Gharama za msafara wa Rais wa Awamu ya Tano zinaweza kulingana na gharama za safari za nje za Rais wa Awamu ya Tatu

Gharama za msafara wa Rais wa Awamu ya Tano zinaweza kulingana na gharama za safari za nje za Rais wa Awamu ya Tatu

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Nimejikuta natafakari kuhusu ukubwa wa ulinzi wa Rais wa Awamu ya Tano na gharama za ulinzi huo nikihusianisha na sera yake ya kudhibiti safari za nje nabaini kwamba, watangulizi wake walikuwa na msafara wa watu wachache ila walikuwa pia na safari za nje na ukilonganisha hizi gharama za ndani na nie unaweza kukuta gharama za ndani nikubwa sana isipokuwa tu zina faida kwamba ziliingia kwenye mzunguko wa ndani. Waliosafiri nje zilikwenda kwenye mzunguko wa ndani na nje.

Niwaombe wachambuzi wetu watusaidie kukokotoa ulinganifu wa gharama hizi ili watawala wajue ubaweza kukwepa gharama kwa njia hii ukatumia zaidi kwa njia ile.

Compare and contrast
 
Vyote havifai..., Matumizi mabaya ni mabaya tu....

Kumbuka pia nje mtu haendi peke yake..., bali kuna wasaidizi wenye wasaidizi...., Misafara pia sio gharama za matumizi tu.., bali kero na kusimama kwa shughuli za watu za kila siku (jambo ambalo muhusika angeweza kufikisha ujumbe akiwa studio TBC)
 
Huwezi kuamini ndani ya muda mfupi JPM katoweka leo ni history. Alikuwa akipita na magari mengi mno na helcopter juu, akishuka amezungukwa na walinzi kibao wenye silaha nzito huku wakituangalia kwa mikogo na kuangaza macho kule na kule. Kweli binadamu sio chochote Wala lolote mbele ya Mwenye Enzi na Mbingu.
 
1616948518561.png

Msafara wenye amani bila macomandoo kama wote wala grenade
 
Nimejikuta natafakari kuhusu ukubwa wa ulinzi wa Rais wa Awamu ya Tano na gharama za ulinzi huo nikihusianisha na sera yake ya kudhibiti safari za nje nabaini kwamba, watangulizi wake walikuwa na msafara wa watu wachache ila walikuwa pia na safari za nje na ukilonganisha hizi gharama za ndani na nie unaweza kukuta gharama za ndani nikubwa sana isipokuwa tu zina faida kwamba ziliingia kwenye mzunguko wa ndani. Waliosafiri nje zilikwenda kwenye mzunguko wa ndani na nje.

Niwaombe wachambuzi wetu watusaidie kukokotoa ulinganifu wa gharama hizi ili watawala wajue ubaweza kukwepa gharama kwa njia hii ukatumia zaidi kwa njia ile.

Compare and contrast
Mmetumwa muanzishe nyuzi nyingi leo
 
Back
Top Bottom