technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Akili za kimasikini kabisa
Uganda umeme na maji uwa vinaunganishwa bure sio kwa tajiri wala masikini
Issue sio kuunganishiwa bure issue ni mapato yatakayopatikana kutokana na matumizi ya umeme
Tajiri atanunua umeme mwingi kwa haraka na kurudisha pesa yote iliyotumiwa na tanesco kumuunganishia umeme.
Masikin wengi wanatumia umeme wa elf 5 kwa mwezi
Hii imewekwa ili kuondoa urasimu wa kutokuwepo kwa bei inayoeleweka ya kuunganisha umeme.
Tanesco itakuwa na wateja wengi na mapato yatakuwa mengi kwa haraka
Tuache ujuaji na siasa uchwara za kuturudisha nyumba
Waziri yupo sahihi na kapewa maelekezo hawezi kuamua mwenyewe.
Labda kama wewe ni mfanyakazi wa Tanesco sawa.
Uganda umeme na maji uwa vinaunganishwa bure sio kwa tajiri wala masikini
Issue sio kuunganishiwa bure issue ni mapato yatakayopatikana kutokana na matumizi ya umeme
Tajiri atanunua umeme mwingi kwa haraka na kurudisha pesa yote iliyotumiwa na tanesco kumuunganishia umeme.
Masikin wengi wanatumia umeme wa elf 5 kwa mwezi
Hii imewekwa ili kuondoa urasimu wa kutokuwepo kwa bei inayoeleweka ya kuunganisha umeme.
Tanesco itakuwa na wateja wengi na mapato yatakuwa mengi kwa haraka
Tuache ujuaji na siasa uchwara za kuturudisha nyumba
Waziri yupo sahihi na kapewa maelekezo hawezi kuamua mwenyewe.
Labda kama wewe ni mfanyakazi wa Tanesco sawa.