KERO Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru

KERO Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mimi Nina bima na sijawahi kuteseka kabisa! Hao wanaoteseka sijui wanateseka vipi!
Bima gani. maana bima mimi nilikuwa na bima 2013-2021 nikaachana nayo, maana ukifika Hospitali ukiwa na bima tu huduma yake inakuwatofauti wanaona kama unatibwa Bure. Utaandikiwa dawa ukanunue nje. utasumbuliwa n.k Mimi Bima sitaki hata Kuisikia
 
Mtoto wangu wa kwanza wa kike alijifungua nilitumia million 5, ilikuwa kama movie.

Hospital nilikupa 2 million private, mtoto alikuwa amekaa vibaya mno na pia kajifunga na umblical cord.

Madaktari waliangaika 4 hours kuweka sawa afya ya mama kabla hawajamfungulisha. Anesthesia alidai sijui presha imecanyaje akifanyi2a operation lazima mama aende

Nilitoka fasta baada ya kupewa akili, kumtafuta dokta bingwa gyno, naye alitaka 2.5 million ili atoke kwenye kazi yake. Analipwa kwa saa

Niliona bora nimpe tu hapo sijui kama mtoto ama mama atapona. Gyno na wenzake walifanya juhudi, operation ilikuja fanyika ndani kuna madaktari saba, gyno wawili, manesi na anesthesiologist, acha tu

Naambiwa mkeo kajifungua mtoto wa kike kwa kisu, nililia kama fala. Huwa silii na sijawahi lia hata msibani, siku anayokufa bibi kwanz usiku wake nilikul mzigo, yan kifup hata misib ikitokea nakula mzig. Inawezekana nina shida sehemu kwan hata majonzi haya yanaendelea nchin bado siku zote hizi nimekul mzigo, niombeen nina shida sehemu, thanks

Nisitoke nje ya mada, mtoto alizaliw, nilitumia gharama nyingine hapo kati. Sasa nina binti mtundu sana, mke wangu yuko salama mishono tu huwa inamuuma


Hii kulalamika ni kwa sababu hatuna hela. Gharama za kuzalisha tanzania ni nafuu compared to states. Serikaii ibireshe na indelee kupunguza jwa kulipia asilimia kubwa zaidi

Tutafute hela ndugu zangu, umaskini mbaya sana
Compared to states.....seriously?
 
Hapo ni red flag kwamba we just need to have only one trip there na Kama hatuna pesa tuachane na mambo ya kuleta Viumbe wengine duniani
 
Hivi hospital gani nzuri kwa dar private unaweza ukapeleka mjamzito akajifungulia huko?
 
Hivi mkuu kwa nchi hii masikini gharama ikiwa bure ,unazani nani atailipia?

Tatizo tunawaamini sana wanasiasa.
 
Hivi mkuu kwa nchi hii masikini gharama ikiwa bure ,unazani nani atailipia?

Tatizo tunawaamini sana wanasiasa.
si kuna misaada inatolewa Huko nje kwa ajili ya kusaidia au kulipia hizo Huduma. au zinaliwa wanwadanganya wahisani?
 
Ulisikia wapi raisi wa serikali ya awamu ya 6 akisema serikali yake ni ya wanyonge?? Hii sio serikali ya kukujali ww mnyonge..
 
Back
Top Bottom