Gharama za umeme: Rais Samia muwajibishe Waziri Kalemani na uongozi wote wa TANESCO

Gharama za umeme: Rais Samia muwajibishe Waziri Kalemani na uongozi wote wa TANESCO

Haya maelezo (namba 2) umeyatoa wap? Waziri kasema sehemu zote kasoro ilala ambako hata hawahitaji kwa sasa

Watu wanapindisha sana maelezo as if ni vishoka wa TANESCO ili waendelee kunufaika,Kuna mwingine twita akaanza kupotosha kwamba elfu 27 ni kwa sehemu ya mradi mpya kama kwenu mradi ushapita na ulikuwa haujaunganishwa basi gharama ni zile zile 320k ukitaka kuunganganishwa(Upotoshaji).

Tangazo linasema kuunganishwa umeme kwa bei mpya ni 27k mjini na vijijini isipokuwa Dar city centre gharama zitakuwa zile zile.
 
Tushaanza kuona madhara ya siasa kwenye huu upuuzi. Dodoma umeme ulikua haukatiki ila siku hizi kila siku..kama sasa hivi maeneo ya nkuhungu huku umekatika

Piga simu tanesco utapewa sababu ya umeme kukatika.

Kuna sehemu umeme unakatika kwasababu ya maintanance (eg wanabadili nguzo za miti kwenda za zege) ,Fault(Unplanned).....
 
Nchi hii ni tajiri ingebidi hata hiyo 27,000 ifutwe tuungiwe bure
 
Mpende sana anaekukosoa, ukiendelea kujidumaza akili kwa kuwaamini hao wanaokusifia ukajiona uko right kila wakati utapotea, kazi kwako.
 
Nipo kwenye rekodi hapa ya kumtetea waziri Kalemani huko nyuma lakini leo naomba Rais Samia amfukuze tena ikibidi haraka Sana huyu waziri.

Kwa mujibu wa maagizo aliyowapa TANESCO waziri Kalemani anataka sasa karibu watu wote Tanzania nzima wakitaka kuunganishiwa Umeme walipe Elfu 27 tu bila kujali gharama halisi za kuvuta umeme kwa mtu huyo anasema Serikali imepitisha hela ya ruzuku kwa TANESCO.

Sasa hebu twende taratibu huku tunatumia akili kidogo. Mtu anajenga ghorofa lenye apartments 20. Mfano Masaki huyu mtu sio masikini why asigharamie gharama halisi?

Why TANESCO ijinyime mapato Kwa kutoa ruzuku hadi Kwa matajiri wa Masaki Hadi Upanga?

Anaejenga Fremu 20 Mbeya mjini au Dodoma mjini? Why alipe elfu 27 wakati TANESCO wananunua hizo Mita moja laki moja 20?

Kwanza hii tafsiri yake ya Mjini kuwa ni Ilala City Center kaitoa wapi?

Anajua maana ya Urban and Rural? Anajua history ya kuanzisha REA?

Why anakuja kuleta siasa za kutafuta umaarufu Kwa nguvu Kwa gharama za kuiua TANESCO??..kama mpaka sasa Tanesco haipati Faida inaishi kwa ruzuku. Why anakuja na maamuzi ya kupunguza mapato kwa TANESCO?

Mapato ya service charge yamefutwa. Mapato ya kulipisha fomu yamefutwa. Sasa hata gharama za kuvuta Umeme iwe Upanga au Masaki ziwe za REA kweli?

Huyu waziri anafanya siasa za hatari za kujifanya 'mtetezi wa wanyonge aliebaki'. Itasababisha TANESCO huko mbeleni ishindwe kujiendesha wala kulipisha wateja wake gharama halisi za Umeme.

Anataka aonekane yeye alipokuwepo gharama zilishuka wakati si kweli.

Gharama zipo zile zile anachofanya ni kutumia ruzuku ya Serikali ambayo sio ya uhakika na haina guarantee ya kuwepo kila mwaka.

