Gharama za kumuuguza Mzee zinaongezeka. Sisi tumeshachoka kwa kweli. Bora tu achukuliwe

Wewe ni mshamba?

Solution simple ni kumtelekeza mzee hospital ajifie taratibu.

Maana miaka 90+ huyo sio productive tena. Hata akipona hakai more than 10 years anakufa.
 
Ni baba yako, kwanini kutuhusisha sisi? Inategemeana na mlivyoishi.
 
Mkazanieni chakula bora.
Ndio hatokufa?

Mzee miaka 90+ unamuhangaikia wa nini?

Hata akipona havuki miaka 10 anakufa. Sasa ndio nini.

Bora afe tu. Maisha yaendelee.

Be realistic.
 
Sikiliza wewe pimbi!

Mzee wa miaka 90+ hana tena productivity. Muda wake umeisha!

Akifa nitasave gharama za matibabu na matunzo.

Nitaweza kuwekeza nguvu zangu sasa kwenye miradi mingine ya uzalishaji.

Maisha lazima yaendelee.
 
Huyo mzazi angejua mnamuwazia mabaya bora angepiga punyeto tu,
 
Wewe pambana na Hali yako bana ..sisi haituhusu hiyo ..uza kila kitu haituhusu, muue mzee wako haituhusu ..Yani kwa ufupi wewe pambana na Hali yako ..kila mtu ana Hali yake anapambana nayo.
 
Haipaswi kumlaumu ... Ana mengi kichwani..familia..kuitafuta pesa na kuuza ..mshahara wa kugumia...

Ni kumtia moyo na kumkosoa akae kwenye mstari!

Halafu mzee huwa haumwi ... Umri ..wakae watumie akili ... ..

Ni kumlea sio kuuguza.

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ukishakuwa humble mbona inatosha. Maisha ya unafiki si mazuri hata kidogo.
 
Wewe ni mshamba?

Solution simple ni kumtelekeza mzee hospital ajifie taratibu.

Maana miaka 90+ huyo sio productive tena. Hata akipona hakai more than 10 years anakufa.
Daah ila wee jamaa kwa hiyo ikitokea ndugu yako kawa kiwete na sio productive tena unaona bora afe?? kweli mzazi wako ni wakumlipa haya maneno au kujikuta shujaa nyuma ya keyboard
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…