900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
jamaa anatukumbusha mbali sana kwenye joining instructions form ya advance zile shule za tech unachangia gharama ya uchakavuUchakavu ni nini!? Nazeeka nini!!🧐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaa anatukumbusha mbali sana kwenye joining instructions form ya advance zile shule za tech unachangia gharama ya uchakavuUchakavu ni nini!? Nazeeka nini!!🧐
Kwa hiyo kwa mzazi hauhami au ndiyo utastaafia kwenye ya kupangisha?Kwa bajeti hii Mambo ya Kujenga sahau
Mnajitakia huku goms Motel 20-25 anakuja na boda au Daladala kula msosi buku 5 mwenyewe anatoka na 15.Hata hivyo Haya ni matumizi ya maumivu sana Tena siku hiyo umeuza mzigo wako wa Machungwa pale Buguruni unataka vuta mvaa dela au kijora mmoja.Wakulialia Kuna za sh elf 5 na buku 10 (hapa akikisha amekula kwao) ya kuondoka nayo.Daresalaam maisha unayaamua mwenyewe uende nayo vipi.Sina hamu, juzi nimechoma laki150,
Yaani unawaza mifuko ya Cement tu ndio akili yako inachowaazaMkuu hapo ni 350,000/ 16,000 =22Bags za Cement ya Twiga .......Dah....Hatari sana.....Ukifanya hivyo kila wiki, ni 350,000X4=1,400,000 - Kweli starehe gharama....
umeshapata ajira?Izo ni gharama za simps wanaofikiri kudate na mwanamke ni kufanyiwa favor.
Na wao ndo maana wanatakaga hela yao mapema kabla hamjaanza kaziUkishakojoa ndo majuto yanaanza
😀😀😀Naona wazinzi mnapitisha bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025.
🤣🤣🤣jamaa anatukumbusha mbali sana kwenye joining instructions form ya advance zile shule za tech unachangia gharama ya uchakavu
Haswa tena saivi wameboresha🤣🤣🤣🤣 hapo kwenye jengo la TECNO
Leo unaenda kuchoma how much mkuu?..Najiandaa kwenda kukamua jamani,
Zigo limechomoaLeo unaenda kuchoma how much mkuu?..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukishakojoa ndo majuto yanaanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo gharama ya uchakavu ndio ile tulikua tunaita ya sabuni akaoge au
dronedrakeWakuu ukisema Leo ngoja nikajiburudishe na mpenzi wako Kwa Dar Ni balaa,
1. Lodge (30,000-50,000 TSH),
2. Chakula/Vinywaji -;Savanna na Castle lite (40,000 Tsh),
3. Usafiri - Uber/bolt (20,000 TSH x 2),
4. Uchakavu (50,000 TSH).
Wastani andaa 150,000 -200,000 kwa kila game.
NB: Kwa bajeti hii Mambo ya Kujenga sahau.
Binafsi ijumaa na jumamosi ndo siku ya 'kujiburudisha' lodge/hotel za Manzese tiptop.
NYETO Oyeee
Wakuu ukisema Leo ngoja nikajiburudishe na mpenzi wako Kwa Dar Ni balaa,
1. Lodge (30,000-50,000 TSH),
2. Chakula/Vinywaji -;Savanna na Castle lite (40,000 Tsh),
3. Usafiri - Uber/bolt (20,000 TSH x 2),
4. Uchakavu (50,000 TSH).
Wastani andaa 150,000 -200,000 kwa kila game.
NB: Kwa bajeti hii Mambo ya Kujenga sahau.
Binafsi ijumaa na jumamosi ndo siku ya 'kujiburudisha' lodge/hotel za Manzese tiptop.