comrade_kipepe JF-Expert Member Joined Jun 25, 2019 Posts 3,411 Reaction score 4,435 Nov 25, 2024 #241 DALALI MKUU said: Rabinsia Tegeta. Click to expand... Gharama zake zinaweza kufika bei gan
JOHNGERVAS JF-Expert Member Joined Mar 22, 2016 Posts 1,011 Reaction score 1,681 Nov 26, 2024 Thread starter #242 Bani Israel said: Ulisikia wapi raisi wa serikali ya awamu ya 6 akisema serikali yake ni ya wanyonge?? Hii sio serikali ya kukujali ww mnyonge.. Click to expand... h coment yako imenifurahisha na kunifikirisha sana.
Bani Israel said: Ulisikia wapi raisi wa serikali ya awamu ya 6 akisema serikali yake ni ya wanyonge?? Hii sio serikali ya kukujali ww mnyonge.. Click to expand... h coment yako imenifurahisha na kunifikirisha sana.
D DALALI MKUU JF-Expert Member Joined May 7, 2022 Posts 2,011 Reaction score 4,705 Nov 26, 2024 #243 comrade_kipepe said: Gharama zake zinaweza kufika bei gan Click to expand... inategemea ila kama ni Normal delivery inaweza isipipungue 500k. Opereshen sijajua
comrade_kipepe said: Gharama zake zinaweza kufika bei gan Click to expand... inategemea ila kama ni Normal delivery inaweza isipipungue 500k. Opereshen sijajua
Titicomb JF-Expert Member Joined Jan 27, 2012 Posts 12,823 Reaction score 21,210 Nov 26, 2024 #244 Erythrocyte said: Kitu rahisi nchi hii ni kadi ya ccm tu Click to expand... Hii kuna kipindi unaletewa bure kabisa Tena nyumbani kwako. Kama tulivyo fuatwa nyumbani kuandikisha kupiga kura uchaguzi serikali za mitaa.
Erythrocyte said: Kitu rahisi nchi hii ni kadi ya ccm tu Click to expand... Hii kuna kipindi unaletewa bure kabisa Tena nyumbani kwako. Kama tulivyo fuatwa nyumbani kuandikisha kupiga kura uchaguzi serikali za mitaa.
JOHNGERVAS JF-Expert Member Joined Mar 22, 2016 Posts 1,011 Reaction score 1,681 Nov 26, 2024 Thread starter #245 Titicomb said: Hii kuna kipindi unaletewa bure kabisa Tena nyumbani kwako. Kama tulivyo fuatwa nyumbani kuandikisha kupiga kura uchaguzi serikali za mitaa. Click to expand... unapewa bure iliikutese, yaani.
Titicomb said: Hii kuna kipindi unaletewa bure kabisa Tena nyumbani kwako. Kama tulivyo fuatwa nyumbani kuandikisha kupiga kura uchaguzi serikali za mitaa. Click to expand... unapewa bure iliikutese, yaani.
Mkimbizi99 Senior Member Joined Jul 18, 2020 Posts 103 Reaction score 139 Nov 26, 2024 #246 Kuna mtu alipewa rufaa mloganzila akakaa masaa kadhaa akafariki, walikuja kuzuia maiti mpk bill ya dawa alizotumia mgonjwa 2M ilipwe. Dawa zenyewe aliandikiwa ila hazikutumiwa ndipo mgonjwa akafariki. Hii nchi ukishakuwa maskini ni mateso tupu
Kuna mtu alipewa rufaa mloganzila akakaa masaa kadhaa akafariki, walikuja kuzuia maiti mpk bill ya dawa alizotumia mgonjwa 2M ilipwe. Dawa zenyewe aliandikiwa ila hazikutumiwa ndipo mgonjwa akafariki. Hii nchi ukishakuwa maskini ni mateso tupu
second9 JF-Expert Member Joined Jun 22, 2016 Posts 216 Reaction score 451 Dec 9, 2024 #247 shibela said: Mloganzila Wana huduma nzuri mno,muhimu uwe na bima Tu! Kama huna bima lazima mchozi ukutoke ukipokea bill yako! Click to expand... Vipi kuhusu Dawa kwa mtu mwenye BIMA bado gharama zinakuwa ndani ya BIMA?
shibela said: Mloganzila Wana huduma nzuri mno,muhimu uwe na bima Tu! Kama huna bima lazima mchozi ukutoke ukipokea bill yako! Click to expand... Vipi kuhusu Dawa kwa mtu mwenye BIMA bado gharama zinakuwa ndani ya BIMA?
shibela JF-Expert Member Joined Jul 3, 2018 Posts 1,068 Reaction score 3,507 Dec 28, 2024 #248 second9 said: Vipi kuhusu Dawa kwa mtu mwenye BIMA bado gharama zinakuwa ndani ya BIMA Click to expand... Inategemea na aina ya Bima uliyonayo!
second9 said: Vipi kuhusu Dawa kwa mtu mwenye BIMA bado gharama zinakuwa ndani ya BIMA Click to expand... Inategemea na aina ya Bima uliyonayo!
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Jan 10, 2025 #249 .