Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi ufungweHuyo achana nae mkuu sio saizi yako , ni mdangaji na kama sio mdangaji anakuona ni mwanaume ambae haoni future yoyote na wewe.
Nakumbuka kuna kipindi mtaani kwetu kulikuwa na pisi moja kali ambayo washikaji walikuwa wakiiogopa kwa vizinga , mimi bila kujiuliza mara mbilimbili nikaaibukia ikaleta ugumu mwanzoni , ila siku moja tu ikanipigia simu na kuniambia JR niko bored uje unitoe huku nilipo ..Hatua ya kwanza duka la madawa na kuchukua pen protector na kuileta magetoni .. hii pisi na nyodo zake zote haikuwahi kuniomba hela kabisa na inasuka na kuvaa pamba kali na iinakuja mara zote geto ikiwa imeshiba kabisa[emoji28] , Kikubwa nilichogharamikia ni Fresh Juice na Ukwaju wa Bakhresa .
Dokta L popote ulipo jua una kiwanja chako Peponi.
Ninachotaka kusema ni kwamba mwanamke hawezi kumuomba mwanaume anaemvutia hela nyingi nje ya kipato chake..Ukiona anakuomba sana basi anakuona sio wa hadhi yake na anajaribu kucompasate gepu na vizinga.
Safi sana..Huoni avyosuka hizo nywele za 120k anavyozidi kupendeza na kuvutia
Kumbuka Mkuu, Mapenzi ni Uwekezaji
Hapo hakikisha na wewe Kitandani unarudisha gharama zako
Kama Vijana wasemavyo shoo shoo 😜
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulimpata jamiiforums?!! Huyo mpo wengi Tena anajenga kwao Rombo.
Pole mkuu.
Kwani hicho kichwa kinachohitaji Pesa nyingi ndio kipendeze hicho kichwa kweli au Komwe? Uzuri mwingine wa kulazimishawe mwenyewe umeshasema ni slay queen, hukufanya utafit kabla ya kumtokea slay queen ili ujue slay queen's life style? mtakuja kufa bure nyie, halafu mtu anayekuambia umsaidie kuvunja biskuit unategemea kitandani awe na mashamsham kweli?
ephen_ kaka yako ameyatimba kwa slay queen huku.
Na kwenye uwekezaji lazima share holders tuwepoHuoni avyosuka hizo nywele za 120k anavyozidi kupendeza na kuvutia
Kumbuka Mkuu, Mapenzi ni Uwekezaji
Hapo hakikisha na wewe Kitandani unarudisha gharama zako
Kama Vijana wasemavyo shoo shoo 😜
Hahaha..........kabisa MkuuNa kwenye uwekezaji lazima share holders tuwepo
Bila Uwekezaji, huwezi kupewa viuno Feni Kwa bedSafi sana..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gharama zote hizo alafu utajua hujui huko mtaani linakopwa tu na mafala na linawahonga vilevile.
Kimbia
Bila Uwekezaji, huwezi kupewa viuno Feni Kwa bed
Wengine ndiyo ugonjwa wetu huo 😜🏃🏃🏃
ingekua ni mim siku ya kwanza tuu kumla ningemtema maana gharama unayotoa sio sawa na anachokupatiaKitandani penyewe ni livivu,
Kwahiyo mwenyewe ataondokaMle Tigo
Papuchi yenyewe itakuwa sio tamuingekua ni mim siku ya kwanza tuu kumla ningemtema maana gharama unayotoa sio sawa na anachokupatia
Wale walio na miguu kama ya bia,humo ndani hamna kitu ni fujo za mjini tuu,na wala hawajui usafi na mikucha yao kama lusifa.Ushajua level zako ni za tandale ,keko buguruni sasa kilichokupelaka masaki nn?