comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Gharama zake zinaweza kufika bei ganRabinsia Tegeta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gharama zake zinaweza kufika bei ganRabinsia Tegeta.
h coment yako imenifurahisha na kunifikirisha sana.Ulisikia wapi raisi wa serikali ya awamu ya 6 akisema serikali yake ni ya wanyonge?? Hii sio serikali ya kukujali ww mnyonge..
inategemea ila kama ni Normal delivery inaweza isipipungue 500k. Opereshen sijajuaGharama zake zinaweza kufika bei gan
Hii kuna kipindi unaletewa bure kabisa Tena nyumbani kwako.Kitu rahisi nchi hii ni kadi ya ccm tu
unapewa bure iliikutese, yaani.Hii kuna kipindi unaletewa bure kabisa Tena nyumbani kwako.
Kama tulivyo fuatwa nyumbani kuandikisha kupiga kura uchaguzi serikali za mitaa.
Vipi kuhusu Dawa kwa mtu mwenye BIMA bado gharama zinakuwa ndani ya BIMA?Mloganzila Wana huduma nzuri mno,muhimu uwe na bima Tu!
Kama huna bima lazima mchozi ukutoke ukipokea bill yako!
Inategemea na aina ya Bima uliyonayo!Vipi kuhusu Dawa kwa mtu mwenye BIMA bado gharama zinakuwa ndani ya BIMA