Gharama za mahusiano mapya zitanitoa roho

Gharama za mahusiano mapya zitanitoa roho

Life ni simple sana Mkuu, muhimu ni ukiwa na mwanamke yoyote wewe mtoe date afurahi na wewe ufurahi then baada ya hapo endelea na mishe mishe zako usimzingatie.

Tafuta mwingine mrembo fanya hivyo hivyo, tafuta mwingine tena mrembo fanya hivyo hivyo.

Date zako ziwe za gharama wastani tu 60k hadi 100k, ila hakikisha unachagua zile pisi kali kali tu. Achana na mpango wa kumgharamia yeye wewe gharamia iyo date mliyoenda nae tu.

Pisi zipo simple sana ni wewe vile unaziendea tu.
 
Wa buku 7 wapo wengi sana, tena wanapiga nyagi fresh kabisa. Na kwenye shooooo wanaoweza Kwa 129.9%
 
Huoni avyosuka hizo nywele za 120k anavyozidi kupendeza na kuvutia
Kumbuka Mkuu, Mapenzi ni Uwekezaji

Hapo hakikisha na wewe Kitandani unarudisha gharama zako

Kama Vijana wasemavyo shoo shoo 😜
Huyu jamaa anainvest pesa Ili akatikiwe viuno😂 huyu ni kijana wa hovyo.
 
Kijana usiteseke na mapenzi wakati taasisi kubwa duniani Freemasonry inaweza kukutajirisha na ukamudu mahitaji ya mpenzi wako.

Je una miaka 25 - 45
Una kazi yako au una kipaji chako
Una mwamini mungu baba
Karibu ujiunge na taasisi yetu ukijiunga unapewa mtaji wa shilingi bilioni 2.5
View attachment 3064637
Muwaambie vijana na sodomization na sacrifices watakazozitoa😆😆😆, mfn mizuri ni Jay z so called beautiful husband na Beyonce pamoja na Kanye West aliyesacrifize mama mzazi
 
Msaidieni Tanzania afute madeni sisi.tuko humo ndani wala hatuendi kokote madeni yamezidi,sukari hakuna saidieni maeneo hayo ya Sugar sugar ni kitu ya taifa pia, kwa mtu mmoja ni tatizo.
Hapo wakusaidie mwenyewe mkuu, unataka kugeuzwa shoga😆😆😆. Unajua philosophia zao mpaka kufikia 33rd degree masonry huko. Uzeni nafsi zenu wenyewe kwakweli😆😆
 
Tanzania bila taasisi ya illuminati Ina uwezo wa kufuta madeni yake, sisi ni taasisi kubwa duniani.
Lakini taasisi yetu inakwenda kumgusa mtu mmoja mwenye kujitoa kwa hiari yake. Karibu ndugu uwe mwanafamilia wetu.
Na asichojua, illuminati society ndio msababishi wa majanga yote duniani😂😂. 😆😆😆 Give them the circus and drinks wataacha kuconcentrate na la msingi halafu y
eye atafanya yake, usione michezo na olympics imekuwa mikubwa hivi. Kandamiza the stronger gender halafu iache weak itawale usione feminism imekuwa hivi masera ya ajabu yanapita hadi ya kubaka watoto sasa maana wanataka kuongeza p kwenye lgbt kwamaana pedophilic. Cheza na illuminati wewe😂😂
 
Back
Top Bottom