Mpe pole sana! Mimi nipo uzi wa vocha za burewe mwenyewe umeshasema ni slay queen, hukufanya utafit kabla ya kumtokea slay queen ili ujue slay queen's life style? mtakuja kufa bure nyie, halafu mtu anayekuambia umsaidie kuvunja biskuit unategemea kitandani awe na mashamsham kweli?
ephen_ kaka yako ameyatimba kwa slay queen huku.
[emoji625][emoji625][emoji625][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
naona ccm wanasaidia wakulima kuchuma majani ya chai
Nasikia kuna mtu katangaza kutoa gari, usinisahau shosti najua hilo ni lakoMpe pole sana! Mimi nipo uzi wa vocha za bure
huko sipawezi maana kuna watu wana macho kama ya eagle, mtu anakariri digits 14 kwa sekunde na anatumia sec 2 kuingiza kwa cm ntamuweza kweli? hyo bure na inipite tu.Mpe pole sana! Mimi nipo uzi wa vocha za bure
Gari mchezo!! Siunajua jf wote ni matajiri😂Nasikia kuna mtu katangaza kutoa gari, usinisahau shosti najua hilo ni lako
Mi mniache leo mmenichekesha kweliGari mchezo!! Siunajua jf wote ni matajiri😂
Express your selfMle Tigo