Tayari foleni ya umeme unaohitaji nguzo TANESCO inafika miezi sita sasa na bado waziri anaongeza tatizo badala ya kupunguza.

Utaratibu wa REA ulikuwepo kabla ya hata Kalemani hajawa waziri. REA ibaki REA kwa wananchi wa vijijini na wenye vipaji vya chini.

Kulazimisha REA itumike nchi nzima ni siasa za kufeli na kuja kulaumiana huko mbele wakati huduma itakapokuwa ngumu kupatikana baada ya mapato kushuka REA hadi Masaki na Sinza?

Wenye Bar na mafremu 40?

Wenye ghorofa zenye apartment 40?

Hi ruzuku ni pesa ambayo wananchi hasa masikini wanachangia. Why itumike kufaidisha hadi matajiri kwa siasa tu?

Viongozi wa TANESCO kuanzia Bodi hadi CEO wake wote wapigwe chini kwa kukubali maagizo haya ya huyu waziri...

Watu wenye uwezo walipie gharama halisi za umeme.

REA ibaki vijijini na kwa watu masikini.
Inaonekana huelewi mambo mengi sana bwana mdogo. Ngoja nikueleweshe hiyo gharama ya TZS 27,000.00 ni kwa line ya phase moja ambayo mara nyingi wanaweka watu wa kipato cha chini. Mtu anayejenga nyumba ya ghorofa 20 hawezi weka umeme wa phase moja hata huyo wa apartment ulizozitaja. Pia elewa Ilala City Centre hakuna anayehitajj nguzo!

Pia nguzo ni mali ya TANESCO hivyo hakuna matinki ya kumuuzia mteja nguzo. Hata zamani wakati wa shirika moja la simu wateja walikuwa wanauziwa nguzo mpaka na line simu lakini siku hizi hakuna kitu kama hicho tunalipia airtime tu na ndiyo tunakoelekea kwenye umeme mkuu.

Kuna uwezekano wewe ni kati ya watu mliokuwa mnafaidika na ukiritimba wa kuwauzia wateja nguzo kwa bei ya juu pole sana itabidi ujipange upya najua mtajitahidi sana kuhujumu mipango hii ya sasa ili muendelee kuwasumbua wateja lakini hamtashinda jipange kufanyakazi nyingine hii ya nguzo imeshabuma.
 
Nipo kwenye rekodi hapa ya kumtetea waziri Kalemani huko nyuma lakini leo naomba Rais Samia amfukuze tena ikibidi haraka Sana huyu waziri.

Kwa mujibu wa maagizo aliyowapa TANESCO waziri Kalemani anataka sasa karibu watu wote Tanzania nzima wakitaka kuunganishiwa Umeme walipe Elfu 27 tu bila kujali gharama halisi za kuvuta umeme kwa mtu huyo anasema Serikali imepitisha hela ya ruzuku kwa TANESCO.

Sasa hebu twende taratibu huku tunatumia akili kidogo. Mtu anajenga ghorofa lenye apartments 20. Mfano Masaki huyu mtu sio masikini why asigharamie gharama halisi?

Why TANESCO ijinyime mapato Kwa kutoa ruzuku hadi Kwa matajiri wa Masaki Hadi Upanga?

Anaejenga Fremu 20 Mbeya mjini au Dodoma mjini? Why alipe elfu 27 wakati TANESCO wananunua hizo Mita moja laki moja 20?

Kwanza hii tafsiri yake ya Mjini kuwa ni Ilala City Center kaitoa wapi?

Anajua maana ya Urban and Rural? Anajua history ya kuanzisha REA?

Why anakuja kuleta siasa za kutafuta umaarufu Kwa nguvu Kwa gharama za kuiua TANESCO??..kama mpaka sasa Tanesco haipati Faida inaishi kwa ruzuku. Why anakuja na maamuzi ya kupunguza mapato kwa TANESCO?

