nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Je ukilipa milioni1 watakuunganisha mapema zaidi?Kama Watu walikuwa wanalipa around laki 3 na inawachukuwa Tanesco miezi zaidi ya Mitatu kuja kukuunganishia huduma ya Umeme, sasa hii elf 27 tutarajie kuunganishiwa Umeme zaidi ya Miezi sita baada ya kulipia!
Bilioni 30 kilikuwa kiwanda Cha kutengeneza nuklia? Hicho kiwanda ni very simple na gharama nafuu sana hata 1 bilioni hakifiki.Kuna mwaka niliona wanazindua kiwanda cha nguzo cha bilioni 30. Sasa imagine kila mkoa ukijenga kiwanda cha bilioni 10 tutafika kweli
Pesa zitapatikana nyingi kwenye matumizi ya umemeNa sasa anataka mtu hata aliejenga fremu 40 za biashara nae alipe elfu 27.
Au ghorofa Upanga la apartment 40 alipe elfu 27.. imagine that
Acha tuanze kuyapunguza masalia ya mwendazake,afete na Ditto Biteko.Yani hilo tu lipelekee kumfukuza waziri?
Basi atafukuza wengi kama ni hivyo!
Labda yawepo makosa/mapungufu mengine mengi nyeti ambayo waziri ameonekana kushindwa ku improve performance yake ndipo unaweza kuomba afukuzwe lakini kama ni hilo tu bora awaite waziri na mgt ya Tanesco awaulize wajadiliane kisha wafikie muafaka kwa manufaa ya Umma .
Serikali ipitie upya mfumo wa ajira ndani ya tanesco. Ajira za mikataba na vibarua ziwe 90 % the rest permanent employmentKuna mwaka niliona wanazindua kiwanda cha nguzo cha bilioni 30. Sasa imagine kila mkoa ukijenga kiwanda cha bilioni 10 tutafika kweli
Umeme ni huduma ya msingi haiangalii tabakaNipo kwenye rekodi hapa ya kumtetea waziri Kalemani huko nyuma lakini leo naomba Rais Samia amfukuze tena ikibidi haraka Sana huyu waziri.
Kwa mujibu wa maagizo aliyowapa Tanesco waziri Kalemani anataka sasa karibu watu wote Tanzania nzima wakitaka kuunganishiwa Umeme walipe Elfu 27 tu bila kujali gharama halisi za kuvuta umeme kwa mtu huyo anasema Serikali imepitisha hela ya ruzuku kwa Tanesco.
Sasa hebu twende taratibu huku tunatumia akili kidogo. Mtu anajenga ghorofa lenye apartments 20. Mfano Masaki huyu mtu sio masikini why asigharamie gharama halisi?
Why Tanesco ijinyime mapato Kwa kutoa ruzuku hadi Kwa matajiri wa Masaki Hadi Upanga?
Anaejenga Fremu 20 Mbeya mjini au Dodoma mjini? Why alipe elfu 27 wakati Tanesco wananunua hizo Mita moja laki moja 20?
Kwanza hii tafsiri yake ya Mjini kuwa ni Ilala City Center kaitoa wapi?
Anajua maana ya Urban and Rural? Anajua history ya kuanzisha REA?
Why anakuja kuleta siasa za kutafuta umaarufu Kwa nguvu Kwa gharama za kuiua Tanesco??..kama mpaka sasa Tanesco haipati Faida inaishi kwa ruzuku. Why anakuja na maamuzi ya kupunguza mapato kwa Tanesco?
Mapato ya service charge yamefutwa. Mapato ya kulipisha fomu yamefutwa. Sasa hata gharama za kuvuta Umeme iwe Upanga au Masaki ziwe za REA kweli?
Huyu waziri anafanya siasa za hatari za kujifanya 'mtetezi wa wanyonge aliebaki'. Itasababisha Tanesco huko mbeleni ishindwe kujiendesha wala kulipisha wateja wake gharama halisi za Umeme.
Anataka aonekane yeye alipokuwepo gharama zilishuka wakati si kweli.
Gharama zipo zile zile anachofanya ni kutumia ruzuku ya serikali ambayo sio ya uhakika na haina guarantee ya kuwepo kila mwaka.
Tayari foleni ya umeme unaohitaji nguzo Tanesco inafika miezi sita sasa na bado waziri anaongeza tatizo badala ya kupunguza.
Utaratibu wa REA ulikuwepo kabla ya hata Kalemani hajawa waziri. REA ibaki REA kwa wananchi wa vijijini na wenye vipaji vya chini.
Kulazimisha REA itumike nchi nzima ni siasa za kufeli na kuja kulaumiana huko mbele wakati huduma itakapokuwa ngumu kupatikana baada ya mapato kushuka REA hadi Masaki na Sinza?
Wenye Bar na mafremu 40?
Wenye ghorofa zenye apartment 40?
Hi ruzuku ni pesa ambayo wananchi hasa masikini wanachangia. Why itumike kufaidisha hadi matajiri kwa siasa tu?
Viongozi wa Tanesco kuanzia Bodi hadi CEO wake wote wapigwe chini kwa kukubali maagizo haya ya huyu waziri...
Watu wenye uwezo walipie gharama halisi za umeme.
REA ibaki vijijini na kwa watu masikini.
Watumishi wa tanesco watabishaWaziri yupo sahihi, Duniani kote miundombinu hujengwa na kodi. Halafu tozo na kodi kwa watumia miundombinu hufuaata baadae.
Utakuwa na matatizo ya kifamilia sio kawaida kuandika utumbo huo
...
Kwanza hii tafsiri yake ya Mjini kuwa ni Ilala City Center kaitoa wapi?
...
Kulazimisha REA itumike nchi nzima ni siasa za kufeli na kuja kulaumiana huko mbele wakati huduma itakapokuwa ngumu kupatikana baada ya mapato kushuka REA hadi Masaki na Sinza?
...
Viongozi wa Tanesco kuanzia Bodi hadi CEO wake wote wapigwe chini kwa kukubali maagizo haya ya huyu waziri...
Watu wenye uwezo walipie gharama halisi za umeme.
Doto biteko na tume ya madini kwa kushirikiana na mgodi mkubwa wa barrick, Huku nyamongo tarime wamefanya kuujumu wachimbaji Wadogo wenye leseni . Tutalirusha hewani soon. Tuko kwenye utafiti na ufuatiliaji usiku na mchana ili kupata majibu sahihi ya kumjulisha Mh. Rais SSH.Acha tuanze kuyapunguza masalia ya mwendazake,afete na Ditto Biteko.
Kwa hapo itakuwa kakosea,Nipo kwenye rekodi hapa ya kumtetea waziri Kalemani huko nyuma lakini leo naomba Rais Samia amfukuze tena ikibidi haraka Sana huyu waziri.
Kwa mujibu wa maagizo aliyowapa Tanesco waziri Kalemani anataka sasa karibu watu wote Tanzania nzima wakitaka kuunganishiwa Umeme walipe Elfu 27 tu bila kujali gharama halisi za kuvuta umeme kwa mtu huyo anasema Serikali imepitisha hela ya ruzuku kwa Tanesco.
Sasa hebu twende taratibu huku tunatumia akili kidogo. Mtu anajenga ghorofa lenye apartments 20. Mfano Masaki huyu mtu sio masikini why asigharamie gharama halisi?
Why Tanesco ijinyime mapato Kwa kutoa ruzuku hadi Kwa matajiri wa Masaki Hadi Upanga?
Anaejenga Fremu 20 Mbeya mjini au Dodoma mjini? Why alipe elfu 27 wakati Tanesco wananunua hizo Mita moja laki moja 20?
Kwanza hii tafsiri yake ya Mjini kuwa ni Ilala City Center kaitoa wapi?
Anajua maana ya Urban and Rural? Anajua history ya kuanzisha REA?
Why anakuja kuleta siasa za kutafuta umaarufu Kwa nguvu Kwa gharama za kuiua Tanesco??..kama mpaka sasa Tanesco haipati Faida inaishi kwa ruzuku. Why anakuja na maamuzi ya kupunguza mapato kwa Tanesco?
Mapato ya service charge yamefutwa. Mapato ya kulipisha fomu yamefutwa. Sasa hata gharama za kuvuta Umeme iwe Upanga au Masaki ziwe za REA kweli?
Huyu waziri anafanya siasa za hatari za kujifanya 'mtetezi wa wanyonge aliebaki'. Itasababisha Tanesco huko mbeleni ishindwe kujiendesha wala kulipisha wateja wake gharama halisi za Umeme.
Anataka aonekane yeye alipokuwepo gharama zilishuka wakati si kweli.
Gharama zipo zile zile anachofanya ni kutumia ruzuku ya serikali ambayo sio ya uhakika na haina guarantee ya kuwepo kila mwaka.
Tayari foleni ya umeme unaohitaji nguzo Tanesco inafika miezi sita sasa na bado waziri anaongeza tatizo badala ya kupunguza.
Utaratibu wa REA ulikuwepo kabla ya hata Kalemani hajawa waziri. REA ibaki REA kwa wananchi wa vijijini na wenye vipaji vya chini.
Kulazimisha REA itumike nchi nzima ni siasa za kufeli na kuja kulaumiana huko mbele wakati huduma itakapokuwa ngumu kupatikana baada ya mapato kushuka REA hadi Masaki na Sinza?
Wenye Bar na mafremu 40?
Wenye ghorofa zenye apartment 40?
Hi ruzuku ni pesa ambayo wananchi hasa masikini wanachangia. Why itumike kufaidisha hadi matajiri kwa siasa tu?
Viongozi wa Tanesco kuanzia Bodi hadi CEO wake wote wapigwe chini kwa kukubali maagizo haya ya huyu waziri...
Watu wenye uwezo walipie gharama halisi za umeme.
REA ibaki vijijini na kwa watu masikini.
Zaidi ya utopolo na chuki ,maelezo mengi 0 factUtakuwa na matatizo ya kifamilia sio kawaida kuandika utumbo huo
Ulaya yote gharama ya kuletewa umeme hadi kwenye mita yako ni ya shirika la umeme na siyo ya mteja.Nilitaka nikutukane nimekosa neno la kukuambia
Mkuu Tanesco ni hotspot na ndio kichaka cha wanasiasa Kuvuna Mitaji ya kisiasa mana kina Mgusa mwananchi direct kabisa, Systems za TPA na TRA zilifeli ulisikia kelele za wananchi leo LUKU siku tatu iko down, Kelele kila konaYani hilo tu lipelekee kumfukuza waziri?
Basi atafukuza wengi kama ni hivyo!
Labda yawepo makosa/mapungufu mengine mengi nyeti ambayo waziri ameonekana kushindwa ku improve performance yake ndipo unaweza kuomba afukuzwe lakini kama ni hilo tu bora awaite waziri na mgt ya Tanesco awaulize wajadiliane kisha wafikie muafaka kwa manufaa ya Umma .
Mkuu Serikali ina vyanzo na namna nyingi ya kujiongezea/kujipatia mapato. Wanaweza kupunguza huku shs kumi kule wakaongeza shs thelathini yaani mara tatu zaidi. Mf tunaweza kuona unafuu kwenye umeme lkn tukaumizwa kwenye petroli.Na sasa anataka mtu hata aliejenga fremu 40 za biashara nae alipe elfu 27.
Au ghorofa Upanga la apartment 40 alipe elfu 27.. imagine that