa ila kutokana na uzoefu niliyoipata kwenye ndoa ya kwanza, hii ndoa ya pili kwanza ilifungiwa bomani, mashahidi niliwachukua wawili tu, pete nikaokoteza za shilingi elfu kumi tu kwa pete zote mbili.

Japo mke wangu alitaka sherehe za namna hii na japo nina uwezo wa kumfanyia hivyo bila hata mchango, nilikataa katakataa ikabidi achague kuolewa au arusi.

Sherehe ni muhimu na inaleta furaha ila pia inatia huzuni baadae mambo yakienda kombo. Inaongeza umasikini ukiiangalia kwa jicho lingine, ni matumizi ambayo wengi tunajutia japo kimya kimya.
 
Back
Top Bottom