Mapato ya service charge yamefutwa. Mapato ya kulipisha fomu yamefutwa. Sasa hata gharama za kuvuta Umeme iwe Upanga au Masaki ziwe za REA kweli?

Huyu waziri anafanya siasa za hatari za kujifanya 'mtetezi wa wanyonge aliebaki'. Itasababisha TANESCO huko mbeleni ishindwe kujiendesha wala kulipisha wateja wake gharama halisi za Umeme.

Anataka aonekane yeye alipokuwepo gharama zilishuka wakati si kweli.

Gharama zipo zile zile anachofanya ni kutumia ruzuku ya Serikali ambayo sio ya uhakika na haina guarantee ya kuwepo kila mwaka.

Tayari foleni ya umeme unaohitaji nguzo TANESCO inafika miezi sita sasa na bado waziri anaongeza tatizo badala ya kupunguza.

Utaratibu wa REA ulikuwepo kabla ya hata Kalemani hajawa waziri. REA ibaki REA kwa wananchi wa vijijini na wenye vipaji vya chini.

Kulazimisha REA itumike nchi nzima ni siasa za kufeli na kuja kulaumiana huko mbele wakati huduma itakapokuwa ngumu kupatikana baada ya mapato kushuka REA hadi Masaki na Sinza?

Wenye Bar na mafremu 40?

Wenye ghorofa zenye apartment 40?

Hi ruzuku ni pesa ambayo wananchi hasa masikini wanachangia. Why itumike kufaidisha hadi matajiri kwa siasa tu?

Viongozi wa TANESCO kuanzia Bodi hadi CEO wake wote wapigwe chini kwa kukubali maagizo haya ya huyu waziri...

Watu wenye uwezo walipie gharama halisi za umeme.

REA ibaki vijijini na kwa watu masikini.
Akili bogas.........kama umetumwa na mabepari ili aondolewe kafe mbele,shirika lisimamiwe kwa maslahi ya wote.
 
Tsh 27,000 ni kwa wateja wa single phase, ambao ndiyo the majority nchini.

Apartment ya ghorofa 20 nayo itafungwa umeme wa single phase?

Mwacheni Waziri Kalemani afanye kazi. Hizo hujuma zenu hamtofanikiwa.

Nchi hii kupata umeme bado ni ghali mnooo, as if ni anasa!

-Kaveli-
 
Kama Watu walikuwa wanalipa around laki 3 na inawachukuwa Tanesco miezi zaidi ya Mitatu kuja kukuunganishia huduma ya Umeme, sasa hii elf 27 tutarajie kuunganishiwa Umeme zaidi ya Miezi sita baada ya kulipia!
Mkuu kama kwa bei hiyo, tutasubili za ya miaka
 
Karudie kusoma vizuri tangazo ,except Dar City Centre , Je Dar city centre ni wapi? Unajua maana ya centre? Nyie ndio mnapotosha watu wa tanesco na kuwasikiliza nyie.

Mjini na vijini gharama za single phase ni 27,000/= except Dar City Center , hawakusema except Dar-es-salaam!! Maana hata Gongo la mboto mwisho wa lami ni Dar,Kongowe ni Dar,yale yale puna ni dar ,Bunju ni dar na wote hao wapo nje ya mji.
Sawa,
Sasa Masaki, Mikocheni si Dar City center?
 
Sawa,
Sasa Masaki, Mikocheni si Dar City center?

City Center: - The central part or main business and commercial area of a city.

Sasa linganisha Posta Askari monument na Mikocheni/Masaki wapi ni center or commercial area of the city?
 
City Center: - The central part or main business and commercial area of a city.

Sasa linganisha Posta Askari monument na Mikocheni/Masaki wapi ni center or commercial area of the city?
Askari monument to G'mboto ni more than 10km, vivyo hivyo kwa Mbagala, Tegeta, Bunju, Kimara e.t.c

Hivi Masaki na Mikocheni, Msasani ni mbali kiasi gani kutokea Posta mpaka pasiwe Dar City Centre!?
 
