Gharama za umalaya...

Gharama za umalaya...

Chaputa hoyee..

Kila kitu kina umuhimu wake kwenye maisha. Sasa usile mbunye akili zikuruke sababu ya nyege, uanze kuzurura hovyo barabarani ugongwe na gari afu ufe. Ndugu zako wakiuza hayo Maparachichi pesa wakipata wanaenda kununulia mbunye wana enjoy maisha. Na kaburi lako hawalijengei.
Unajua maana ya opportunity cost?
Making decision in life the OPPORTUNITY COST must be the base.

#YNWA
 
Kilimo cha kwenye makaratasi rahisi sana kutoboa.
Inawezekana kutoboa kwa kilimo kuliko kazi za mitaani...itachukua muda kidogo lakini lazima utoboe,hata maisha mengine unayo fanya kweni kutoboa ni rahisi?isipokua kutoboa kwa kilimo ni kukubwa kuliko unavyo fikiri
 
Firstly nikupongeze na kukutia moyo brother. Pale wasomi mnapoamua kuacha office na kushika jembe huwa nafarijika sana. But kwa maelezo yako unaonekana umli umesogea kidogo si chini 28/30 is better ukaowa mkuu. Ni vizuri kuacha Ngono . Sema mwisho umenichanganya ulipoleta siasa
 
Kabla sijaingia nilisoma kilimo kwa miaka mi4 (elimu mitaani).
Nilianza kusoma kilimo 2015 kwa kuongea na raia pamoja na kuingia field kwenye mashamba ya watu.
Na 2019 nikaingia kwenye game.

Japo life is uncertain ila naamini nitafanikiwa tu.

#YNWA

Kaka mimi nime plan, nikalime mihogo mkoa wa pwani, naomba ushahuri kwa hili, hasa kuhusu masoko etc...

Inaonekana wew una experience kwenye sector ya Kilimo.
 
Ni afadhari mninyonge ila papuchi siachi , kazi na bata
 
Chaputa hoyee..

Kila kitu kina umuhimu wake kwenye maisha. Sasa usile mbunye akili zikuruke sababu ya nyege, uanze kuzurura hovyo barabarani ugongwe na gari afu ufe. Ndugu zako wakiuza hayo Maparachichi pesa wakipata wanaenda kununulia mbunye wana enjoy maisha. Na kaburi lako hawalijengei.
Kama hajaelewa hapa basi tena
 
Umeumizwa kwenye mahusiano, pole kwa hilo, utakua sawa tu,
Piga kazi uoe, uenjoy maisha ya dunia.
 
Mwanzo wa kilimo mbwembwe kama zako kawaida sana, kikubwa punguza machepele kijana!
 
Opportunity Cost ya kufanya umalaya ni hii hapa.......

Unakumbuka nilipost thread ya kuelezea kwanini utumie pesa mingii sababu ya just one night eti kisa mbunye..!!!

Sasa instead ya KUHONGA Fanya hivi....
1. Kusanya (save) zile pesa unazotumia kula papuchi na kuhonga.
2. Punguza matumizi yasio na lazima.
3. Na mwisho wa siku INVEST.
Kifupi kuwa cost conscious (economist) and not miser.

Mfano:-
Mimi nime invest kwenye kilimo cha Parachichi (nina eka 15 za Hass avocadoes).
Malengo ni eka 100 mwaka 2025, then nina miaka 6 ya kupanda mfululizo.

Japo kuvuna bado sanaa (nimeanza mvua hizi zilizopita), ila mpaka sasa nina mteja mmoja (kampuni ya Ku export).
Wakati naanza alikuja kunitembelea kuona my project na kuahidi kunipa soko, pia kuna mteja mwengine/mzungu bado sijamfata (nataka kumfata mwakani niongee nae).

Then kwenye mambo ya soko muda ukifika nitaweka mizani wateja wotee na kuona nani ana offer best price.

Nimeamua kuyapa MAPENZI LIKIZO na kwasasa NAPAMBANIA KOMBE ""My Future"" maana niliona ajira ya serikali HAITONIFIKISHA KOKOTEE zaidi ya kuwa kuhadi wa CCM.
Pamoja na Masters yangu niliyoitumikia serikali ya CCM ila nimeamua kuachana nao na kuingia shambani.

PAPUCHI na LOVE RELATIONSHIP NIMEZIPA LIKIZO....
Sio kwamba sihitaji partner ila nahisi wanawake watanichelewesha na pia nazipenda sanaa hela zangu na ndio maana kila cent nikiipata naitupia shambani.

Hebu fikiria.....
Mara imetokea nahitaji mbolea na muda huohuo baby nae anataka hela ya kusuka HUONI hapa kutakua na element za kucheleweshana?

Hujachelewa na MAAMUZI NI YAKO kijana mwenzangu.

Kwa MSIOKIPENDA KILIMO NA MNAKIPONDA KILA SIKU, NITAKUJA NA THREAD ""KWANINI UNAFELI KWENYE KILIMO""

ETI...
Kikao cha kuteua majina ma5 kinaendelea, ila first figure si alishasema majina anayomfukoni?
Kupita kwako itategemea siku hiyo ameamkaje.
Sasa kule kwenye kikao wameenda kula tu posho au kuzurura, maana majina first figure anayo.

#YNWAView attachment 1497427View attachment 1497441
Mashamba yako unalimia sehemu gani mkuu?
 
Mwanzo wa kilimo mbwembwe kama zako kawaida sana, kikubwa punguza machepele kijana!
Nimeanza kilimo 2015 ni mwaka wa 5 sasa.
Nimeshalima maharage... Mpunga, miti ya mbao na sasa nipo na Miti ya matunda.

What is your definition of mwanzo?

#YNWA
 
Umeumizwa kwenye mahusiano, pole kwa hilo, utakua sawa tu,
Piga kazi uoe, uenjoy maisha ya dunia.
Kuumizwa ni kawaida kwa maisha ya sasa..
Na swala sio kuumizwa swala ni opportunity cost.

Kama kuoa ndio kuenjoy maisha unataka kuniambia kuwa Bezos na Dangote wasio na ndoa HAWA ENJOY?

Live your life. The happiness is on your head.
NO ONE CAN BRING IT.

#YNWA
 
Back
Top Bottom