Gharama za mahusiano mapya zitanitoa roho

Gharama za mahusiano mapya zitanitoa roho

Na asichojua, illuminati society ndio msababishi wa majanga yote duniani๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† Give them the circus and drinks wataacha kuconcentrate na la msingi halafu y
eye atafanya yake, usione michezo na olympics imekuwa mikubwa hivi. Kandamiza the stronger gender halafu iache weak itawale usione feminism imekuwa hivi masera ya ajabu yanapita hadi ya kubaka watoto sasa maana wanataka kuongeza p kwenye lgbt kwamaana pedophilic. Cheza na illuminati wewe๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ni dhambi kuongea vibaya taasisi ambayo haujawahi kutumikia hizo propaganda unaongelea hazina ukweli wowote kuhusiana na taasisi yetu kubwa ulimwenguni. Acha kupotosha umma
 
Muwaambie vijana na sodomization na sacrifices watakazozitoa๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†, mfn mizuri ni Jay z so called beautiful husband na Beyonce pamoja na Kanye West aliyesacrifize mama mzazi
Acha kuongea upuuzi kijana na maneno ya mtandaoni acha kupotosha umma.

We are good society and to keep a man safely in his life journey.
illuminati....
 
Ni dhambi kuongea vibaya taasisi ambayo haujawahi kutumikia hizo propaganda unaongelea hazina ukweli wowote kuhusiana na taasisi yetu kubwa ulimwenguni. Acha kupotosha umma
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† kamdanganye mtu mwingine labda uniambie ulianzisha society nyingine. Hadi members wanajulikana unafikiri wote tupo tupo tu.
 
Acha kuongea upuuzi kijana na maneno ya mtandaoni acha kupotosha umma.

We are good society and to keep a man safely in his life journey.
illuminati....
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† match the good with your actions. Labda wewe ulieongopewa. You live in the shadows kama batman๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†. Mpe elimu ya degrees za taasisi yenu hadi mtu afike 33rd degree tier na nani aliefika. Naishia hapa mengine nikae kimya, sina mwanasheria ila kamwe usipotoshe watu. Sijibu maswali mengine.
 
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† kamdanganye mtu mwingine labda uniambie ulianzisha society nyingine. Hadi members wanajulikana unafikiri wote tupo tupo tu.
Sawa siwezi kupoteza nguvu zangu kubishana na mtu ambaye hajui kitu zaidi ya taarifa za mtandaoni. Sawa mkuu mawazo yako naheshimu.
 
Bro achana na Huyo kaushadamu (Slay Queen)

Hakikisha unakuwa na mahusiano na watu hawa:
1.Mamantilie
2.Dada muuza duka la dawa
3.Dada muuza duka la mangi
4.Dada wakala wa mpesa
5.Beki tatu wa boss mtaani kwako

Utakuja kunishukuru hapa hapa
 
Back
Top Bottom