Askari monument to G'mboto ni more than 10km, vivyo hivyo kwa Mbagala, Tegeta, Bunju, Kimara e.t.c

Hivi Masaki na Mikocheni, Msasani ni mbali kiasi gani kutokea Posta mpaka pasiwe Dar City Centre!?

Huko ulipopataja kote ni nje ya mji mkuu.
 
Nipo kwenye rekodi hapa ya kumtetea waziri Kalemani huko nyuma lakini leo naomba Rais Samia amfukuze tena ikibidi haraka Sana huyu waziri.

Kwa mujibu wa maagizo aliyowapa TANESCO waziri Kalemani anataka sasa karibu watu wote Tanzania nzima wakitaka kuunganishiwa Umeme walipe Elfu 27 tu bila kujali gharama halisi za kuvuta umeme kwa mtu huyo anasema Serikali imepitisha hela ya ruzuku kwa TANESCO.

Sasa hebu twende taratibu huku tunatumia akili kidogo. Mtu anajenga ghorofa lenye apartments 20. Mfano Masaki huyu mtu sio masikini why asigharamie gharama halisi?

Why TANESCO ijinyime mapato Kwa kutoa ruzuku hadi Kwa matajiri wa Masaki Hadi Upanga?

Anaejenga Fremu 20 Mbeya mjini au Dodoma mjini? Why alipe elfu 27 wakati TANESCO wananunua hizo Mita moja laki moja 20?

Kwanza hii tafsiri yake ya Mjini kuwa ni Ilala City Center kaitoa wapi?

Anajua maana ya Urban and Rural? Anajua history ya kuanzisha REA?

Why anakuja kuleta siasa za kutafuta umaarufu Kwa nguvu Kwa gharama za kuiua TANESCO??..kama mpaka sasa Tanesco haipati Faida inaishi kwa ruzuku. Why anakuja na maamuzi ya kupunguza mapato kwa TANESCO?

Mapato ya service charge yamefutwa. Mapato ya kulipisha fomu yamefutwa. Sasa hata gharama za kuvuta Umeme iwe Upanga au Masaki ziwe za REA kweli?

Huyu waziri anafanya siasa za hatari za kujifanya 'mtetezi wa wanyonge aliebaki'. Itasababisha TANESCO huko mbeleni ishindwe kujiendesha wala kulipisha wateja wake gharama halisi za Umeme.

Anataka aonekane yeye alipokuwepo gharama zilishuka wakati si kweli.

Gharama zipo zile zile anachofanya ni kutumia ruzuku ya Serikali ambayo sio ya uhakika na haina guarantee ya kuwepo kila mwaka.

Tayari foleni ya umeme unaohitaji nguzo TANESCO inafika miezi sita sasa na bado waziri anaongeza tatizo badala ya kupunguza.

Utaratibu wa REA ulikuwepo kabla ya hata Kalemani hajawa waziri. REA ibaki REA kwa wananchi wa vijijini na wenye vipaji vya chini.

Kulazimisha REA itumike nchi nzima ni siasa za kufeli na kuja kulaumiana huko mbele wakati huduma itakapokuwa ngumu kupatikana baada ya mapato kushuka REA hadi Masaki na Sinza?

Wenye Bar na mafremu 40?

Wenye ghorofa zenye apartment 40?

Hi ruzuku ni pesa ambayo wananchi hasa masikini wanachangia. Why itumike kufaidisha hadi matajiri kwa siasa tu?

Viongozi wa TANESCO kuanzia Bodi hadi CEO wake wote wapigwe chini kwa kukubali maagizo haya ya huyu waziri...

Watu wenye uwezo walipie gharama halisi za umeme.

REA ibaki vijijini na kwa watu masikini.

