Gharama za kujiburudisha kimapenzi zapaa

Gharama za kujiburudisha kimapenzi zapaa

Kama unafanya starehe halafu unakuja kulalamika ujue hauishi kulingana na kipato chako.

Punguza matumizi endelea kutafuta hela

Hizo K hazina maajabu wewe unamlipa 50k kuna mwana ameshamchoka

Unamkodishia bolt kuna mwana simu moja tu huyo malaya anaenda mwenyewe hata nauli haulizii anapigwa miti anasonga ugali wanakula anarudi kwao

Acha ulimbukeni bwana mdogo

A horny man can lose everything in a day

Success requires sexual discipline

As a man control your sexual urges before you lose yourself

Mwehu wewe
Nakazia,bora usitoe..mtu anatoa then analalama huo ni wehu!
 
Kwanini umpe 10000 kafanya kazi gani kubwa wakati hapo amepata raha kama zifuatazo( 1.)ulimbeba kwa gari tufanye alitumia mafuta ya 2000 (2.)ulimpakata tufanye gharama ya kumpakata mtu mzima kama huyo ni 2500 (3.)ulimpa virutubisho adimu mno ambavyo faida yake mwili wake utakuwa mwororo mno na sauti yake itakuwa laini mno tufanye kirutubisho hicho ni 10000 kwasababu havipatikani madukani kwahiyo ni adimu........kiufupi huyo ilitakiwa akupe wewe hela
Kumbe ndomaana tunaofuga mifugo, kwenye kupandisha, mwenye mnyama dume ndo analipwa
 
Kwanini umpe 10000 kafanya kazi gani kubwa wakati hapo amepata raha kama zifuatazo( 1.)ulimbeba kwa gari tufanye alitumia mafuta ya 2000 (2.)ulimpakata tufanye gharama ya kumpakata mtu mzima kama huyo ni 2500 (3.)ulimpa virutubisho adimu mno ambavyo faida yake mwili wake utakuwa mwororo mno na sauti yake itakuwa laini mno tufanye kirutubisho hicho ni 10000 kwasababu havipatikani madukani kwahiyo ni adimu........kiufupi huyo ilitakiwa akupe wewe hela
Na anakwambia sijaridhika na bado hela anataka!
 
Chakula/Vinywaji -;Savanna na Castle lite (40,000 Tsh)
kwa chakula gani na vinywaji iwe 40k mana kama kuku kienyeji makange mzima na ndizi nne ni elf 40. au foil kila mmoja na wali au chips hapo ni zaid ya 35 basi kitimoto choma kilo mbili ndizi nne tayari 40 na ushee hapa chakula na vinywaji kwa kujibana sana weka 70 mkuu
 
Back
Top Bottom