Gharama za kumuuguza Mzee zinaongezeka. Sisi tumeshachoka kwa kweli. Bora tu achukuliwe

Gharama za kumuuguza Mzee zinaongezeka. Sisi tumeshachoka kwa kweli. Bora tu achukuliwe

Mkuu.. wewe huujui uislamu kuliko mimi. Ungenyamaza tu ili usije leta mjadala wa kidini hapa. Mimi toka babu yangu alikuwa sheikh, mufti na alhaj.

Wewe maamuma tu unataka jifanya unaifahamu dini na mistari ya kukariri kuliko watu wenye uelewa wa dini? Acha huo upuuzi hapa tunaongea kisomi siyo kimaamuma.
Ww mbwa hapo umeongea kisomi gani.???? We unaona mazuri hayo uliyo andika kuhusu mzazi.???? Hivi ww huyo ni baba yako kweli unaongea maneno ya kifedhuli kiasi hiki.mshenzi mkubwa wewe.sasa baba yako akishakufa ndio utapata nafuu unadhani.?? Kwann usiwe na subra ?? Uzee ni kitu kisichokwepeka

Mtunze mzee acha roho mbaya.alafu mauti wala hayachagui umri au mgonjwa.usishangae akaondo mzima na mgonjwa akapeta
 
Mwanzoni nilidhani anazungumzia chama cha TANU and later CCM. Nimekuwa confused.
 
Halafu eti anajitapa ni mjukuu wa Mufti. Mjukuu wa Mufti kasahau au hajui kuwa Abu Lahab, ambaye kabashiriwa moto akiwa hai tena katika Qur'an, alikuwa Baba yake mdogo Mtume ﷺ. Baba yake Nabii Ibrahim ('Alayhis Salaam) atakwenda motoni. Ikrima (Radhwiya Allahu 'Anhu) Swahaba Mtukufu huyu baba yake ni Abu Jahl adui mkubwa wa Uislam. Mjukuu wa Mufti kasahau hili. Yeye kuwa Mjukuu wa Sheikh basi kashakuwa Muislam mjuzi na haiwezekani akawa mjinga.

Kumewafaa nini akina Utba bin Rabi'a na akina Abu Jahl kuzaliwa kwao Makkah na wakaishi karibu na al-Ka'aba ilhali walimkataa Mtume ﷺ na wakafa wakiwa ni Washirikina?

Allah atuongoze sisi na yeye mleta uzi katika njia iliyonyooka.
Unadhani mleta mada ni Muislamu?. Ile reply ya mwanzo tu aliyoielekeza kwa Akhi ukiisoma kwa umakini utajua na huenda hata hii mada yenyewe wala sio tukio la kweli anatafuta attention za watu tu humu.
 
Humu bhana watu wanajifanya watakatifu kuuguza ni bonge la changamoto na hasa kwa upande wetu sisi ambao vipato vyetu havieleweki unauguza mpaka akili inaacha kufanya kazi huelewi lipi baya lipi zuri halafu ukute asset zote umeuza madeni mengi kazi au biashara imekufa hwe acha tu
 
Wewe yasikie tu hawa wanaosem vumilia hawajui eti wanakupa mistari ya Qoran hyo ni theory ukija kweny uhalisia utajua hujui. Sisi kwetu wazee walifikia hatua wakataka wamuwekee baba yao sumu afe lkn ikashindn coz kila mtu alipata ugumu wa kummywesha hyo sumu, mzee akafa kwa wakati wake na watu wakapata ahueni
Jamani nikwamba ilikuaje hadi kuwaza ujinga huu?kua mmuwekee sumu mzazi kisa anawasumbua?Mungu aturehemu maana unaweza zaa ukijua umepata wakukutunza siku nguvu zimekuishia kumbe anawaza kukupa sumu hivi mnajua ilivyokazi kulea mimba hadi kitoto kilivyokidogo kijitambue?

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.

Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?

Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.

Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Akifariki ipo siku utamkumbuka, utalia Sana na kujuta pindi utakapo soma. huu Uzi wako
 
Pole Sana mkuu kwa kuuguza mzee omba kibali Cha poison if possible in Tz utulie
 
Mimi mpaka hapo sijaona ustaarabu wako pia. Mimi nimeongea uhalisia ulivyo. Kila mtu ni mzee na marehemu mtarajiwa. So hi haitoi kibali cha mtu kuwa mnafiki na mpuuzi. Kuna haja gani kutumia chakula cha wazima kumpa mtu ambaye hatoweza kuwa mzima? Wafe wote? Miaka 90 plus unadhani ni michache? Na hali yake si nzuri. Unadhani kuna mtu ataishi milele?
Wewe unatatizo haki,nahisi bora usingezaliwa,una roho mbaya sana kwa kweli,chakula kitu gani
 
Chizi anataka kufanya maarifa ampeleke baba yake sayuni
 
Chizimaarifaaà upo wapi Usha mshusha
MSHUA?
Weka tatizo la mzee tukusaidie Acha mawazo ya kiwenda wazimu
 
Back
Top Bottom