Hata mashuleni ada zirudi haraka au la Mawaziri Wa elimu wote, wabunge wote, CCM yote na Rais mwenyewe wafutwe kazi...!!

Haiwezekani mtu anayeishi Masaki au Upanga au Mbezi Beach na anamiliki jumba la ghorofa 10 na Magari kibao na mahela kibao eti naye anaimba wimbo wa "elimu bure TZ...!!'
 
Hapa nachati niko gizani. Umeme umekatika. Dharura zinatokea baada ya jpm kufariki.
Fvck this!
 
Nipo kwenye rekodi hapa ya kumtetea waziri Kalemani huko nyuma lakini leo naomba Rais Samia amfukuze tena ikibidi haraka Sana huyu waziri.

Kwa mujibu wa maagizo aliyowapa TANESCO waziri Kalemani anataka sasa karibu watu wote Tanzania nzima wakitaka kuunganishiwa Umeme walipe Elfu 27 tu bila kujali gharama halisi za kuvuta umeme kwa mtu huyo anasema Serikali imepitisha hela ya ruzuku kwa TANESCO.

Sasa hebu twende taratibu huku tunatumia akili kidogo. Mtu anajenga ghorofa lenye apartments 20. Mfano Masaki huyu mtu sio masikini why asigharamie gharama halisi?

Why TANESCO ijinyime mapato Kwa kutoa ruzuku hadi Kwa matajiri wa Masaki Hadi Upanga?

Anaejenga Fremu 20 Mbeya mjini au Dodoma mjini? Why alipe elfu 27 wakati TANESCO wananunua hizo Mita moja laki moja 20?

Kwanza hii tafsiri yake ya Mjini kuwa ni Ilala City Center kaitoa wapi?

Anajua maana ya Urban and Rural? Anajua history ya kuanzisha REA?

Why anakuja kuleta siasa za kutafuta umaarufu Kwa nguvu Kwa gharama za kuiua TANESCO??..kama mpaka sasa Tanesco haipati Faida inaishi kwa ruzuku. Why anakuja na maamuzi ya kupunguza mapato kwa TANESCO?

Mapato ya service charge yamefutwa. Mapato ya kulipisha fomu yamefutwa. Sasa hata gharama za kuvuta Umeme iwe Upanga au Masaki ziwe za REA kweli?

Huyu waziri anafanya siasa za hatari za kujifanya 'mtetezi wa wanyonge aliebaki'. Itasababisha TANESCO huko mbeleni ishindwe kujiendesha wala kulipisha wateja wake gharama halisi za Umeme.

Anataka aonekane yeye alipokuwepo gharama zilishuka wakati si kweli.

Gharama zipo zile zile anachofanya ni kutumia ruzuku ya Serikali ambayo sio ya uhakika na haina guarantee ya kuwepo kila mwaka.

Tayari foleni ya umeme unaohitaji nguzo TANESCO inafika miezi sita sasa na bado waziri anaongeza tatizo badala ya kupunguza.

Utaratibu wa REA ulikuwepo kabla ya hata Kalemani hajawa waziri. REA ibaki REA kwa wananchi wa vijijini na wenye vipaji vya chini.

Kulazimisha REA itumike nchi nzima ni siasa za kufeli na kuja kulaumiana huko mbele wakati huduma itakapokuwa ngumu kupatikana baada ya mapato kushuka REA hadi Masaki na Sinza?

Wenye Bar na mafremu 40?

Wenye ghorofa zenye apartment 40?

Hi ruzuku ni pesa ambayo wananchi hasa masikini wanachangia. Why itumike kufaidisha hadi matajiri kwa siasa tu?

Viongozi wa TANESCO kuanzia Bodi hadi CEO wake wote wapigwe chini kwa kukubali maagizo haya ya huyu waziri...

Watu wenye uwezo walipie gharama halisi za umeme.

REA ibaki vijijini na kwa watu masikini.
Unajuaje kwamba hakutumwa na Rais kushusha gharama za kuunganisha?

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom