City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Kwa hii comment yako hakika we ndio hujitambui mkuu.Kaka hii ni Jamii"Uchaga"Forums hata hawajitambui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hii comment yako hakika we ndio hujitambui mkuu.Kaka hii ni Jamii"Uchaga"Forums hata hawajitambui
Mzee alikua na ulinzi si wa kitotoNimejikuta natafakari kuhusu ukubwa wa ulinzi wa Rais wa Awamu ya Tano na gharama za ulinzi huo nikihusianisha na sera yake ya kudhibiti safari za nje nabaini kwamba, watangulizi wake walikuwa na msafara wa watu wachache ila walikuwa pia na safari za nje na ukilonganisha hizi gharama za ndani na nie unaweza kukuta gharama za ndani nikubwa sana isipokuwa tu zina faida kwamba ziliingia kwenye mzunguko wa ndani. Waliosafiri nje zilikwenda kwenye mzunguko wa ndani na nje.
Niwaombe wachambuzi wetu watusaidie kukokotoa ulinganifu wa gharama hizi ili watawala wajue ubaweza kukwepa gharama kwa njia hii ukatumia zaidi kwa njia ile.
Compare and contrast
[emoji28][emoji28][emoji28]Hapana Mkuu ukweli kabisaa!! Magari yangu yanapoondoka nagawa posho kwa wafanya kazi wote kulingana na mafaraja yao na kabla ys kuondoka lazima wale kaftelia ya ofisini kwangu kwa gharama zangu.
Hapo bado familia zao zinapata mgao wa resheni kwangu!!
Bado jioni service kwa magari yanayo toka masafa
Sijaambiwa hapo gari kubaribika njiani.
Wewe ni mhaya ?Hapana Mkuu ukweli kabisaa!! Magari yangu yanapoondoka nagawa posho kwa wafanya kazi wote kulingana na mafaraja yao na kabla ys kuondoka lazima wale kaftelia ya ofisini kwangu kwa gharama zangu.
Hapo bado familia zao zinapata mgao wa resheni kwangu!!
Bado jioni service kwa magari yanayo toka masafa
Sijaambiwa hapo gari kubaribika njiani.
hapana mkipsigisiWewe ni mhaya ?
Duuuh....!Hapana Mkuu ukweli kabisaa!! Magari yangu yanapoondoka nagawa posho kwa wafanya kazi wote kulingana na mafaraja yao na kabla ys kuondoka lazima wale kaftelia ya ofisini kwangu kwa gharama zangu.
Hapo bado familia zao zinapata mgao wa resheni kwangu!!
Bado jioni service kwa magari yanayo toka masafa
Sijaambiwa hapo gari kubaribika njiani.
Bado hajaamini kilichotokeaHivi yule dogo wa unaijua vieiti wewe!!! yuko wapi mbona hasikiki
Alijitisha mwenyeweHivi alikuwa anamuogopa nani?!
Vyote havifai..., Matumizi mabaya ni mabaya tu....
Kumbuka pia nje mtu haendi peke yake..., bali kuna wasaidizi wenye wasaidizi...., Misafara pia sio gharama za matumizi tu.., bali kero na kusimama kwa shughuli za watu za kila siku (jambo ambalo muhusika angeweza kufikisha ujumbe akiwa studio TBC)
Mimi huwa namchukulia kuwa alikuwa kilaza na dhaifu kuliko yule dhaifu wa kwanza.....Alijitisha mwenyewe
Hata JPM akiwa Ikulu hakuwa na makomandoo.View attachment 1736930
Msafara wenye amani bila macomandoo kama wote wala grenade