Gharama za umeme zimepanda lini? Tsh.10,000 kwa unit 72 badala ya 82 imekuwaje?

Halafu ni kwa Nini Hawa majizi Tanesco jamani ukiwa chini ya unit 75 mbona hawakupeleki kwenye tarrif 4 ya hiyo matumizi lakini eti mpaka uwafuate ofisini kwao huko.
Na je mbona mtu ukishazidisha tu jamani wanakupeleka huko kwa gharama za juu
 
Uko Mkoa gani Mkuu?
 
Ukitumia reference zilezile alizotumia yule jamaa kuwashtaki Tigo na tcra Basi hili la tariff huku TANESCO unaeza fungua kesi na ukapata fidia yako nzuri tuu Mana hata elimu ya hili tuu wanashindwa kutoa
 
Ni kweli licha ya kuandika barua kwa meneja lakini bado ni shida, wao tanesco siku zote wana sisitiza kutumia umeme kidogo ndio maana wanatoa motisha kwa hao wanaotumia 0-75 units kwa mwezi.
 
Sisi tusiokuwa na tarrif mnatuumiza roho tu jamani. Imagine sh. 10,000 tunapata units 28.1
Watusaidie na sisi jamani. Matumizi yangu yakizidi sana ni unit 25 kwa mwezi. Sijawahi zidi hapo. Hata hivyo nikinunua umeme wa shs 5000 napata unit 14 tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…