Gharama za umeme: Rais Samia muwajibishe Waziri Kalemani na uongozi wote wa TANESCO

Gharama za umeme: Rais Samia muwajibishe Waziri Kalemani na uongozi wote wa TANESCO

Nilitaka nikutukane nimekosa neno la kukuambia

Acha nikusaidie hili jamaa ni jinga sana..

Yaan haliangalii hao matajir ni wangapi tz nzima na masikin walio shindwa kulipa iyo lak Tatu ni wangapi mpk leo....sisi matanzania tuna roho mbaya sana yan maisha yana rahisishwa mwingine anainga jinga sana hilo
 
Mleta mada kafikiria nje ya boksi.
Mbona ilitakiwa iwe bure kabisa ili iwe na wateja wengi ndo mapato yataongezeka. Kumbuka makampuni ya simu yamewahi gawa kadi bure ili kuongeza wateja. Vodacom wao wakaenda mbali zaidi wakati wanaanzisha huduma za miamala ilikuwa ukiweka kiasi Fulani Cha hela unaongezewa % Fulani. Nimeambie kampuny gani hapa nchini inaongoza kuaminiwa kwenye miamala jibu ni Vodacom hivyo hata tanesco ikiwa na wateja wengi mapato yatakuwa Mara dufu.
Pia hata Bei ya matumizi inatakiwa iwe sawa na kule kijijini.
 
Ukiunganisha wengi utapata mapato.

Tanesko itakufa kwa kutegemea mapato ya kuunganisha umeme.

Kinachotakiwa wateja waunganishiwe haraka ili walipie bili na kutumia(hapa ndipo mapato yalipo)

by the way umeme huo wa 27000 ni single phase
Ooh
 
Nipo kwenye rekodi hapa ya kumtetea waziri Kalemani huko nyuma lakini leo naomba Rais Samia amfukuze tena ikibidi haraka Sana huyu waziri.

Huyu waziri anafanya siasa za hatari za kujifanya 'mtetezi wa wanyonge aliebaki'. Itasababisha TANESCO huko mbeleni ishindwe kujiendesha wala kulipisha wateja wake gharama halisi za Umeme.
Mkuu The Boss , hongera, sana, this is works of power!.
P
 
Mleta mada kafikiria nje ya boksi.
Mbona ilitakiwa iwe bure kabisa ili iwe na wateja wengi ndo mapato yataongezeka. Kumbuka makampuni ya simu yamewahi gawa kadi bure ili kuongeza wateja. Vodacom wao wakaenda mbali zaidi wakati wanaanzisha huduma za miamala ilikuwa ukiweka kiasi Fulani Cha hela unaongezewa % Fulani. Nimeambie kampuny gani hapa nchini inaongoza kuaminiwa kwenye miamala jibu ni Vodacom hivyo hata tanesco ikiwa na wateja wengi mapato yatakuwa Mara dufu.
Pia hata Bei ya matumizi inatakiwa iwe sawa na kule kijijini.

Je baada ya hiyo bei kushuka takribani Miezi mitatu sasa wateja wana unganishiwa umeme Kwa wakati?? Tanesco Kama taasisi walikuwa na maandalizi na hii bei mpya?? Je Tanesco Kwa ujumla wake Hali yake ya uchumi ikoje?? Ukipata haya majibu utakuwa Kwenye nafasi ya kutetea hicho unacho kisema?
 
Mleta mada kafikiria nje ya boksi.
Mbona ilitakiwa iwe bure kabisa ili iwe na wateja wengi ndo mapato yataongezeka. Kumbuka makampuni ya simu yamewahi gawa kadi bure ili kuongeza wateja. Vodacom wao wakaenda mbali zaidi wakati wanaanzisha huduma za miamala ilikuwa ukiweka kiasi Fulani Cha hela unaongezewa % Fulani. Nimeambie kampuny gani hapa nchini inaongoza kuaminiwa kwenye miamala jibu ni Vodacom hivyo hata tanesco ikiwa na wateja wengi mapato yatakuwa Mara dufu.
Pia hata Bei ya matumizi inatakiwa iwe sawa na kule kijijini.

Kulinganisha talatibu Za jinsi kampuni za simu zinavyo unganisha wateja na TANESCO talatibu Za kuunganisha wateja ni vitu viwili tofauti.Pia ukilinganisha thamani ya line ya simu na na thamani za material tanayo tumika ili mteja wa umeme aunganishiwe umeme ni vitu viwili tofauti.Mteja wa simu una nunua simu wewe Kwa hela yako ila mteja wa Tanesco upewe Kwa hela hiyo??
 
Na sasa anataka mtu hata aliejenga fremu 40 za biashara nae alipe elfu 27.
Au ghorofa Upanga la apartment 40 alipe elfu 27.. imagine that
Rates za gharama ya umeme ni tofauti, pia mita nyingi zimeongea mapato ya kodi ya jengo!
 
umeme ni basic needs.
Ila kwa Tanzania Sasa imekuwa anasa.
Umeme wa rea ulikuwa wa msaada.
 
neno umeshalipata?

7B5712CA-199D-44EC-99FE-24D055DE752E.jpeg
 
Ukiunganisha wengi utapata mapato.

Tanesko itakufa kwa kutegemea mapato ya kuunganisha umeme.

Kinachotakiwa wateja waunganishiwe haraka ili walipie bili na kutumia(hapa ndipo mapato yalipo)

by the way umeme huo wa 27000 ni single phase
Ha ha
 
Nipo kwenye rekodi hapa ya kumtetea waziri Kalemani huko nyuma lakini leo naomba Rais Samia amfukuze tena ikibidi haraka Sana huyu waziri.

Kwa mujibu wa maagizo aliyowapa TANESCO waziri Kalemani anataka sasa karibu watu wote Tanzania nzima wakitaka kuunganishiwa Umeme walipe Elfu 27 tu bila kujali gharama halisi za kuvuta umeme kwa mtu huyo anasema Serikali imepitisha hela ya ruzuku kwa TANESCO.

Sasa hebu twende taratibu huku tunatumia akili kidogo. Mtu anajenga ghorofa lenye apartments 20. Mfano Masaki huyu mtu sio masikini why asigharamie gharama halisi?

Why TANESCO ijinyime mapato Kwa kutoa ruzuku hadi Kwa matajiri wa Masaki Hadi Upanga?

Anaejenga Fremu 20 Mbeya mjini au Dodoma mjini? Why alipe elfu 27 wakati TANESCO wananunua hizo Mita moja laki moja 20?

Kwanza hii tafsiri yake ya Mjini kuwa ni Ilala City Center kaitoa wapi?

Anajua maana ya Urban and Rural? Anajua history ya kuanzisha REA?

Why anakuja kuleta siasa za kutafuta umaarufu Kwa nguvu Kwa gharama za kuiua TANESCO??..kama mpaka sasa Tanesco haipati Faida inaishi kwa ruzuku. Why anakuja na maamuzi ya kupunguza mapato kwa TANESCO?

Mapato ya service charge yamefutwa. Mapato ya kulipisha fomu yamefutwa. Sasa hata gharama za kuvuta Umeme iwe Upanga au Masaki ziwe za REA kweli?

Huyu waziri anafanya siasa za hatari za kujifanya 'mtetezi wa wanyonge aliebaki'. Itasababisha TANESCO huko mbeleni ishindwe kujiendesha wala kulipisha wateja wake gharama halisi za Umeme.

Anataka aonekane yeye alipokuwepo gharama zilishuka wakati si kweli.

Gharama zipo zile zile anachofanya ni kutumia ruzuku ya Serikali ambayo sio ya uhakika na haina guarantee ya kuwepo kila mwaka.

Tayari foleni ya umeme unaohitaji nguzo TANESCO inafika miezi sita sasa na bado waziri anaongeza tatizo badala ya kupunguza.

Utaratibu wa REA ulikuwepo kabla ya hata Kalemani hajawa waziri. REA ibaki REA kwa wananchi wa vijijini na wenye vipaji vya chini.

Kulazimisha REA itumike nchi nzima ni siasa za kufeli na kuja kulaumiana huko mbele wakati huduma itakapokuwa ngumu kupatikana baada ya mapato kushuka REA hadi Masaki na Sinza?

Wenye Bar na mafremu 40?

Wenye ghorofa zenye apartment 40?

Hi ruzuku ni pesa ambayo wananchi hasa masikini wanachangia. Why itumike kufaidisha hadi matajiri kwa siasa tu?

Viongozi wa TANESCO kuanzia Bodi hadi CEO wake wote wapigwe chini kwa kukubali maagizo haya ya huyu waziri...

Watu wenye uwezo walipie gharama halisi za umeme.

REA ibaki vijijini na kwa watu masikini.
.
 
Nipo kwenye rekodi hapa ya kumtetea waziri Kalemani huko nyuma lakini leo naomba Rais Samia amfukuze tena ikibidi haraka Sana huyu waziri.

Kwa mujibu wa maagizo aliyowapa TANESCO waziri Kalemani anataka sasa karibu watu wote Tanzania nzima wakitaka kuunganishiwa Umeme walipe Elfu 27 tu bila kujali gharama halisi za kuvuta umeme kwa mtu huyo anasema Serikali imepitisha hela ya ruzuku kwa TANESCO.

Sasa hebu twende taratibu huku tunatumia akili kidogo. Mtu anajenga ghorofa lenye apartments 20. Mfano Masaki huyu mtu sio masikini why asigharamie gharama halisi?

Why TANESCO ijinyime mapato Kwa kutoa ruzuku hadi Kwa matajiri wa Masaki Hadi Upanga?

Anaejenga Fremu 20 Mbeya mjini au Dodoma mjini? Why alipe elfu 27 wakati TANESCO wananunua hizo Mita moja laki moja 20?

Kwanza hii tafsiri yake ya Mjini kuwa ni Ilala City Center kaitoa wapi?

Anajua maana ya Urban and Rural? Anajua history ya kuanzisha REA?

Why anakuja kuleta siasa za kutafuta umaarufu Kwa nguvu Kwa gharama za kuiua TANESCO??..kama mpaka sasa Tanesco haipati Faida inaishi kwa ruzuku. Why anakuja na maamuzi ya kupunguza mapato kwa TANESCO?

Mapato ya service charge yamefutwa. Mapato ya kulipisha fomu yamefutwa. Sasa hata gharama za kuvuta Umeme iwe Upanga au Masaki ziwe za REA kweli?

Huyu waziri anafanya siasa za hatari za kujifanya 'mtetezi wa wanyonge aliebaki'. Itasababisha TANESCO huko mbeleni ishindwe kujiendesha wala kulipisha wateja wake gharama halisi za Umeme.

Anataka aonekane yeye alipokuwepo gharama zilishuka wakati si kweli.

Gharama zipo zile zile anachofanya ni kutumia ruzuku ya Serikali ambayo sio ya uhakika na haina guarantee ya kuwepo kila mwaka.

Tayari foleni ya umeme unaohitaji nguzo TANESCO inafika miezi sita sasa na bado waziri anaongeza tatizo badala ya kupunguza.

Utaratibu wa REA ulikuwepo kabla ya hata Kalemani hajawa waziri. REA ibaki REA kwa wananchi wa vijijini na wenye vipaji vya chini.

Kulazimisha REA itumike nchi nzima ni siasa za kufeli na kuja kulaumiana huko mbele wakati huduma itakapokuwa ngumu kupatikana baada ya mapato kushuka REA hadi Masaki na Sinza?

Wenye Bar na mafremu 40?

Wenye ghorofa zenye apartment 40?

Hi ruzuku ni pesa ambayo wananchi hasa masikini wanachangia. Why itumike kufaidisha hadi matajiri kwa siasa tu?

Viongozi wa TANESCO kuanzia Bodi hadi CEO wake wote wapigwe chini kwa kukubali maagizo haya ya huyu waziri...

Watu wenye uwezo walipie gharama halisi za umeme.

REA ibaki vijijini na kwa watu masikini.
Ona jinga lenzio ili lilikuwa linapinga leoleo-tu
 
Back
Top Bottom