Gharama za kumiliki kifo

Hata chakula ni sumu na ni kifo.. Kumiliki helicopter ni gharama ni usumbufu mwingi na ni kifo mlangoni
 
Mhhh.... mshana huwa nakukubali lakini hii mbona ni kama hate speech kwa bil Mulokozi?

Acha watu watumie pesa mkuu, wamezitafuta kwa shida. Halafu kumbuka ni pesa za kuuza pombe hivo usijali sana
Sina wivu na pesa zake kapambana sana mwana! Na hii mada haina uhusiano
 
Helicopter kambi popote hata juu ya jiwe poa tu
 
Mkuu naomba ufafanuzi hapo. Kuna shida gani ukimiliki?
Wamiliki wengi wana mafunzo ya maramoja tu tena kwa ajili ya kupata nyaraka na katika maisha hao ni mara chache mno hutumia..
Wanaokuja kukuvamia ni wazoefu na hutumia kila wakati..
 
Bw. Mshana unaniangusha,

Ni lini umeanza tabia ya kuzipangia matumizi, pesa za wanaume wenzako?

Wee mbona unakaanga maini Yako mwnyw Kwa pombe Kali na hatusemi?

Hivi Ni nani ana hati miliki ya kifo CHAKE?
 
Bw. Mshana unaniangusha,

Ni lini umeanza tabia ya kuzipangia matumizi, pesa za wanaume wenzako?

Wee mbona unakaanga maini Yako mwnyw Kwa pombe Kali na hatusemi?

Hivi Ni nani ana hati miliki ya kifo CHAKE?
Umeniangusha sana kuwa na maono mafupi kimo cha mbilikimo
 
Pole sn mkuu,
Ila unapaswa kujua "kifo Ni kifo" TU
kifo hakina formula, siku ikifika TU, Hata mwiba wa samaki unakuua.
Ni kweli kabisa lakini si vema kujijengea mazingira yake kwa gharama kubwa๐Ÿฅบ๐Ÿ™‡๐Ÿฟโ€โ™‚
 
Bw. Mshana unaniangusha,

Ni lini umeanza tabia ya kuzipangia matumizi, pesa za wanaume wenzako?

Wee mbona unakaanga maini Yako mwnyw Kwa pombe Kali na hatusemi?

Hivi Ni nani ana hati miliki ya kifo CHAKE?
Ana umbogamboga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